Ushauri: Nimekuta 'urine pregnancy test' kwenye kimkoba cha binti yangu

Umeshakuwa sasa mwanangu,nenda kafanye umalaya huku ukila zako bata.
 
Ha ha ha nimeipenda sentensi yako ya kuwa mtanzania. Kumbuka tu, hatusomeshi wazazi sisi
 
Amueleze ukweli tu. Kinacho changia pia wazazi c wawazi kwa watoto wao. Muite kwa heshima kisha mueleze kila kitu. Maisha ni nini, umuhimu na faida ya elimu kwake, mapenzi na athari zake nk. Suala la kutokua na mama sioni athari yoyote maana anaweza akawepo na hari ndo ikawa mbaya zaidi.

Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
 
Inawezekana walipewa somo la kujitambua shuleni; acha kupanic
 
Umezidi umbea baba lazma uwe na adabu uwez kufungua mikoba ya mwanao....

Mm uyo dada angu tu au mtoto wa kike siwwz kufungua vitu vyako hata chumban kwake kuingia

Kuweni na adabu

Sent from my SHV-E275S using JamiiForums mobile app

Hujui hayo unayoyaongea kama ungekuwa mzazi usingesema hivyo, wazazi tuna wajibu wa kuangalia kuna nini ambacho si cha kawaida kipo kwenye mifuko ya watoto wetu, hivyo hakufanya kosa kuangalia kwenye mfuko wa binti yake.
 
Ngoja baada ya miezi miwili, kama hajaanza kutapika, huyo mtoto peleka boarding ya girls...
 
Nakusubiri mkuu

Najisikia fahari kuwa MTANZANIA



Ushauri Wangu ni huu

Elewa umri aliyopo binti yako kitaalamu unaitwa adolescent kwa tafsiri nyepesi anahama kutoka utoto kwenda utu uzima kukiambatana na mabadiliko ya kimwili na kihisia…….Vitu vingine siwezi viweka wazi sana vinaweza tumiwa forum kwa manufaa ya sexual predator au ma-pedophilia (Watu wenye kuvutiwa kingono na watoto wadogo).

Katika umri huo kuna kuwa na udadisi sana wa kujitambua “Yeye ni nani” na lazima hawe na msimamizi au guider hadi atakapopita umri huo kufikia 20s.

Binti yako kwa sasa ana umri wa miaka 14 na haushi na mama yake lakini nilitaka kujua baada ya kutengana na mama yake mahusiano yenu au ugomvi wenu umewaathiri watoto kina namna gani? Je unawaruhusu kuonana na mama yao hasa hao wa kike? (Samahani si lengo la kuingilia familia yako) ila ningefurahi kujua to what extent there some impact to her.

Elewa kingine ingawa hujachelewa sana barehe hasa binti hao huanzia miaka 11 muhimu sana “BABA NDIYO MPENZI WA KWANZA WA BINTI YAKE” (simaanishi sexual contact HAPANA) Je umeitumia nafasi hiyo kwa namna gani?

Tangia akiwa mdogo. Pengine kinamsumbua bintiyo ni self-image yaani anaonekana vipi mbele za wenzake na yeye ni somebody mbele ya teens wenzake muhimu sana kama hakuipata hiyo taswira kutoka kwa Mwanaume wa Kwanza tangia anazaliwa (Baba YaKE) sasa pasipokujua yaani “libido” inampeleka kwa other man au teens wenzake.

Jitahidi sana kujenga mahusiano na mwalimu wakike shuleni anaposoma au ungemtumia mama yake kwa hilo hasa wa darasani kutakuwa na good monitoring ya bintiyo anapokuwa shuleni.

Halafu weka mazingira ya kuanza wajua rafiki zake mtaani na hata shuleni huwafahamu wao na wazazi wao na si vibaya na mahali wanapoishi. Hiyo ni mission muhimu kwa kila mzazi hata kama unabanwa na shughuli gani hao ni watoto wako si wa house girl au wapangaji wenzako

Jitahidi na ni nani wa kumpa Elimu kwa karibu sana na very serious kuhusu Reproductive health ni vizuri mama yake akachukua nafasi hiyo.

Makosa Makubwa wanayofanya wazazi wanadhania labda kwa kuwa mtoto anakula basi ndiyo kumlea hii chart fupi sana kuhusu malezi ya mtoto

Mwili: Chakula Mavazi na Malazi mazuri

Nafsi: Maneno Chanya na kumtia nguvu ya kujiamini wakati wote “yeye ni nani” na discipline ya maisha na adhabu juu ya matendo mabaya nb kuchapwa anapokosea hasa wakati hajafikia Barehe

Roho:Hamjue Muumba wake na awe committed anapokuwa na rafikize au mbali na wazazi basi Mungu Yupo na anamuona hata katika vile anavificha kwa siri….

(Ukali wa baba unamfanya mtoto afanyie maovu mbali ambapo baba hawezi kuona lakini hukimsaidia hawe na hofu ya Mungu mahali popote Mungu anamuona hatajitenga na maovu)



Sitaweza funguka kwa sana sababu kwa maelezo niliyoyaokota katika threads hii yamenipa maswali ya namna hiyo vingine nikiviweka sana public kama nilivyoomba radhi kuna hatari ya Sexual Predator na Pedophilia wakachukulia advantage kwa Maangamizi ya Binti zetu ambapo kwa sasa wakipata Mimba “NO MORE SCHOOL”

 
Halafu siku atakapopata uhuru huko mbele ni kama Simba Dume aliyefungiwa kwa wiki tatu no Msosi halafu kafunguliwa. Hatari sana
Ni bora apate uhuru akiwa ameshamaliza sekondari... Ya huko mbele atajijua mwenyewe kwa kuwa atakuwa ameshakuwa mtu mzima...
 
Tafuta mke uwoe, unakaa na wari wako ndani? Tafuta mke akusaidie ulezi
 
Thats sign of victory kwamba mtoto wako yupo timamu

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
ujue keshabikiriwa......anyway usipanic, wewe ndie baba na ndie mama kwa sasa....mkalishe kitako, wala usimwambie kuna ishu umeifuma kwenye mkoba wake..noooo.... as father huyo binti bado mdogo sana, but anaweza kukusikiliza na kukuelewa, na akafuata ushauri wako, kuwa nae karibu ajielewe,,, baada ya wewe kuongea nae kwa ukarimu uliotukuka,,, then wakaribishe dada zako kama wapo waongee nae.....kuna mimba na magonjwa vyote vinamnyemelea,, wa kumsadia ni wewe baba.......pole sana....angalizo...usirudie kupekua mikoba ya wanawake/wasichana....
 
Hatari sana kwahiyo kwa umri huo wameshakadungua siyo
 
Baada ya kufanya maojiano naye pia usisahau kumpima na HIV maana ulimwengu umeshabadilika sana ndugu yangu ila pole

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Mshauri ajitahidi hivyo hivyo, yaani kila akifanya awe anapima urine yake, ili kama kitu kikitiki mapema sana ajue ni namna gani ya kumwambia huyo bwanake na measure to take kabla wewe hijajua[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…