Ulishapigwa mke, mchumba, mpenzi hasomeshwi. Na hautamuoa na ukimuoa utaumia sana Msukuma mwanamke akisaliti ana saliti mazima, ushaliwawadau tupeane uzoefu kidogo ,nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari,huyu dada ni msukuma wa lunzewe, yupo chuo cha mkwawa iringa mwaka wa mwisho! Tatizo linakuja usiku hapokei cm kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka,akipata tatizo la pesa anapiga cm hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi cm hapokei! Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma mkwawa nisiendelee kupigwa!
😀😀kwa nini umemwambia ukweli mchungu kiasi hiki🤣Huyo sio mchumba. Huyo ni muwekazaji. Na wewe ndio biashara yenyewe. Akihitaji faida ya biashara yake anakutafuta.
Ili asije poteza muda na pesa yake zaidi.😀😀kwa nini umemwambia ukweli mchungu kiasi hiki🤣
Njoo inbox unipe jina mkuu nina mtu yupo Mkwawa hapohapo tena mwaka wa mwisho same nawewe ni mchumba wangu ila hana hizo shida.wadau tupeane uzoefu kidogo ,nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari,huyu dada ni msukuma wa lunzewe, yupo chuo cha mkwawa iringa mwaka wa mwisho! Tatizo linakuja usiku hapokei cm kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka,akipata tatizo la pesa anapiga cm hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi cm hapokei! Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma mkwawa nisiendelee kupigwa!
Anko dereva kwani wewe humpigiagi aunt dereva simu usiku?Mwanaume unapiga piga simu hovyo hadi usiku unataka kuripoti tukio la uhalifu ama?
Mwanamke ndiye anayepaswa kuwa anakupigia pigia simu...
Na kama hapokei simu zako, nawe acha kupokea za kwake...