Ushauri, niwahusishe watoto wangu wa nje ya ndoa kwenye urithi?

Ushauri, niwahusishe watoto wangu wa nje ya ndoa kwenye urithi?

"Tangu aisha na mkewe hajawahi kugombana nae".......uwongoo,huu ni uwongo kabisaa
 
Wosia bila kumshirikisha mke utaleta ugumu kuthibitisha kuwa hizo alizozitaja ni mali zake binafsi. Ndio sababu ya kutaka mke atie saini yake kwenye wosia (kama shahidi) ili kuepusha migogoro kama hiyo ya kujua kama mali ni za binafsi au za wanandoa wote. Bila kuconfess sasa mke atasaini vipi wosia wako? Wosia unakuwa batili
Nimesema kwa mali zake binafsi Mkuu sio walizochuma pamoja
 
Makosa hutokea na makosa kaumbiwa mwandamu

Siungi mkono suala la kuzaa nje ya ndoa

Ila pia niwakumbushe wazazi kuhusu mtoto
Unapozaa mtoto hilo ni jukumu lako,mtoto ndiye ndugu yako usimfiche!

Nashauri watoto wapewe sehemu yao
 
Duu kuna kaka mmoja yeye ana mkewe walikuwa na watoto 3 wakike tupu. Sasa akaamua kwenda kuzaa nje kutafuta mtoto wa kiume alifanikiwa na kwenda kumtambulisha kwa ndugu kama wote mkewe aligombananae ila wakamwambia tuh huyu ni mtoto wake hata ukachukia haisaidii akakukubali.

Ndugu wa mwanaume wakamwambia kaka yao huyo ni mtoto wako mchukue ukae nae azoeane na wenzie. Yule kaka akamchukua akawa anaishi nae mkewe akanyamaza. Mawifi wakawa wanamsema tuu dada yule kuwa hamtaki mtoto wa mume wake.

Sasa mkewe nae akaamua kuzaa nje, yeye na mkewe ni weupe kwa hio watoto wote ni weupe mpaka wa mume wa nje.

Ila mkewe akachepuka na mwanaume mweusi, mtoto kazaliwa mweusi , mume eee.

Mkewe wake akamwambia huyu mtoto sio wako anaBaba yake.

Kwenye cheti cha kuzaliwa mama akaandika Baba yake halisi na sio mume wake. Yule kaka alilalamika sana kwao.

ILA baba yale alimwambia kuwa Hata wewe ulifanya hivyo hivyo kuwa mpole tuu najua unaumia kuwa mpole tu.

Dada zake walimtukuna sana yule dada. Ndoa ya kikristo. Wakawashauri tuu tulieni mlee watoto hao. Sasa hivi wote ni wakubwa kipindi cha likizo wa nje wote wanaenda kwa wazazi wao kuwasalimia likizo ikiisha wanarudi. Familia inawatoto 5 sasa.

Unadangany hakuna mwanaume wa hivyo duniani hiyo ndoa inakufa au afe mtu kwanza hakuna mzaz ambae atamwabia wew ulifany ivyo ndoa ivunjwe tu mwanaume umuzalie ajue mtot siwe wake hahahah huo ni uongo bna
 
Kwa upande wangu kama Mimi baba yake nmetafta nmepata hicho kidgo nyy atatafta atapata ntamuombea heri kwenye safar yke na utaftaji nadhani utkua urithi Bora.[emoji120][emoji120]

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Wosia bila kumshirikisha mke utaleta ugumu kuthibitisha kuwa hizo alizozitaja ni mali zake binafsi. Ndio sababu ya kutaka mke atie saini yake kwenye wosia (kama shahidi) ili kuepusha migogoro kama hiyo ya kujua kama mali ni za binafsi au za wanandoa wote. Bila kuconfess sasa mke atasaini vipi wosia wako? Wosia unakuwa batili
Hasa mkeo akiwa na ushahidi tosha kuwa alishiriki kwenye hizo mali
 
Binafsi inategemea kama baba alimuoa mke wake akiwa tayari amejijenga kiuchumi mke kaendeleza ni busara akawapa watoto wa nje urithi. Lkn kama ndo walianza kutafuta mali na mke wake kuanzia 0 hapo pagumu.

Ndo maana huwa nasema kama mwanamke unakubali kuzaa na mume mwenye familia hakikisha unaweka msingi mzuri wa watoto wako unaozaa. Isifike hatua unaanza kulalamika wanawake wana roho mbaya. Fikiria mwanamke mwenzako alikua halali au wakati mwingine wanalala njaaa ili watatute mali.
Leo hii aambiwe nyumba fulani wanapewa watoto njee. Ni ngumu kubeba. Kwanza unakuwa na maumivu ya kusalitiwa pili unawaza juhudi zako ulizoweka kupambana leo hii unaenda kumpa mtoto aliyepatikana kwa usaliti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Walianza ziro wote jamaa alioa mapema sana
 
Unadangany hakuna mwanaume wa hivyo duniani hiyo ndoa inakufa au afe mtu kwanza hakuna mzaz ambae atamwabia wew ulifany ivyo ndoa ivunjwe tu mwanaume umuzalie ajue mtot siwe wake hahahah huo ni uongo bna
Haaaa uwanini mkuu, imekuimekuchoma nini 🤣🤣🤣🤣
 
"Tangu aisha na mkewe hajawahi kugombana nae".......uwongoo,huu ni uwongo kabisaa
Mkuu elewa kaka, yeye ndivyo alivyo niqmbia kuwa wameishi kwa amani sana na mkewe.
Wewe kama ndoa yako inashida ni yako tuu.
Sisi wengine ndo hivyo
 
Duu kuna kaka mmoja yeye ana mkewe walikuwa na watoto 3 wakike tupu. Sasa akaamua kwenda kuzaa nje kutafuta mtoto wa kiume alifanikiwa na kwenda kumtambulisha kwa ndugu kama wote mkewe aligombananae ila wakamwambia tuh huyu ni mtoto wake hata ukachukia haisaidii akakukubali.

Ndugu wa mwanaume wakamwambia kaka yao huyo ni mtoto wako mchukue ukae nae azoeane na wenzie. Yule kaka akamchukua akawa anaishi nae mkewe akanyamaza. Mawifi wakawa wanamsema tuu dada yule kuwa hamtaki mtoto wa mume wake.

Sasa mkewe nae akaamua kuzaa nje, yeye na mkewe ni weupe kwa hio watoto wote ni weupe mpaka wa mume wa nje.

Ila mkewe akachepuka na mwanaume mweusi, mtoto kazaliwa mweusi , mume eee.

Mkewe wake akamwambia huyu mtoto sio wako anaBaba yake.

Kwenye cheti cha kuzaliwa mama akaandika Baba yake halisi na sio mume wake. Yule kaka alilalamika sana kwao.

ILA baba yale alimwambia kuwa Hata wewe ulifanya hivyo hivyo kuwa mpole tuu najua unaumia kuwa mpole tu.

Dada zake walimtukuna sana yule dada. Ndoa ya kikristo. Wakawashauri tuu tulieni mlee watoto hao. Sasa hivi wote ni wakubwa kipindi cha likizo wa nje wote wanaenda kwa wazazi wao kuwasalimia likizo ikiisha wanarudi. Familia inawatoto 5 sasa.
Duu! Hiyo inaitwa tit for tat! Jino kwa jino. Na mwanamke aliamua kufanya makusudi kabisa

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Walianza ziro wote jamaa alioa mapema sana
Daaaa hiyo ndo changamoto sana. Angejua angewekeza mapema kwa ajili ya watoto hao. Kama wametoka from zero hapo kimbembe. Na kitachotokea ndugu hapo hatuombei mabaya. Ndugu wa mume watamjaza huyo mama mwenye watoto upepo ili wadai urithi kwa nguvu na wao wawape back up lkn mwisho wa siku ni mvurugano.
Hapo ndo yanapotokea majuto .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unadangany hakuna mwanaume wa hivyo duniani hiyo ndoa inakufa au afe mtu kwanza hakuna mzaz ambae atamwabia wew ulifany ivyo ndoa ivunjwe tu mwanaume umuzalie ajue mtot siwe wake hahahah huo ni uongo bna
Sasa usichoamini wewe ni nini?
Kama mwanaume tuu mkewe anazaa nje na anamsamehe na wanaendelea na maisha unashangaa nini.
Yuzi ngapi zimekuja hapa ke imezaa nje na me imemsamehe mkewe.
Japo wao mpaka sasa hawausiqno mazuri na mkewe anaishi kwa sababu ya watoto tuu.
Wanagombana mara kwa mara.
 
Unadangany hakuna mwanaume wa hivyo duniani hiyo ndoa inakufa au afe mtu kwanza hakuna mzaz ambae atamwabia wew ulifany ivyo ndoa ivunjwe tu mwanaume umuzalie ajue mtot siwe wake hahahah huo ni uongo bna
Sijui weww ni me au ke sijui.
Kama ni me nyie mnajifanya wema sana mkifanya maovu ni sawa ila mke akifanya sio sawa eboo.
 
Mkuu elewa kaka, yeye ndivyo alivyo niqmbia kuwa wameishi kwa amani sana na mkewe.
Wewe kama ndoa yako inashida ni yako tuu.
Sisi wengine ndo hivyo
Kabisa kuna watu wanandoa wanaishi kwa amani kuwezi amini. Kuna familia moja naifahamu jaman wameishi zaidi ya miaka 30 hawajawahi kugombana wala kupeleka mashtaka kwenye familia wala marafiki.

Hadi leo hii kama chakula kipo tayari mmoja hali hadi mwenzake arudi. Labda kama anaratiba imembanana majukumu tena wanapeana taarifa. Acheni tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa kuna watu wanandoa wanaishi kwa amani kuwezi amini. Kuna familia moja naifahamu jaman wameishi zaidi ya miaka 30 hawajawahi kugombana wala kupeleka mashtaka kwenye familia wala marafiki.

Hadi leo hii kama chakula kipo tayari mmoja hali hadi mwenzake arudi. Labda kama anaratiba imembanana majukumu tena wanapeana taarifa. Acheni tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo wengi tuu,
Ndo kuwa na shida ni wanandoa wenyewe
 
Hao ni watoto wake , awape asilimia zao, ujinga ni ujinga mkubwa mwanaume unazaa njee halafu eti unaogopa kuwatambulisha watoto wako na kuushi nao eti unamuogopa mkeo, tengeneza bond yako na watoto wako wote watapendana sio wakutane uzeeni, mimi baba yangu alikuwa na ndoa moja ya kikristo ila alizaa na wanawake wengine watano na watoto wote aliwachukua wakiiwa wadogo so tulifahamiana utotoni.

Tulikua pamoja na hadi leo sioni tofauti kati yetu wote ni watoto wa mtu mmoja, na good things mzee alimpatia kila mtoto urithi wake , hata alipofariki hatukugombana wala kugawana chochote, mali ambazo hazikugawanywa zipo chini ya mama yangu mzazi na mimi ndiye msimamizi wa mali hizo za familia.

Kwa sababu mama aliwalea jamaa haawa wote wanamheshimu sana na hata baada ya mzee kufariki jamaa wanafika home kila december na famila zao na mazawadi kibao, teach your son and daugheters to love each others regardless ones born out of wedlock, thats makes famili
Hii kauli wanaume wasipo izingatia basi tu.

Mimi imenitokea kabla ya ndoa nilizaa na mdada mmoja, alipojifungua tu tilipishana tukaachana. Haikuchukua muda nikaoa, na wakati naoa huyo bidada wa ndoa nilikuwa nishampiga mimba kiasi cha mtoto wa kwanza na huyu wa ndoa wanapishana miezi nane tu.

Nilichokifanya ni kumjulisha wife niko na mtoto nilizaa tena nikamtisha kwamba wako wawili sehemu tofauti ili baadae akiona mmoja aone nafuu. Mtoto yule wa nje alipotimiza miaka nne nikampanga mama yake kwamba mtoto inabidi aje home ili atengeneze mahusiano na wenzake tangu akiwa mdogo ili asionekane baadae kafuata urithi tu. Haikuwa rahisi kwa mama wote wawili lakini kama mwanaume nilishupaza shingo. Hata mama wa ndoa aliponipa majaribu nilimwambia kama haoni thamani ya mwanangu kuwa pale niko tayari kuvunjika ndoa ili nilee mwanangu. Baada ya msimamo mtoto yupo home tangu akiwa na miaka 4, now standard three, 8 yrs anaishi bila kelele.

Namalizia kwamba UDUGU NI UTOTONI. Hapo ndipo chimbuko la hisia.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Nimesema kwa mali zake binafsi Mkuu sio walizochuma pamoja
Nimekuelewa ila nilichokujibu ni kuwa lazima confession iwepo kwa sababu bila kujali mali ni zake binafsi, lazima wosia umhusishe mke kama shahidi, sasa usipomwambia ukweli mkeo atakubali vipi kushuhudia wosia wako!!
 
Back
Top Bottom