Ushauri: Nifanyeje juu ya hali hii ya maisha yangu?

Ushauri: Nifanyeje juu ya hali hii ya maisha yangu?

Ondoka hapo ulipo nenda shule ya Inspire Kibaha kwa Mzee Bizulu kaombe kifundisha physics.Akikuelewa ujw kunishukuru.
Ahaaah, ngoja ntajaribu nione. Tatizo huwa wanakataa kutupatia kazi ya ualimu maana hatujasoma masomo ya ualimu, na Wapo sahihi kwa kigezo chao cha kuhitaji mwalimu aliyesomea hiyo kazi. Japo ninaweza kufundisha na nimefundisha sana wanafunzi.
 
Ondoka hapo ulipo nenda shule ya Inspire Kibaha kwa Mzee Bizulu kaombe kifundisha physics.Akikuelewa ujw kunishukuru.
Ahaaah, ngoja ntajaribu nione. Tatizo huwa wanakataa kutupatia kazi ya ualimu maana hatujasoma masomo ya ualimu., na Wapo sahihi kwa kigezo chao cha kuhitaji mwalimu aliyesomea hiyo kazi. Japo ninaweza kufundisha na nimefundisha sana wanafunzi.
 
Yaani hata kukusaidia nashindwa kwa sababu umeonesha udhaifu mkubwa sana na kuwaza yasiyowazika

Umekazana jeshi jeshi kama umri umeenda acha kuwaza tena ila kama unapenda sana na lazima uwe jeshini zipo nchi nyingi unaweza kuajiriwa au voluntarily

Kuhusu kuoa hapo napo unatuangusha tusiowaza kesho itakuwaje maana anaepanga sio mimi wala wewe

Oa tu na riziki anatoa Maanani huenda huyo mke ndio akawa wa kukuongoza na akaja na bahati yake
Tena ukipata mtoto ndio kabisa na riziki inakuja kwa kila kiumbe

Acha kuwaza hayo ya nani ataweka msosi kinywani

Pambana mpaka kieleweke
Nilioa bado mdogo sana ila sijutii wewe una over 30 unalalamika
Ahaaah mkuu Naomba uniambie hiyo nchi ambayo wanaandikisha askari wa kutoka nchi za nje hata hivyo bado kuna suala zima la nauli, acha visa passport n.k au niongee na mkuu Mshana Jr anifanyie mambo nifike hata kwa namna tofauti huko maana nikiskia au kukumbuka jeshi tuu mpaka roho inaumia kwa uchungu mkuu kwa nini sipo huko mpaka leo !. Suala la kuoa ni gumu kwa sasa, nimeachana nalo kwa sasa maana sina hela ya kuishi na mke. Achilia mbali Mungu akitupatia watoto, ni zaidi ya msongo wa mawazo hapo. Mwanamke atapata taabu sana, watoto watapata taabu sana na mimi kichwa kinaweza kupasuka kwa mawazo ya kushindwa kuitunza familia.
 
Life is how you think..kuna watu wanakipato cha laki moja na wanaish na wameoa wanafamilia so mtazamo wako juu ya maisha ndo unakupa shida..So cha kukushauri kama unashindwa kuweka akiba tafuta kikoba sehemu najua hauwez kukosa jipe malengo hata ya mwaka then utakuwa na amount kubwa tu ambayo mwisho wa siku unaweza fanya kitu kikubwa.
 
Unalalamika kipato Tsh 300,000 akitoshi na bado unatoa Sadaka, una matatizo mahali.
Kaka, siijui kesho yangu kufa ni mda wowote. Ninaamini Mungu kanileta duniani na siku moja atachukua roho yake kwa hiyo ndiyo maana ninasali kutoa sadaka, na kujaribu kutekeleza yale watumishi wa Mungu wanayosema kwa kadri ya uwezo wangu. Sadaka sizidishi sh.elfu mbili (2000) kila ijumaa pili maana ndiyo uwezo wangu, na zaka sitoi maana nikitoa ntakula vumbi mpaka nichakae. Ninaishi kwa akili usisikie kutoa sadaka ukajua ninatoa kila mchango wanaosema kanisani labda nusu ya hicho kiasi ninachopata nakitoa huko HAPANA.
 
Life is how you think..kuna watu wanakipato cha laki moja na wanaish na wameoa wanafamilia so mtazamo wako juu ya maisha ndo unakupa shida..So cha kukushauri kama unashindwa kuweka akiba tafuta kikoba sehemu najua hauwez kukosa jipe malengo hata ya mwaka then utakuwa na amount kubwa tu ambayo mwisho wa siku unaweza fanya kitu kikubwa.
Suala la kikoba, asante kwa ushauri kaka.
 
If you'd had studied law ,ningekupa nafasi at my law firm ,Ila pole Sana kwa mapito yako ,in life seek chances usingoje zikufuate , case inpoint Kuna boda anayenifanyia delivery hapa dar alikuja mpaka ofisini kuomba apewe kazi za delivery ,wiki ya kwanza alifukuzwa na secretary na mlinzi ,Ila hakuvunjika moyo ,alinitime one day akaomba, jamaa hata kwa siku kulingana naye aliniambia hakosi laki na kitu juu ,ofisi zingine these days zampa kazi huyu bingwa ....ukingoja ajira afrika hii utakufa maskini ,Toka nje tafuta niche` ,jitume ,all the best my freind
Asante, naomba unifikishie salamu zangu kwa huyo boda boda mpambanaji.
 
Achana na swala la kujibana u save hio hela ni ndogo sana. Ila nakushauri anza kujifunza ujuzi wowote sidehustle kwenye pc yako au simu yako

Piga msuri hasa wa ujuzi wowote kwa miezi 6 au mwaka.

Then anza kuuza.

Ujuzi unaoweza kujifunza
1. Crypto
2. Stock trading
3.Amazon FBA
4.copyrighting
5.freelencer
6.social media management etc

Vitu vya kujifunza ni vingi sana unanishangaza unaposema hujui cha kufanya na upo DAR huenda una smartphone.

Wakati sisi tupo mikoani vijijini tunapiga pesa kwa hizo skill above.

Mimi nilijifungia wakati wakati wa corona 2020 baada ya mwaka mmoja last year nimepiga $50k

Mwaka minimum nakunja $100k.

Huwa nacheka nikiona kijana ana comment biashara za mtandaoni ni utapeli[emoji16][emoji16][emoji16]

Shidakubwa ya watu maskini nilioiona ni arrogant (wajuaji) basi tunawazoom tunawaacha.

Utasikia “mtu hawezi kukwambia siri ya mafanikio yake”[emoji3][emoji3][emoji3]


Utajiri hauna siri ndugu zangu zaidi ya kuwa mwanafunzi wa kudumu (peppetual learner).

Niishie hapa nina meeting saa sita na client wangu na kipara kakata umeme.
 
Achana na swala la kujibana u save hio hela ni ndogo sana. Ila nakushauri anza kujifunza ujuzi wowote sidehustle kwenye pc yako au simu yako

Piga msuri hasa wa ujuzi wowote kwa miezi 6 au mwaka.

Then anza kuuza.

Ujuzi unaoweza kujifunza
1. Crypto
2. Stock trading
3.Amazon FBA
4.copyrighting
5.freelencer
6.social media management etc

Vitu vya kujifunza ni vingi sana unanishangaza unaposema hujui cha kufanya na upo DAR huenda una smartphone.

Wakati sisi tupo mikoani vijijini tunapiga pesa kwa hizo skill above.

Mimi nilijifungia wakati wakati wa corona 2020 baada ya mwaka mmoja last year nimepiga $50k

Mwaka minimum nakunja $100k.

Huwa nacheka nikiona kijana ana comment biashara za mtandaoni ni utapeli[emoji16][emoji16][emoji16]

Shidakubwa ya watu maskini nilioiona ni arrogant (wajuaji) basi tunawazoom tunawaacha.

Utasikia “mtu hawezi kukwambia siri ya mafanikio yake”[emoji3][emoji3][emoji3]


Utajiri hauna siri ndugu zangu zaidi ya kuwa mwanafunzi wa kudumu (peppetual learner).

Niishie hapa nina meeting saa sita na client wangu na kipara kakata umeme.
Wewe umeshaenda mbali sana, mimi ninaishia kwenye money sms, mcmoney, premise walizingua, na profit sms .... ni jamaa wanakutumia sms wanakulipa 0.02 Usd n.k badae ukikusanya kisogo kisogo ikifika usd 2 unatoa lkn ni zinaishia kwenye vocha tuu. Vipi naskia kuna sites za kupiga surveys unapata ela, unazifahamu unipe mbili tatu ?
 
Wewe umeshaenda mbali sana, mimi ninaishia kwenye money sms, mcmoney, premise walizingua, na profit sms .... ni jamaa wanakutumia sms wanakulipa 0.02 Usd n.k badae ukikusanya kisogo kisogo ikifika usd 2 unatoa lkn ni zinaishia kwenye vocha tuu. Vipi naskia kuna sites za kupiga surveys unapata ela, unazifahamu unipe mbili tatu ?

Achana na sites tafuta skills yoyote jigungie ndani kila ukitoka kazini baada ya mwaka utakuja na shukurani kanisani
 
Achana na sites tafuta skills yoyote jigungie ndani kila ukitoka kazini baada ya mwaka utakuja na shukurani kanisani
Sawa, nielekeze hiyo skill ya copywriting naanzaje, nifanyeje nipige hela kwa kutumia hiyo au lazima kuwa na skill zote ?
 
Unapata laki 3 kwa mwezi kuoa unaogopa??

kuna watu wanafanya kazi viwandani kwa siku 6000 na wana familia.

itakuwa una malengo makubwa sana. Ndio maana ukijitazama unaona kuoa bado.
Pambana mkuu hapo kwanza ni kuwa na uhakika wa mahitaji ya msingi. Uwe na hata chanzo mbadla kidogo cha mapato.

piga ua kwa siku unauwezo wa kujibana ukatumia kiasi kisichozidi 10,000
hiyo 5000 weka malengo uwe unaisevu na uzuri ndio kwanza january hii.
mpka December tayari utakuwa na kiasi kisichopingua mil 1.5

katika kipindi cha hii miezi 11 unasevu huku unatafuta kitu mbadala chankuwekeza hiyo mil 1.5

mengine tumuachie Mungu. Jitahada hazizidi bahati na kudra.

Usinywe pombe, usicheze kamari punguza misaada na huruma zisizo na lazima. Acha uzinzi.
Hapo kweny kumwagilia moyo sasa
 
Unapata laki 3 kwa mwezi kuoa unaogopa??

kuna watu wanafanya kazi viwandani kwa siku 6000 na wana familia.

itakuwa una malengo makubwa sana. Ndio maana ukijitazama unaona kuoa bado.
Pambana mkuu hapo kwanza ni kuwa na uhakika wa mahitaji ya msingi. Uwe na hata chanzo mbadla kidogo cha mapato.

piga ua kwa siku unauwezo wa kujibana ukatumia kiasi kisichozidi 10,000
hiyo 5000 weka malengo uwe unaisevu na uzuri ndio kwanza january hii.
mpka December tayari utakuwa na kiasi kisichopingua mil 1.5

katika kipindi cha hii miezi 11 unasevu huku unatafuta kitu mbadala chankuwekeza hiyo mil 1.5

mengine tumuachie Mungu. Jitahada hazizidi bahati na kudra.

Usinywe pombe, usicheze kamari punguza misaada na huruma zisizo na lazima. Acha uzinzi.
Hapo kweny kumwagilia
 
Back
Top Bottom