The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Pole sana Mkuu.
Ndiyo maana maandiko yanasema Ukiijua kweli nayo kweli itakuweka Huru.
Haijalishi utajisikiaje, ila ni vyema kusema ukweli japo kuna wengine huwa hawapendi kuambiwa Ukweli.
Kuna ndoa fulani, Mume akataka kujua Idadi ya wapenzi aliowahi Mke wake kuwa nao kabla yake.
Mke akasema vyema aanze Mume kutaja idadi ya wapenzi wake kwanza, Mume aka hesabu akapata Idadi ya Wapenzi 12
Ikafika Zamu ya Mke kutaja idadi ya Wapenzi wake aliowahi kudate nao.
Mke baada ya kuhesabu akapata Wanaume 102 waliwahi kumdate.
Ndoa yao iliishia pale pale
Hiyo sio sawa. Wanaume tuna wivu sana. Hayo mambo mengine ya awali usitake kabisa kuyafukua.
Inamaana alitarajia mdada wa watu awe alikua anamsubiria yeye tu?
Kama wote wamekutana used hakuna wa kumlaumu mwenzake, haijalishi anawabeba kwenye kirikuu, IST, baiskeli au mwendo Kasi.