🤜🤛💪Wewe mtu mmoja kidume unataka mahusiano mazuri na mke wako asiyw, unataka watoto wa nje ya ndoa, unataka hao watoto wa nje ya ndoa wasijulikqne na mkeo, nq pia unataka mahusiqno mqzuri na hao watoto mpaka uwape urithi.
Chagua moja, kipaumbele chako ni nini?
Mahusiano mazuri na mke au mahusiano mazuri na haki ya urithi kwa watoto?
Huwezi kupata kila unachotaka kila siku.
Swali lake haliendani na ulichoandika wewe.AJibu hilo mkuu
Mwanamme anamuogopa mke wake, halafu anafanya michezo ya hatari.🤜🤛💪
Mr kiranga the gritaaa😅😅
Kama namuogopa mwanamke/mke huku nasambaza mbegu inabidi nijitoe kwenye uwanaume.Mwanamme anamuogopa mke wake, halafu anafanya michezo ya hatari.
Chagua moja, unataka kuishi kwa kumuogopa mke wako au kwa kucheza michezo ya hatari?
Ukitaka kufanya yote kwa pamoja unaji contradict.
Yani unapoteza hata ule u barubaru wa kusema wewe ni dume la mbegu umesambaza mbegu duniani.
Unakuwa dume la mbegu la kusambaza mbegu duniani, halafu, unaogopa mke?
Ww ni demuWakina mama ukiona mume wako kaja tuu kukwambia anamtoto nje ya ndoa ,
Yani maana yake mahusiano yenu hayajajengwa kwa kuaminiana.
Yani mumeo anakuona kama kinyago tuu hapo home.
Na ni sawa tuu kwa upande mwanaume kwa mkewe.
Mkuu hizi mali yeye kaniambia kashilikiana na mkewe kwa 100% .Mwanamme anamuogopa mke wake, halafu anafanya michezo ya hatari.
Chagua moja, unataka kuishi kwa kumuogopa mke wako au kwa kucheza michezo ya hatari?
Ukitaka kufanya yote kwa pamoja unaji contradict.
Yani unapoteza hata ule u barubaru wa kusema wewe ni dume la mbegu umesambaza mbegu duniani.
Unakuwa dume la mbegu la kusambaza mbegu duniani, halafu, unaogopa mke?
Hapo hakuna mke ni kufukuza tu labda kama jamaa ni mariooDuu kuna kaka mmoja yeye ana mkewe walikuwa na watoto 3 wakike tupu. Sasa akaamua kwenda kuzaa nje kutafuta mtoto wa kiume alifanikiwa na kwenda kumtambulisha kwa ndugu kama wote mkewe aligombananae ila wakamwambia tuh huyu ni mtoto wake hata ukachukia haisaidii.
akakukubali.
Ndugu wa mwanaume wakamwambia kaka yao huyo ni mtoto wako mchukue ukae nae azoeane na wenzie. Yule kaka akamchukua akawa anaishi nae mkewe akanyamaza. Mawifi wakawa wanamsema tuu dada yule kuwa hamtaki mtoto wa mume wake.
Sasa mkewe nae akaamua kuzaa nje , yeye na mkewe ni weupe kwa hio watoto wote ni weupe mpaka wa mume wa nje.
Ila mkewe akachepuka na mwanaume mweusi , mtoto kazaliwa mweusi , mume eee.
Mkewe wake akamwambia huyu mtoto sio wako anaBaba yake.
Kwenye cheti cha kuzaliwa mama akaandika Baba yake halisi na sio mume wake. Yule kaka alilalamika sana kwao.
ILA baba yale alimwambia kuwa Hata wewe ulifanya hivyo hivyo kuwa mpole tuu najua unaumia kuwa mpole tuu.
Dada zake walimtukuna sana yule dada. Ndoa ya kikristo. Wakawashauri tuu tulieni mlee watoto hao. Sasa hivi wote ni wakubwa kipindi cha likizo wa nje wote wanaenda kwa wazazi wao kuwasalimia likizo ikiisha wanarudi. Familia inawatoto 5 sasa.
Kwani wapi nimesema hakushirikiana na mke wake?Mkuu hizi mali yeye kaniambia kashilikiana na mkewe kwa 100% .
Walikuwa wote hawana kitu , yeye na mkewe ndo wameshirikiana pamoja wakazipata hizo mali.
Sio yeye kachangia kwa 100.
Ni kama 50 kwa 50 hivi ba mkewe.
Kama ni mimi hapo wife angehama home na mtoto wake. Usiniulize kwanini. Hata simba wa porini hawezi kukubali kuletewa mchepuko kwenye himaya yake sembuse mtoto? Kama mtaita ubabe na mfumo dume sawa tuu.Duu kuna kaka mmoja yeye ana mkewe walikuwa na watoto 3 wakike tupu. Sasa akaamua kwenda kuzaa nje kutafuta mtoto wa kiume alifanikiwa na kwenda kumtambulisha kwa ndugu kama wote mkewe aligombananae ila wakamwambia tuh huyu ni mtoto wake hata ukachukia haisaidii.
akakukubali.
Ndugu wa mwanaume wakamwambia kaka yao huyo ni mtoto wako mchukue ukae nae azoeane na wenzie. Yule kaka akamchukua akawa anaishi nae mkewe akanyamaza. Mawifi wakawa wanamsema tuu dada yule kuwa hamtaki mtoto wa mume wake.
Sasa mkewe nae akaamua kuzaa nje , yeye na mkewe ni weupe kwa hio watoto wote ni weupe mpaka wa mume wa nje.
Ila mkewe akachepuka na mwanaume mweusi , mtoto kazaliwa mweusi , mume eee.
Mkewe wake akamwambia huyu mtoto sio wako anaBaba yake.
Kwenye cheti cha kuzaliwa mama akaandika Baba yake halisi na sio mume wake. Yule kaka alilalamika sana kwao.
ILA baba yale alimwambia kuwa Hata wewe ulifanya hivyo hivyo kuwa mpole tuu najua unaumia kuwa mpole tuu.
Dada zake walimtukuna sana yule dada. Ndoa ya kikristo. Wakawashauri tuu tulieni mlee watoto hao. Sasa hivi wote ni wakubwa kipindi cha likizo wa nje wote wanaenda kwa wazazi wao kuwasalimia likizo ikiisha wanarudi. Familia inawatoto 5 sasa.
Wa ndani 2 ni wakubwa ila wa 3 ni mdogo kuliko wa njeSwali: Watoto wa nje ya ndoa ni wakubwa kuliko wa ndani ya ndoa?
Hii ndo njia mzuri nafikilkNjia nyingine ya ku deal na hii ishu ni kuwajengea maisha hao watoto wa nje huko huko waliko wao na mama zao. Mfano unaweza kumfungulia mama yao biashara na ukawajengea mji wao, ili wajitegemee huko wasije kudai urithi uliochuma na mke wa ndoa.
Imekula kwake mwambie aamue kiuanaume.Wa ndani 2 ni wakubwa ila wa 3 ni mdogo kuliko wa nje
No ni watoto 2 , wao wa nje ndo wadogo sorry nimechananyaImekula kwake mwambie aamue kiuanaume