If you'd had studied law ,ningekupa nafasi at my law firm ,Ila pole Sana kwa mapito yako ,in life seek chances usingoje zikufuate , case inpoint Kuna boda anayenifanyia delivery hapa dar alikuja mpaka ofisini kuomba apewe kazi za delivery ,wiki ya kwanza alifukuzwa na secretary na mlinzi ,Ila hakuvunjika moyo ,alinitime one day akaomba, jamaa hata kwa siku kulingana naye aliniambia hakosi laki na kitu juu ,ofisi zingine these days zampa kazi huyu bingwa ....ukingoja ajira afrika hii utakufa maskini ,Toka nje tafuta niche` ,jitume ,all the best my freind