Ushauri, niwahusishe watoto wangu wa nje ya ndoa kwenye urithi?

Ushauri, niwahusishe watoto wangu wa nje ya ndoa kwenye urithi?

Alitakiwa kuwatengenezea urithi wao watoto wake huko huko kwa mchepuko wake mapema habari za kuanza kuomba ushauri sahivi baada ya maji kufika shingoni sio mazuri katafuta Mali na mke wake wa ndoa Mali zibaki kwa watoto hao wa ndoa ,awarithishe watoto wake wa nje Mali walizochuma na mchepuko wake .
 
Habari,

Kuna rafiki yangu mmoja nilizoeana nae mda kidogo na tunafamianane kutoka na biashara zetu yeye anaumri wa 43 now. Ila kwa sasa anahali mbaya ya kiafya anaumwa magojwa yasiotibika haya kupona haiwezakani kabisa.

Sasa miaka kadhaa ya nyuma alipata mchepuko, katika kukutana na mchepuka akampatia ujauzito akafanikiwa kupata mtoto wa kiume, kafananae sana maana nimemwona kwenye picha. Baada ya miaka miwili akachepuka tena na huyo huyo mchepuko wake akampa tena ujauzito alimlumu, ila mchepuko alimwambia kuwa mimi nakupenda.

Akaamua kuvunja mahusiano na mchepuko. Ila baadae akaona ngoja tuu awatambulishe watoto kwa kaka zake na dada yake. Alifanikiwa kuwatambulisha ila kwa mkewe hakufanya hivyo. Kutokana na kuaminiana na mke wake.

Sasa ni mogonjwa yeye na mkewe wamejenga nyumba tatu na biashara zao na vitu vingine kama magari. Yeye na mkewe wamezaa watoto 2 tuu.

Shida inakuja hizo mali zote limeandikwa jina lake ila ameshirikiana na mkewe wa ndoa kabisa. Yeye kaniambia tangu aishi na mkewe hajawahi kugombana nae wala kumuona mkewe anashida yoyote. Amenikambia kuwa ni mke mzuri sana na mama bora, hana shida yoyote, hicho ndio kilipelekea hata kuwaambia kaka zake na dada yake wasimwambie mkewe. Hataki mkewe aumie.

Wadau ushauri, maana anaona akiacha tuu mali watagawana na kumuacha mkewe na maumivu makubwa sana. Yeye hilo hataki, sasa alikuwa ananiambia mimi kuwa abadilishe hati ya nyumba na mali zingine kwenda kwa majina ya watoto wa ndoa tuu. Mimi nilikuwa sina cha kumjibu nilibaki namwangalia tuu.

Nikaona isiwe shida ngoja nije hapa JF. Maoni yenu wadau anataka afanye sasa.
Unajua gharama za kubadili hati wewe? TRA wanachukua 10% ya gharama ya nyumba na uwanja! Bado kuna Valuer etc
 
Huyo jamaaa kama bado anazo cent ni vyema akawajengea huko nje AO Watoto wengine / au ata akauza magari Kimyah Kimyah atoe urithi wawatoto wa nje kinyume na hapo maumivu,
 
Duu kuna kaka mmoja yeye ana mkewe walikuwa na watoto 3 wakike tupu. Sasa akaamua kwenda kuzaa nje kutafuta mtoto wa kiume alifanikiwa na kwenda kumtambulisha kwa ndugu kama wote mkewe aligombananae ila wakamwambia tuh huyu ni mtoto wake hata ukachukia haisaidii akakukubali.

Ndugu wa mwanaume wakamwambia kaka yao huyo ni mtoto wako mchukue ukae nae azoeane na wenzie. Yule kaka akamchukua akawa anaishi nae mkewe akanyamaza. Mawifi wakawa wanamsema tuu dada yule kuwa hamtaki mtoto wa mume wake.

Sasa mkewe nae akaamua kuzaa nje, yeye na mkewe ni weupe kwa hio watoto wote ni weupe mpaka wa mume wa nje.

Ila mkewe akachepuka na mwanaume mweusi, mtoto kazaliwa mweusi , mume eee.

Mkewe wake akamwambia huyu mtoto sio wako anaBaba yake.

Kwenye cheti cha kuzaliwa mama akaandika Baba yake halisi na sio mume wake. Yule kaka alilalamika sana kwao.

ILA baba yale alimwambia kuwa Hata wewe ulifanya hivyo hivyo kuwa mpole tuu najua unaumia kuwa mpole tu.

Dada zake walimtukuna sana yule dada. Ndoa ya kikristo. Wakawashauri tuu tulieni mlee watoto hao. Sasa hivi wote ni wakubwa kipindi cha likizo wa nje wote wanaenda kwa wazazi wao kuwasalimia likizo ikiisha wanarudi. Familia inawatoto 5 sasa.
Mke hakutaka kuwa mnyonge akalipa kisasi🤣
 
Wengi huwa wanawarithisha watoto wao wa nje kimya kimya,jamaa awape mali zao sasa hivi bila familia ya ndoa kujua ili kupunguza utata na uadui...ila anaweza kuwatambulisha wajuane.
 
Duu kuna kaka mmoja yeye ana mkewe walikuwa na watoto 3 wakike tupu. Sasa akaamua kwenda kuzaa nje kutafuta mtoto wa kiume alifanikiwa na kwenda kumtambulisha kwa ndugu kama wote mkewe aligombananae ila wakamwambia tuh huyu ni mtoto wake hata ukachukia haisaidii akakukubali.

Ndugu wa mwanaume wakamwambia kaka yao huyo ni mtoto wako mchukue ukae nae azoeane na wenzie. Yule kaka akamchukua akawa anaishi nae mkewe akanyamaza. Mawifi wakawa wanamsema tuu dada yule kuwa hamtaki mtoto wa mume wake.

Sasa mkewe nae akaamua kuzaa nje, yeye na mkewe ni weupe kwa hio watoto wote ni weupe mpaka wa mume wa nje.

Ila mkewe akachepuka na mwanaume mweusi, mtoto kazaliwa mweusi , mume eee.

Mkewe wake akamwambia huyu mtoto sio wako anaBaba yake.

Kwenye cheti cha kuzaliwa mama akaandika Baba yake halisi na sio mume wake. Yule kaka alilalamika sana kwao.

ILA baba yale alimwambia kuwa Hata wewe ulifanya hivyo hivyo kuwa mpole tuu najua unaumia kuwa mpole tu.

Dada zake walimtukuna sana yule dada. Ndoa ya kikristo. Wakawashauri tuu tulieni mlee watoto hao. Sasa hivi wote ni wakubwa kipindi cha likizo wa nje wote wanaenda kwa wazazi wao kuwasalimia likizo ikiisha wanarudi. Familia inawatoto 5 sasa.
Hii hapana aisee, kama jamaa alikubali hili basi ni bwege.
 
Michepuko na watoto wao huleta umasikini, vifo vya haraka na madhira mengi katika ndoa.

HOSEA 1: 2-9

Kama umezaa nje ya ndoa tubu hiyo dhambi.
Watoto ni wa Mungu atajua hatma yao.


Rudi Tulia kwenye ndoa maisha yaendelee.

Mwisho andika Mirathi isiyowatambua hao watoto wa siri wala mama zao.

Ikikupendeza ikiwa unajiweza wape kidogo Chao (vijizawadi mbuzi) mapema kabisa msifahamiane.

Ingawa hiyo haina umuhimu wowote hata kidogo, na sishauri kuifanya.

NB. NAKUPIA WEWE MWANAUME MZINZI KAMWE HUTOKAA UNUFAIKE NA CHOCHOTE KWA HAO WATOTO WAKO WA UZINZI.

ENDELEA KUTII MATAMANIO YAKO YA MWILI, HATMA UTAIONA .
 
Katika vitu naviogopa kwenye ndoa yangu ni siku mume aniambie amechepuka hadi kupata mtoto huko nje, sijui tu ntalipokeaje. Kuniletea ushahidi kwamba alichepuka ni jambo gumu jamani. Nahisi ntaomba likizo kidogo nikapumzika mahali kwa muda usiojulikana.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Njia nyingine ya ku deal na hii ishu ni kuwajengea maisha hao watoto wa nje huko huko waliko wao na mama zao. Mfano unaweza kumfungulia mama yao biashara na ukawajengea mji wao, ili wajitegemee huko wasije kudai urithi uliochuma na mke wa ndoa.

yes hii nakubali
 
Ninao ndugu wa nje kutoka kwa mzee wetu. Mambo ya mali siangaliagi, mi nshasomeshwa kiroho safi nalala mbele. Mama angu mwenyewe anasemaga sina muda wa kugombea ardhi ntazikwa kwenye eneo dogo. Natafuta za kwangu niwaandikie wanangu. Mume wangu akiamua mengine apambane na hali yake. Sasa hivi nalenga unyakuo ukija niondoke na Yesu asiniache nyuma. Hizi mali siendi nazo kokote. Ee Bwana nisaidie.

oooh halleluya praise the Lord[emoji3059]
 
Duu kuna kaka mmoja yeye ana mkewe walikuwa na watoto 3 wakike tupu. Sasa akaamua kwenda kuzaa nje kutafuta mtoto wa kiume alifanikiwa na kwenda kumtambulisha kwa ndugu kama wote mkewe aligombananae ila wakamwambia tuh huyu ni mtoto wake hata ukachukia haisaidii akakukubali.

Ndugu wa mwanaume wakamwambia kaka yao huyo ni mtoto wako mchukue ukae nae azoeane na wenzie. Yule kaka akamchukua akawa anaishi nae mkewe akanyamaza. Mawifi wakawa wanamsema tuu dada yule kuwa hamtaki mtoto wa mume wake.

Sasa mkewe nae akaamua kuzaa nje, yeye na mkewe ni weupe kwa hio watoto wote ni weupe mpaka wa mume wa nje.

Ila mkewe akachepuka na mwanaume mweusi, mtoto kazaliwa mweusi , mume eee.

Mkewe wake akamwambia huyu mtoto sio wako anaBaba yake.

Kwenye cheti cha kuzaliwa mama akaandika Baba yake halisi na sio mume wake. Yule kaka alilalamika sana kwao.

ILA baba yale alimwambia kuwa Hata wewe ulifanya hivyo hivyo kuwa mpole tuu najua unaumia kuwa mpole tu.

Dada zake walimtukuna sana yule dada. Ndoa ya kikristo. Wakawashauri tuu tulieni mlee watoto hao. Sasa hivi wote ni wakubwa kipindi cha likizo wa nje wote wanaenda kwa wazazi wao kuwasalimia likizo ikiisha wanarudi. Familia inawatoto 5 sasa.
Wanawake mna story za uongo na kijinga sana mkiamua kujitutumua,kutiana moyo na kushauriana ujinga.
 
Habari,

Kuna rafiki yangu mmoja nilizoeana nae mda kidogo na tunafamianane kutoka na biashara zetu yeye anaumri wa 43 now. Ila kwa sasa anahali mbaya ya kiafya anaumwa magojwa yasiotibika haya kupona haiwezakani kabisa.

Sasa miaka kadhaa ya nyuma alipata mchepuko, katika kukutana na mchepuka akampatia ujauzito akafanikiwa kupata mtoto wa kiume, kafananae sana maana nimemwona kwenye picha. Baada ya miaka miwili akachepuka tena na huyo huyo mchepuko wake akampa tena ujauzito alimlumu, ila mchepuko alimwambia kuwa mimi nakupenda.

Akaamua kuvunja mahusiano na mchepuko. Ila baadae akaona ngoja tuu awatambulishe watoto kwa kaka zake na dada yake. Alifanikiwa kuwatambulisha ila kwa mkewe hakufanya hivyo. Kutokana na kuaminiana na mke wake.

Sasa ni mogonjwa yeye na mkewe wamejenga nyumba tatu na biashara zao na vitu vingine kama magari. Yeye na mkewe wamezaa watoto 2 tuu.

Shida inakuja hizo mali zote limeandikwa jina lake ila ameshirikiana na mkewe wa ndoa kabisa. Yeye kaniambia tangu aishi na mkewe hajawahi kugombana nae wala kumuona mkewe anashida yoyote. Amenikambia kuwa ni mke mzuri sana na mama bora, hana shida yoyote, hicho ndio kilipelekea hata kuwaambia kaka zake na dada yake wasimwambie mkewe. Hataki mkewe aumie.

Wadau ushauri, maana anaona akiacha tuu mali watagawana na kumuacha mkewe na maumivu makubwa sana. Yeye hilo hataki, sasa alikuwa ananiambia mimi kuwa abadilishe hati ya nyumba na mali zingine kwenda kwa majina ya watoto wa ndoa tuu. Mimi nilikuwa sina cha kumjibu nilibaki namwangalia tuu.

Nikaona isiwe shida ngoja nije hapa JF. Maoni yenu wadau anataka afanye sasa.
Kuna vitu unachanganya, na inabidi uwe makini navyo.

Ndoa ni mahusiano yako wewe na Mwanamke mliochaguana kua wenzake katika maisha, Kwa shida na raha kama ni kweli.
V/s
Watoto wako ni generation yako inayoendelea kutoka vizazi vyako vilivyopita kama babu yako, akamzaa baba yako, ukazaliwa wewe, kisha wanao, kisha wajukuu zako,etc.

Mke wako kama sehemu ya familia yako anastahili kupata chochote kutoka kwako. Vivyo hivyo watoto wako nao wanastahili kupata pia kutoka kwako.

Kwamba hawa ni Watoto wa mama yupi kati ya wa ndoa ama mchepuko hayo tunayaleta sisi binadamu kuwekeana kauzibe na kubaguana. Mtoto yoyote aliethibitika kua ni wa kwako basi ana haki juu ya mali zako, regardless status ya mama yake kwako.

Labda tofauti iwe kua wewe mali zako kuna zenye mmechangia na mkeo wa Sasa hapo ndio itabid mtenganishe au mgawanyishe ili zibakie zako kama zako
 
Sasa kesi yako na huyu ni tofauti.
Huyu alizaa nje akiwa yupo kwenye ndoa kabisa kaka. Watoto au mtoto uliempata kabla ya ndoa kuwatambulisha sio ngumu kaka.
Acha ujinga hata iweje kosa lako mtoto hana hatia. Ni jukumu lako haki zake zote. Unaweza mdharau mwanao, kesho munaachana na huyyo mwanamke. Mtoto wako ni ndugu yake sio mkeo.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hao ni watoto wake , awape asilimia zao, ujinga ni ujinga mkubwa mwanaume unazaa njee halafu eti unaogopa kuwatambulisha watoto wako na kuushi nao eti unamuogopa mkeo, tengeneza bond yako na watoto wako wote watapendana sio wakutane uzeeni, mimi baba yangu alikuwa na ndoa moja ya kikristo ila alizaa na wanawake wengine watano na watoto wote aliwachukua wakiiwa wadogo so tulifahamiana utotoni.

Tulikua pamoja na hadi leo sioni tofauti kati yetu wote ni watoto wa mtu mmoja, na good things mzee alimpatia kila mtoto urithi wake , hata alipofariki hatukugombana wala kugawana chochote, mali ambazo hazikugawanywa zipo chini ya mama yangu mzazi na mimi ndiye msimamizi wa mali hizo za familia.

Kwa sababu mama aliwalea jamaa haawa wote wanamheshimu sana na hata baada ya mzee kufariki jamaa wanafika home kila december na famila zao na mazawadi kibao, teach your son and daugheters to love each others regardless ones born out of wedlock, thats makes familik
Kuna cha kujifunza hapa,
Mzee aliwachanganya Bado mkiwa wadogo na pia aliwagengeneza kwa kuheshimiana wote mnasikizana
 
Ww ni demu
Ni kweli na pia inabidi ajiongeze sisi wanaume tunajielewa. Nikiona siwezi kutulia nachukua Golikipa maana najua hata nikimletea watoto hawezi kusumbua. Sasa unakuta mwanamke analalamika wakati hana kitu cha maana. Unakuta hata biashara aliyonayo kafunguliwa na mumewe. Halafu anataka kumuacha mume wake kisa mtoto wa nje. Jamani kuweni serious kama mwanamke unaweza ukajitegemea sawa. Na kujitegemea hiyo wengi wenu mnaishia kudanga hata kama mna elimu. Maana hata yule aliyeimba wanawake na maendeleo mmesikia kesi yake. Mwisho wa siku inabidi mkubali ukweli.
 
Wanaume sisi sijui tupoje yani kitu akifanya mwanamke ni kosa ila akifanya mwanaume ni sawa
Kwa sababu mwanaume ndiye anahudumia familia. Ndiye anaesomesha watoto. Na kuprovide ila wavulana na wanawake wanalingana. Kama mumeo ni mvulana hili ni kosa kubwa sana. Ila kama ni mwanaume sio kosa ni bahati mbaya.
 
Back
Top Bottom