Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Nimekua na bibi na babu
I missed my parent love
Sinywi pombe
Nakula both natural and junk foods
 


ahhahah poleni !au hamfiki kilimanjaro? mie nahis hamfiki jamani !mayb stress!
 
pole sana Hornet my dear !au huenda hufiki kileleni unabaki njiani tu ? mie nadhan tafuta kazi ngumu za kukuhchosha mwili na akili !
pia nenda hosp!maana malaika humu washajitokeza basi tafarani !sijui kwann watu wamezoea kunyooshea wenzao madole jaman !mtu ameamua kufunguka anakuja mwingine na vibwebwe juu !dah ! mtu mwingine huenda kalogwa au mijipepo lakini WAJA WA HUMU SIWAWEZI KWAKWELI ! kudos kwa wote mliochukulia jambo lake in a postive ways !
hongereni malaika wa jf
 
Dada hornet pole sana. Hakuna pm ni hapa hapa watakusumbua tu hao na msaada hutapata. Cha msingi nenda stage kwa stage. Jaribu kutenga siku maalum mpaka wiki moja ya kufanya mapenzi tu. Yani kama unakula honey moon. Yani ujitahidi kufululiza ikiwezekana mnakesha kila ukipata ham. Hapo inabidi Mme wako awe imara kweli kweli maana si mchezo. Ili asichoke mwambie ajitahidi asikojoe Mara kwa mara atachoka. Ahakikishe akikojoa Mara moja wewe ushaenda hata tano ili ham yako iishe kisha mnapumzika. Ikija mnaliamsha dude kama kawaida same thing mfanye hivyo mfululizo siku nzima masaa 24 Lakini mnakua mnapata half time kila Mara. Kama bado mnaenda siku ya pili na hata wiki. Then utaangalia mabadiliko kama yapo ndo mtaanza kupunguza na kwenda kawaida. Lengo ni kuwa kama una njege nyingi sana basi zitolewe kwa kiasi kikubwa. Mbali na Hapo labda utakua na jini mahaba ambalo hukuingilia wakati upo macho au ukiwa umelala hivyo likija tu ndo unaanza kuskia ham na inapaswa litolewe. Na kulitoa ni rahisi tu kama utahitaji. Ni vizuri kuwa na ham ya tendo la ndoa kwa wanandoa ili mapenzi yaimarike. Ukiwa huna ham tena ni shida ingine.
Pole lakini huo sio ugonjwa. Kifupi napenda mwanamke anayeweza kudum mda mrefu kwenye game na mda mwingi anakua na ham. Its so nice you enjoy a lot.
Hornet.....
 
Hahahahahah upo weye miss you

Unafika kibo lkn baada ya muda mfupi unataka tena kupandwa


arghh sasa na wewe si mtaalam !mie najua ukiona hivyo bas hujakata kiu !
dalili ya mwanamke aliyeshiba dyudyu huwa hatamani kuiona kabisaaa
 
Nyie mnaojifanya perfect humu nendeni mkawe mashemasi makanisani

Au mjitolee kuwa kama mama Maria mzisaidie jamii na huo uperfect wenu mxiiieww

Nimewaobserve kwenye nyuzi tofauti tofauti sasa endeleeni na hapa.

I have a serious problem
Inanifanys naumwa kichwa kupita kiasi mnakuja kuhororoja hapa.
 
Unajichua?
Huwa unajikojoza mwenyewe???
Tatizo ndiyo hilo. Mara nyingi ukizoea kujichua utamu wake hata mwanaume akufanye masaa 10 hawezi kukufikisha pale bado utakuwa na hamu tuu.
Rafiki yangu aliwahi kuwa na hili tatizo ila alikuja akaji control na kuacha kujichua sasa hivi anasema akifanywa anaridhika kabisa.
Kama sivyo ... Pole sana dear
 
NIMEKUPENDA BURE Hornet
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…