Ushauri: Nina mchumba anasoma chuo cha Mkwawa Iringa, napitia magumu sana!

Ushauri: Nina mchumba anasoma chuo cha Mkwawa Iringa, napitia magumu sana!

Wadau tupeane uzoefu kidogo, nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari, huyu dada ni msukuma wa Lunzewe, yupo chuo cha Mkwawa Iringa mwaka wa mwisho!

Tatizo linakuja usiku hapokei simu kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka, akipata tatizo la pesa anapiga simu hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi simu hapokei!

Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma Mkwawa nisiendelee kupigwa!
Acha kutuma pesa Yuko na bwana ake
 
Hahaha huko ma vyuoni sasa.....wanavyoishi na mabwana kama wake na mume

Pole sna mkuu usiku huo anamstarehesha wa karbu wewe kaa utulie
 
IIko hivi

Mazingira yanafanya mnakulana kirahisi mfano , wauza mitumba kwa wauza mitumba huko sokoni kupanga kulana Ni simple Sana manake wapo pamoja muda mwingi, wanachuo kwa wanachuo, wanafunzi sekondar na wenzao wa secondary mfano mm nikiwa nasoma labda form 3 kula mwanafunzi mwenzangu ni simple hata akionekana anaingia home inakuwa haina makali tunaweza sema tunasoma tofauti na mwanafunzi aingie kwa dereva toyo (hasomi) hutaeleweka,

Tukiwa chuo ,, watu wapo wa nje wengi Wana ma pesa kipindi verosa ndo imeshika chat wanazo ila kung'oa mama za chuo ilikuwa Kuna ugumu au atoe pesa nyingi Sana sometime kulipa hata hela ya hostel ndo apate utelezi ila sisi wanafunzi wenzao chuoni Ni rahisi Sana kwanza tuko nao muda wote tunasoma pamoja tunawasaidia kwenye pepa hivo mbususu unatunukiwa kirahisi


Mwanamke asome miaka mitatu chuo hajaguswa huyo labda mbovu Hana soko bikra tumezitoa Sana kule
 
….usifikirie vtu ambavyo vitakuumiza mkuu…

kuwa positive,maisha mafupi sana…..enjoy,hakuna mkamilifu ila Muumba wako tu.

Mwisho: Simama kama mwanaume rijali.
 
Kuna mwana anaua third year pale nikupe no yake?[emoji23],,

Sikia mzee wasichana wengi wa chuo, wanampenzi wa chuo na pia wanampenzi wa nyumbani, kwahiyo saizi probably ni zamu ya huyo wa chuo we subiri arudi na huna namna utafanya kuzuia hilo labda ukawe lecture pale,,nimesema PROBABLY ila chance ni 80%

Ushauri
Iwe safari yake Bado(kama first au second year) au ndio mwaka wa mwisho wae amua kumsubiri, nimesema AMUA kumsubiri,Yani vumilia yote haya kwasabab wakiendaga chuo wanakuwaga na wenge sana ila wakimaliza ndo akili inawakaa kichwani

Lakini kumsubiri kwako kunaweza kusizae matunda maana uko uko chuo akampata wenyewe wanaitaga soulmate[emoji23], wake afu mwamba ikala kwako

Kwahy kama umeamua kuamini kwamba one day one time mambo yatakuwa yesi, fresh we believe mungu atakusaidia ila jiandae Kwa lolote chuo ni kiwanda cha uzinzi
Umemaliza
 
We tumana pesa ila kuna mtu anamtuliza mwili. Wewe endelea kutuliza moyo wake kwa pesa.
 
Wadau tupeane uzoefu kidogo, nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari, huyu dada ni msukuma wa Lunzewe, yupo chuo cha Mkwawa Iringa mwaka wa mwisho!

Tatizo linakuja usiku hapokei simu kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka, akipata tatizo la pesa anapiga simu hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi simu hapokei!

Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma Mkwawa nisiendelee kupigwa!
Mkuu huyo binti ana wazazi wake na wewe umeongezwa kwenye list na kuwa mlezi wake endelea kumlea akikua ataenda sasa kwa mumewe ........soma mara tatu alafu kunywa maji mengi anza upya samehe na kusahau kama kweli anakupenda atajua alipokosea atakuangukia kwa msamaha na kuendeleza gurudumu la maisha
 
mwanamke yoyote.kama mimsomi au ameajiriwa.....nanimkeo au mpenziwako......nataka kusema hivii...........hatakama hujagundua chochote chakutia shaka kwake.......mkuuu...mkuuu..una..una..unagongewaaaaaaaaaaaaa....usijipe matumaini.unagongewa.naakiwa mbali nawewe ujue ameolewa kabisaaaaaaa
 
Wadau tupeane uzoefu kidogo, nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari, huyu dada ni msukuma wa Lunzewe, yupo chuo cha Mkwawa Iringa mwaka wa mwisho!

Tatizo linakuja usiku hapokei simu kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka, akipata tatizo la pesa anapiga simu hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi simu hapokei!

Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma Mkwawa nisiendelee kupigwa!
Women value strength in men they desire. They already have a pussy they don’t want to deal with another one.
 
Saivi unayo kitu inaitwa perceptual blind spot. Kiufupi hauna mke ameshakuzoea amekuona huna value kwake. Nakuambia ukweli sema hutonielewa Mana saivi unayo iyo perceptual blind spot in your mind. Yaani huwezi ona. Already you're operating under fight/flight mode of our survival ancestry caveman brain mode mkuu. Yaani narudia kopi hii isevu in your email baada ya miaka mitano utakuja kunielewa. Kama vipi nipe namba yako wozapu nikuokoe Kuna Kodi nyingine Naona tunaenda kupoteza ama kupunguza Mana huwezi fanya kazi zako vizuri. Nikuambie tu mie nimesoma na hao wanachuo mpaka nje kwa Putin nimesoma nimewachakata mbususu zote adi za kirusi Ila nimerudi bush kwetu nikaoa lasaba mkuu. Can you imagine like.
Naomba tuwasiliwane nikuambie ukweli ambao sahihi hutoelewa Ila ubongo utataka kulazimisha kuona ambacho inataka kuuona. Nakuhurumia niliyapitia hayo mkuu.
Kikubwa afunge safar ya siri hadi hapo chuo afuatilie nyendo za huyo mchumba ila ajiandae kwa lolote na ajiandae asijevunja sheria. Binafsi nilifanya ujinga kama huu na nilienda mbali zaidi nilibeba majukum ya wazazi kwa kumsomesha na kulipa kila kitu hadi kusuka nywele,mavazi nk. Siku anapata kazi nikamnunulia kila kitu cha kuanzia kwenye ajira yake mpya tv,redio,godoro nk na kodi ya miezi 6 juu. Ilikuwa mwezi wa 7 naenda kumtembelea kazini kwake huko mwanza mwezi wa 12 nakuta anamimba ya mkuu wake wa idara.[emoji848]
 
Huyo sio mchumba. Huyo ni muwekazaji. Na wewe ndio biashara yenyewe. Akihitaji faida ya biashara yake anakutafuta.

Asipopokea siku nyingine basi elewa yupo kwenye kufuatilia biashara zake nyingine. Kawaida kuna biashara huwa zina faida zaidi na hizo ndizo wawekezaji hupenda kutumia muda mwingi nazo.
Noma sana!
 
Mkuu tunaomba utupe mrejesho....AF kuwa makin yasije yakakukuta ya RAPCHA kwa LISSA.
Hawa wachumba wa chuo vizuri muwasubirie wakirudi likizo tu, kuwafata chuo ni kutafuta kifo tu. Pana mmoja alitoka mtaani akaingia chumba cha mchumba wake wa kike kuingia ghafla anakuta jinsia mbili tofauti zinafanya mazoezi kitandani ile kuhamaki tu, akiitiwa mwizi na mchumba wake wa kike,ukiishaitiwa mwizi hostel unategemea zaidi ya kifo.
Mchumba wako akishaenda chuo sio wako huyo labda akiwa mke.
 
Back
Top Bottom