Ushauri: Nimekuta 'urine pregnancy test' kwenye kimkoba cha binti yangu

Ushauri: Nimekuta 'urine pregnancy test' kwenye kimkoba cha binti yangu

Nipe no yake niongee nae

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Noted mkuu.
kwa kuniogopa ananiogopa sana kwa sababu ananijua nikimshika inakuwa issue nyingine ila ktk hili nikisema nimshike nadhani serikali inaweza kunifunga na ndo maana naona nisimuulize nimuache dada yangu labda na mama yake waongee nae.
Ila ushauri wako kwa kiasi kikubwa naukubali
Asante mkuu

Najisikia fahari kuwa MTANZANIA
Hiyo ndio shida, unadhani kupiga ndio kumfunza?? kama hutaishi na mwanao kwa upendo lazima atoke akatafute comfort nje,
Usiweke mazoea saaana lakini pia usiweke distance sana kiasi unakuja mtoto anakimbilia chumbani hapo unajenga chuki mbaya sana ila wewe utafurahi kua anakuogopa.

Jenga tabia ya kua unazungumza na mwanao walau kila baada ya mwezi au miezi miwili, mnakaa chini na kumkanya kuhusu dunia na vilivyomo, mfanye pia awe na hofu ya Mungu, yaan katika mazungumzo yenu pendelea kuweka na mistari ya Biblia au Quran (Inategemea na imani yenu)
Good Luck.

Sent from my siemens kidole juu using JamiiForum mobile app
 
Hvyo vidudu hukaa kwenye pedi as a part of package.. So sio ishu kama aliamua kujipima

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Hvyo vidudu hukaa kwenye pedi as a part of package.. So sio ishu kama aliamua kujipima

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Pregnancy test inakaa kwenye pedi ?

Najisikia fahari kuwa MTANZANIA
 
Ndio huwa na vichokonozi vya masikion pia.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Ninavyofahamu mimi huwa kuna vile vipimo vya magonjwa ya ukeni ndo ambavyo vinakuja na pedi.
lakini UPT test strips inauzwa maduka ya dawa.
Ngoja ahojiwe atasema kama alipata kwenye pedi au alinunua dukani

Najisikia fahari kuwa MTANZANIA
 
Ongea nae kwa upole umuelimishe madhara ya ngono za utotoni na zaidi umuhimu wa afya na elimu katika maisha yake.

Usione aibu kumkemea ,kwa sasa wewe ndo baba ndo mamaake usitegemee majirani au ndugu wakusaidie . Ni jukumu lako achana na mila za kizamani.
 
Ongea nae kwa upole umuelimishe madhara ya ngono za utotoni na zaidi umuhimu wa afya na elimu katika maisha yake.

Usione aibu kumkemea ,kwa sasa wewe ndo baba ndo mamaake usitegemee majirani au ndugu wakusaidie . Ni jukumu lako achana na mila za kizamani.
Shukrani mkuu.nitajitahidi kufanya hivyo,naomba MUNGU aniongoze vyema

Najisikia fahari kuwa MTANZANIA
 
Kweli kwenye kila jamii lazima kuna chizi moja. Ushauri wa humu ndani balaa.
 
Jamanj mleta mada pole Sana. Nimeumia mno nikimuangali mtoto wangu wa kike mwenye miezi 10 najua jinsi nitakavyoumia baadae yakitokea haya. Mungu naomba nitunzie

Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
 
Ashaliwa tayari

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Shukrani mkuu.nitajitahidi kufanya hivyo,naomba MUNGU aniongoze vyema

Najisikia fahari kuwa MTANZANIA


mkuu usisahau kuja na mrejesho maana na sie ni wazaz !tunafeel pain uliyonayo! hope leo utaenda shule! kila la heri
 
14years ashagawa papuchi dah
Ila komaa nae atabadilika inaonekana kanajielewa kidogo hadi kujipima kenyewe
 
Habari zenu wana JF,

Niingie kwenye mada, binti yangu yupo kidato cha pili sasa hivi na ana miaka 14. Leo asubuhi hii ameenda shule. Mimi na mama yake tumeachana kwa hiyo watoto nakaa nao mimi mwenyewe na sina mke kwa sasa.

Leo hii asubuhi naingia chumbani kwake nakuta kimkoba kidogo kitandani kwake na nashawishika kukifungua. Napata mshtuko wa mwaka nakuta kikaratasi cha (URINE PREGNANCY TEST) kilichotumika.

Nimechanganyikiwa sijui niongee nae nini.

Naombeni ushauri wana jamii na wazazi wenzangu, 14yrs?
e88bf85a623157bfa9b5e80d09c881e5.jpg



Najisikia fahari kuwa MTANZANIA
Usikae kimya zungumza naye mapema maana ndiyo anaelekea ktk kipindi cha mihemuko ya kihisia

Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
 
Umezidi umbea baba lazma uwe na adabu uwez kufungua mikoba ya mwanao....

Mm uyo dada angu tu au mtoto wa kike siwwz kufungua vitu vyako hata chumban kwake kuingia

Kuweni na adabu

Sent from my SHV-E275S using JamiiForums mobile app

Ndo ukome.... Na wewe uache peku peku kwenye vitu vya bint yako ukikuta naniii!?
JF tuna watu wa ajabu sana, nashawishika kukubali kwamba tuna watoto wadogo humu jamvini, mzazi anaambiwa akome!! ati m mbea kufungua mkoba wa "mtoto" wake!? Yule mtoto bado mdogo yupo kwenye uangalizi wa wazazi 100% sioni kosa hapo, pia tukumbuke kwamba mzazi hapangiwi malezi ya mwanae, kaomba ushauri kama hakuna ushauri bas, sii "kumtukana"

Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom