Ushauri: Nina mchumba anasoma chuo cha Mkwawa Iringa, napitia magumu sana!

Ushauri: Nina mchumba anasoma chuo cha Mkwawa Iringa, napitia magumu sana!

wadau tupeane uzoefu kidogo ,nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari,huyu dada ni msukuma wa lunzewe, yupo chuo cha mkwawa iringa mwaka wa mwisho! Tatizo linakuja usiku hapokei cm kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka,akipata tatizo la pesa anapiga cm hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi cm hapokei! Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma mkwawa nisiendelee kupigwa!
Saivi unayo kitu inaitwa perceptual blind spot. Kiufupi hauna mke ameshakuzoea amekuona huna value kwake. Nakuambia ukweli sema hutonielewa Mana saivi unayo iyo perceptual blind spot in your mind. Yaani huwezi ona. Already you're operating under fight/flight mode of our survival ancestry caveman brain mode mkuu. Yaani narudia kopi hii isevu in your email baada ya miaka mitano utakuja kunielewa. Kama vipi nipe namba yako wozapu nikuokoe Kuna Kodi nyingine Naona tunaenda kupoteza ama kupunguza Mana huwezi fanya kazi zako vizuri. Nikuambie tu mie nimesoma na hao wanachuo mpaka nje kwa Putin nimesoma nimewachakata mbususu zote adi za kirusi Ila nimerudi bush kwetu nikaoa lasaba mkuu. Can you imagine like.
Naomba tuwasiliwane nikuambie ukweli ambao sahihi hutoelewa Ila ubongo utataka kulazimisha kuona ambacho inataka kuuona. Nakuhurumia niliyapitia hayo mkuu.
 
wadau tupeane uzoefu kidogo ,nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari,huyu dada ni msukuma wa lunzewe, yupo chuo cha mkwawa iringa mwaka wa mwisho! Tatizo linakuja usiku hapokei cm kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka,akipata tatizo la pesa anapiga cm hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi cm hapokei! Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma mkwawa nisiendelee kupigwa!
Macho yanaona ila moyo wako unakataa. Ana bwana tena mwanafunzi mwenzake wewe ni atm tu
 
.“Our (central) nervous system
functions as a sentry by continuously evaluating risk in the environment.Through neural surveillance mechanisms,our brain identifies features of risk and safety.Many of the features
of risk and safety are not learned, but rather are hardwired into our nervous system and reflect
adaptive strategies associated with our phylogenetic history (early ancestors from another time
and place and long before thinking was on the human horizon).


Nobody told you how to
deal with your emotional /mind nature and the brain.
And your brain refuses to see what it
does not want to see.It’s the tight-lipped secret that nobody (including me/you) wants to talk
about.Except those people who really, really want to know it.
 
Unakua na manzi anasoma chuo na wewe unategemea kumuoa kabisa, pole sana.

Angekua kamaliza chuo ni muda mzuri kua na mahusiano nae ila akiwa chuo ni kujitafutia matatizo ya moyo.

Pole mkuu, na hapo kumuacha huwezii, utaendelea kuvumilia maumivu tu. Daah pole sana.
 
see.It’s the tight-lipped secret that nobody (including me/you) wants to talk
about.

sahivi hutoelewa haya namaanisha Nini Mungu wangu baadaye hiyo brain itoke yaani emotional brain baadaye ndio Logical/rational/reason brain ianze kufanya kazi.

iyo inayofanya kazi Ina nguvu kinyama huwa haiskiiagi mkuu, sahihi wewe sio binadamu uko mnyama saivi you can do anything just to satisfy your emotions.

yaani huwa Ina nguvu kuliko hata Everest mountains times 10M kwa nguvu.

huwa Ina hijack rational brain unakuja kugundua baadaye kabisa.

you're operating under survival modal of our brains iliyookoa ancestors wetu wasaivaivu mpaka dakika hii otherwise tusingekuwepo like dinosaur or saber toothed tiger walishapotea duniani kabisa hao Lisa hawakuwa na ubongo wa ku react/respond fast to stimuli.
 
Mwanaume unapiga piga simu hovyo hadi usiku unataka kuripoti tukio la uhalifu ama?

Mwanamke ndiye anayepaswa kuwa anakupigia pigia simu...

Na kama hapokei simu zako, nawe acha kupokea za kwake...
Case closed
 
Wadau tupeane uzoefu kidogo ,nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari, huyu dada ni msukuma wa lunzewe, yupo chuo cha mkwawa iringa mwaka wa mwisho!

Tatizo linakuja usiku hapokei cm kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka, akipata tatizo la pesa anapiga cm hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi cm hapokei!

Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma mkwawa nisiendelee kupigwa!
Pole sana mkuu, huyo ni msukuma wa mchongo. Lunzewe hakuna wasukuma wa hovyo
 
Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma mkwawa nisiendelee kupigwa!
Mimi bhana sio mfuasi wa mada za aina hii lakini wacha tu nikuambia ukweli...

Kabla hujauliza "waliopita chuo hicho", je wewe mwenyewe umefika elimu ya chuo hata kama sio hapo Mkwawa?

Na kama umepata elimu ya chuo, je wadada wa hapo walikuwa na tabia ipi?

Nirudi kwa upande wangu na nitazungumzia darasa langu TU...

Tukiacha sisi wa direct entry, tulikuwa na akina dada watu wazima watatu na wote hawa walikuwa wake za watu

Pale chuo, mmoja alikuwa chakula ya lecturer

Mwingine alikuwa chakula cha mtu mzima mwenzake ambae pia ni mwanafunzi...

Huyu mwingine hakuwa na mtu but taarifa zilikuwa zinasema alikuwa Mwathirika!

So, out of 3, 2 walikuwa na mabwana zao pale ingawaje waliacha ndoa kwao!

Sie wa direct entry sasa...

Kuna Wadada watatu hawa walikuwa hawavutii kabisa... na wote hawakuwa na maboyfriends...

Kuna mmoja ndo alikuwa jeuri na kiburi kuliko wote, including boys... huyu ndo alikuwa Mzigo wa Chige manake huwa napenda sana mademu wajeuri na wakorofi!

Sipendi mambo ya kunyenyekewa mimi...

Wengine waliobaki karibu wote walikuwa na watu wao hapo hapo chuo, na nina uhakika, huko kwao pia waliacha ma-boyfriends! Hata wa kwangu nae alikuwa na boyfriend huko kwao!

That having been said, chuo ilikuwa kila mtu na mtu wake, na tukirudi home, tunaenda kupasha viporo vya makoloni... vile viporo vilivyokuwa vinaishi kwa matumaini kwa kuona kwavile tupo chuo basi nyota njema ipo mbele yetu!

Hakika hapo chuo kama kulikuwa na yeyote ambae hadi kamaliza hakuwa na mtu, basi huyo amesamehewa dhambi zake zote, na moja kwa moja ataenda mbinguni ingawaje wale watatu niliowataja mwanzo hawahusiki na msamaha huu!!

Hao ndo classmates wangu... je, wewe chuoni kwako ilikuwaje? Chukua maelezo yangu, changanya na jibu lako, kisha vuta picha hapo Mkwawa itakuwaje...

All in all, acha wivu bhana...

Mwenzako anajisomea halafu unaanza kumsumbua sumbua usiku, ndo mambo gani hayo?!
 
Hizi comments sasa 😆 nyiee mtakuja mumue mtoa mada

Lazima ajutie kuja kuomba ushauri
 
Wadau tupeane uzoefu kidogo ,nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari, huyu dada ni msukuma wa lunzewe, yupo chuo cha mkwawa iringa mwaka wa mwisho!

Tatizo linakuja usiku hapokei cm kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka, akipata tatizo la pesa anapiga cm hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi cm hapokei!

Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma mkwawa nisiendelee kupigwa!
Pole sana huwezi ukaanza kuargue moja kwa moja huenda ni kweli unakuta harakati za masomo kwa siku zinamchanganya, mimi siamini kwamba kila msichana akifanya hivyo anakuwa anakusaliti hapana! Unaweza kukuta ni kweli anakua amechoka tafadhali usimhukumu moja kwa moja bila kupata uthibitisho. Sio kila msichana akionesha hivyo ni msaliti[emoji3578]
 
Macho yanaona ila moyo wako unakataa. Ana bwana tena mwanafunzi mwenzake wewe ni atm tu
Duu mkuu umetoa bonge la wazo zuri ama neno zuri la kitalaamu kuwa. MACHO YANAFANYEJE NA MOYO JE, naomba urudie ili nikuelewe vizuri
 
Kuna mwana anaua third year pale nikupe no yake?[emoji23],,

Sikia mzee wasichana wengi wa chuo, wanampenzi wa chuo na pia wanampenzi wa nyumbani, kwahiyo saizi probably ni zamu ya huyo wa chuo we subiri arudi na huna namna utafanya kuzuia hilo labda ukawe lecture pale,,nimesema PROBABLY ila chance ni 80%

Ushauri
Iwe safari yake Bado(kama first au second year) au ndio mwaka wa mwisho wae amua kumsubiri, nimesema AMUA kumsubiri,Yani vumilia yote haya kwasabab wakiendaga chuo wanakuwaga na wenge sana ila wakimaliza ndo akili inawakaa kichwani

Lakini kumsubiri kwako kunaweza kusizae matunda maana uko uko chuo akampata wenyewe wanaitaga soulmate[emoji23], wake afu mwamba ikala kwako

Kwahy kama umeamua kuamini kwamba one day one time mambo yatakuwa yesi, fresh we believe mungu atakusaidia ila jiandae Kwa lolote chuo ni kiwanda cha uzinzi
Umeongea fact tupu
 
Back
Top Bottom