Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Mm naamini mwanamke mwenye akili zake timamu na mwenye maadili hawezi kuijua au kujiunga jamiiforums.na hawaipend kwakua haina features kama za IG za kumuwezesha kupost picha......hawa wanawake waliopo huku wapo kwenye mission za mawindo
Kwamba hii forum Melo na wenzie waliianzisha kwa ajili ya wanaume tu?


Watu wengine sijui mnawazaje!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…