Johnson12345
JF-Expert Member
- May 29, 2023
- 207
- 498
- Thread starter
- #41
Mkubwa anaumri wa 15 mdogo ni 12.
Ila wa nje sijajua umri wao ila ni wadogo
Ila wa nje sijajua umri wao ila ni wadogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi punguza hasiraWw ni demu
Hii ndo mzuri kuna baba mmoja alifanya hivyo.Njia nyingine ya ku deal na hii ishu ni kuwajengea maisha hao watoto wa nje huko huko waliko wao na mama zao. Mfano unaweza kumfungulia mama yao biashara na ukawajengea mji wao, ili wajitegemee huko wasije kudai urithi uliochuma na mke wa ndoa.
Kwa hio wewe ulivyofanya ilikuwa sawa eti??Kama ni mimi hapo wife angehama home na mtoto wake. Usiniulize kwanini. Hata simba wa porini hawezi kukubali kuletewa mchepuko kwenye himaya yake sembuse mtoto? Kama mtaita ubabe na mfumo dume sawa tuu.
DuuuuYaani nawashangaa wanawake wanaoolewa siku hizi, kwanini uolewe? Kwanini unakubali kwa akili zako timamu kumpa mtu mwingine Uhuru wa kukuumiza kihisia na kukosa furaha maisha yako yote? Yaani kwanini?? Huwa naelewa nikiona wale ambao maisha kidogo yamekua magumu naona labda anataka wa kumlisha na kumhudumia, Ila mtu una kazi una weza kujihudumia kila kitu kwanini unajiingiza kwenye jehanamu inayoitwa ndoa?? Ndoa ni tamu Sana kwa mwanaume Ila kwa wanawake hahah dah ni huzuni Ila oleweni wenyewe mnasema ndoa ni heshima, sijawahi kuelewa logic ya ndoa kabisa zaidi ya kujitafutia maumivu ya kihisia, stress, pressure in your 30s, na kufa mapema kwa magonjwa ya kuletewa.
Atafute mwanasheria, andike mgawanyo wa mali zake, Ndugu wa karibu wawe na taarifa uwepo wa usia na mwanasheria pia atambulishwe ni nani hasa wa kukabidhiwa huo usia wa mgawanyo wa mali, ili kwa siku za usoni kusiwe na shida kuhusu mali, watoto wote wapate haki zao stahiki.Wadau ushauri, maana anaona akiacha tuu mali watagawana na kumuacha mkewe na maumivu makubwa sana. Yeye hilo hataki, sasa alikuwa ananiambia mimi kuwa abadilishe hati ya nyumba na mali zingine kwenda kwa majina ya watoto wa ndoa tuu. Mimi nilikuwa sina cha kumjibu nilibaki namwangalia tuu.
Ya niushauri mzuri sana .Agawane mali na mkewe nusu kwa nusu, halafu nusu yake aigawe kwa familia ya ndoa na ya nje ya ndoa.
Kwanini jasho la mwanamke wa ndoa ligawanwe na wa nje ya ndoa? Huyo mama wa nje ya ndoa akifariki atawagawia mali watoto wa ndoani?
Kivipi Amandine mkuu fungukaandike mgawanyo wa mali zake,
Mfano naomba ufafanuzi agawe kivipi mkuuAtafute mwanasheria, andike mgawanyo wa mali zake, Ndugu wa karibu wawe na taarifa uwepo wa usia na mwanasheria pia atambulishwe ni nani hasa wa kukabidhiwa huo usia wa mgawanyo wa mali, ili kwa siku za usoni kusiwe na shida kuhusu mali, watoto wote wapate haki zao stahiki.
Chukua hili mfikishie mgonjwa.
Kwa mfano badala ya kuanza kubadili majina ya umiliki wa mali kienyeji, atumie mwanasheria amuandalie kila kitu kwa kadri yeye anavyotaka iwe.Kivipi Amandine mkuu funguka
Ngoja nachukua huu ushauriAgawane mali na mkewe nusu kwa nusu, halafu nusu yake aigawe kwa familia ya ndoa na ya nje ya ndoa.
Kwanini jasho la mwanamke wa ndoa ligawanwe na wa nje ya ndoa? Huyo mama wa nje ya ndoa akifariki atawagawia mali watoto wa ndoani?
Mwenye mali ndiye anajua kwamba mali hii na hii iende kwa mtoto huyu na yule, aweke kwa mandishi kwa msaada wa mwanasheri, iwe ni sehemu ya usia wake.Mfano naomba ufafanuzi agawe kivipi mkuu