Ushauri: Nina mchumba anasoma chuo cha Mkwawa Iringa, napitia magumu sana!

Acha kutuma pesa Yuko na bwana ake
 
Nitumie namba na jina lake nasoma hapahapa nitakupa jibu soon.
 
Hahaha huko ma vyuoni sasa.....wanavyoishi na mabwana kama wake na mume

Pole sna mkuu usiku huo anamstarehesha wa karbu wewe kaa utulie
 
IIko hivi

Mazingira yanafanya mnakulana kirahisi mfano , wauza mitumba kwa wauza mitumba huko sokoni kupanga kulana Ni simple Sana manake wapo pamoja muda mwingi, wanachuo kwa wanachuo, wanafunzi sekondar na wenzao wa secondary mfano mm nikiwa nasoma labda form 3 kula mwanafunzi mwenzangu ni simple hata akionekana anaingia home inakuwa haina makali tunaweza sema tunasoma tofauti na mwanafunzi aingie kwa dereva toyo (hasomi) hutaeleweka,

Tukiwa chuo ,, watu wapo wa nje wengi Wana ma pesa kipindi verosa ndo imeshika chat wanazo ila kung'oa mama za chuo ilikuwa Kuna ugumu au atoe pesa nyingi Sana sometime kulipa hata hela ya hostel ndo apate utelezi ila sisi wanafunzi wenzao chuoni Ni rahisi Sana kwanza tuko nao muda wote tunasoma pamoja tunawasaidia kwenye pepa hivo mbususu unatunukiwa kirahisi


Mwanamke asome miaka mitatu chuo hajaguswa huyo labda mbovu Hana soko bikra tumezitoa Sana kule
 
….usifikirie vtu ambavyo vitakuumiza mkuu…

kuwa positive,maisha mafupi sana…..enjoy,hakuna mkamilifu ila Muumba wako tu.

Mwisho: Simama kama mwanaume rijali.
 
Umemaliza
 
We tumana pesa ila kuna mtu anamtuliza mwili. Wewe endelea kutuliza moyo wake kwa pesa.
 
Mkuu huyo binti ana wazazi wake na wewe umeongezwa kwenye list na kuwa mlezi wake endelea kumlea akikua ataenda sasa kwa mumewe ........soma mara tatu alafu kunywa maji mengi anza upya samehe na kusahau kama kweli anakupenda atajua alipokosea atakuangukia kwa msamaha na kuendeleza gurudumu la maisha
 
mwanamke yoyote.kama mimsomi au ameajiriwa.....nanimkeo au mpenziwako......nataka kusema hivii...........hatakama hujagundua chochote chakutia shaka kwake.......mkuuu...mkuuu..una..una..unagongewaaaaaaaaaaaaa....usijipe matumaini.unagongewa.naakiwa mbali nawewe ujue ameolewa kabisaaaaaaa
 
Women value strength in men they desire. They already have a pussy they don’t want to deal with another one.
 
Kikubwa afunge safar ya siri hadi hapo chuo afuatilie nyendo za huyo mchumba ila ajiandae kwa lolote na ajiandae asijevunja sheria. Binafsi nilifanya ujinga kama huu na nilienda mbali zaidi nilibeba majukum ya wazazi kwa kumsomesha na kulipa kila kitu hadi kusuka nywele,mavazi nk. Siku anapata kazi nikamnunulia kila kitu cha kuanzia kwenye ajira yake mpya tv,redio,godoro nk na kodi ya miezi 6 juu. Ilikuwa mwezi wa 7 naenda kumtembelea kazini kwake huko mwanza mwezi wa 12 nakuta anamimba ya mkuu wake wa idara.[emoji848]
 
Noma sana!
 
Mkuu tunaomba utupe mrejesho....AF kuwa makin yasije yakakukuta ya RAPCHA kwa LISSA.
Hawa wachumba wa chuo vizuri muwasubirie wakirudi likizo tu, kuwafata chuo ni kutafuta kifo tu. Pana mmoja alitoka mtaani akaingia chumba cha mchumba wake wa kike kuingia ghafla anakuta jinsia mbili tofauti zinafanya mazoezi kitandani ile kuhamaki tu, akiitiwa mwizi na mchumba wake wa kike,ukiishaitiwa mwizi hostel unategemea zaidi ya kifo.
Mchumba wako akishaenda chuo sio wako huyo labda akiwa mke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…