Ushauri, niwahusishe watoto wangu wa nje ya ndoa kwenye urithi?

Ushauri, niwahusishe watoto wangu wa nje ya ndoa kwenye urithi?

VIOLET ISHENGOMA KAHANGWA AND JOVIN MUTABUZI vs THE ADMINISTRATOR GENERAL AND MRS. EUDOKIA KAHANGWA [1990] TLR 72(CA)
Walifanya reference kwa kesi ya Kiingereza ya In re Harrington [1908] Ch. 678 where it was held that,

A putative father's obligation under a bastardy or affiliation order ends with his death, that such obligation is personal and the arrears under such an order are not recoverable against his estate.
Sawaa ni uamuzi wa wazee lakin ulitoka kabla ya enactment of Law of child Act 2009 Msome His lordship mlyambina kwenye hii case ya Judith Patrick kyamba... Anakuambia hakuna bastard child bali bastard parents kitanda hakizai haramu
 

Attachments

Daaa ni ishu ngumu sana.

Kuna mama mmoja hivi mume wake alizaa nje wa ndoa, akanyamaza kwa miaka kama 4 hivi. Ila baadae akaamua kwenda kwa mkewe na kumuangukia na kumwambia kuwa mke wangu nisamehe sana, nilichepuka na kupata mtoto huyu hapa. Ila kwa sasa mahusiano na mama yameisha tayari napenda kama utaona vyema mtoto huyu akae hapa apate malezi kama hawa wengine.

Yule mama baada ya kumwambia vile ndoa iliisha palepale.

Yeye mama alisema kuwa , kuja kuniambia hivyo ni kwamba huniheshimu na umedhiilisha kuwa moyo wako hana mapenzi ya kweli na mimi. Na hii imeonyesha kuwa hatuaaminiani.

Ndoa iliisha pale.

Sasa yule mama anakaa mbweni anamaisha fresh anaendasha V8.
Wanawake wa kikistru matatizo tupu
 
Sawaa ni uamuzi wa wazee lakin ulitoka kabla ya enactment of Law of child Act 2009 Msome His lordship mlyambina kwenye hii case ya Judith Patrick kyamba... Anakuambia hakuna bastard child bali bastard parents kitanda hakizai haramu
Ni kweli Mlyambina alitoa hukumu hiyo. Ilikuwa na makosa kadhaa ikiwa ni pamoja na kushindwa kujua kuwa kwa Sheria ya Mtoto, mwisho wa mtu kutambulika kuwa mtoto ni miaka 18, yeye akatoa urithi kwa watu wazima kabisa huku akitukia Sheria ya Mtoto.
Lakini pia, sheria inasema mtoto ana haki ya kufurahia na kutumia mali ya baba yake, sasa kurithi sio kufurahia - ni kumiliki. Hapa ndio unaona kuwa kutumia au kufurahia, kunaishia pale baba anapoondoka kwa kufa.

Hata hivyo tunafahamu kuwa maamuzi ya Mahakama Kuu huya hayawezi kubatilisha au kugeuza maamuzi ya Mahakama ya Rufani, isipokuwa Mahakama ya Rufani yenyewe inaweza kubadilisha maamuzi yake kupitia Review. Kwa sababu maamuzi ya CAT hayajabadilishwa bado yanasimama kuwa valid. Tunasubiri kuona CAT watatoa msimamo gani juu ya hilo lililoamuliwa na Mlyambina kwenye per incurium judgment.
 
Ni kweli Mlyambina alitoa hukumu hiyo. Ilikuwa na makosa kadhaa ikiwa ni pamoja na kushindwa kujua kuwa kwa Sheria ya Mtoto, mwisho wa mtu kutambulika kuwa mtoto ni miaka 18, yeye akatoa urithi kwa watu wazima kabisa huku akitukia Sheria ya Mtoto.
Lakini pia, sheria inasema mtoto ana haki ya kufurahia na kutumia mali ya baba yake, sasa kurithi sio kufurahia - ni kumiliki. Hapa ndio unaona kuwa kutumia au kufurahia, kunaishia pale baba anapoondoka kwa kufa.

Hata hivyo tunafahamu kuwa maamuzi ya Mahakama Kuu huya hayawezi kubatilisha au kugeuza maamuzi ya Mahakama ya Rufani, isipokuwa Mahakama ya Rufani yenyewe inaweza kubadilisha maamuzi yake kupitia Review. Kwa sababu maamuzi ya CAT hayajabadilishwa bado yanasimama kuwa valid. Tunasubiri kuona CAT watatoa msimamo gani juu ya hilo lililoamuliwa na Mlyambina kwenye per incurium judgment.
Lakin basis ya maamuzi ya his lordship Mlyambina yameanzia kwenye kesi ya Elizabeth mohamed vs Adolf john magesa
 
Mimi nimewahi kushuhudia tukio moja hivi ni mda kidogo.

Mume alifariki bila kuacha mirathi.
Kwenye msiba yeye na mkewe walikuwa na watoto wa kike wawili na wakiume 1 hawafanani na baba yao kivile.
Ila kwenye msiba wakaja watoto wawili wakiume mapacha wamefanana na Baba yao vile vile mpaka kutembea na walikuwa na umri sawa na mtoto wake wa kwanza aliyezaa kwenye ndoa.

Ilikuwa kesi ngumu sana ila mwishowe siunajua ndugu wa mwanaume wakagawa mali sawa.
Yule mama alichukua watoto wake akaondoka nao.

Ila sasa hivi wale watoto wamekuwa wakubwa na maisha yao na mama yao yupo. Ila watoto hawajali kama kuna ndugu kwa upande wa Baba wamewasusa kabisa. Na hata mahusiano na wale watoto wa nje hawana kabisa.
Ndugu wa mwanaume wanalalamika kuwa mama kawalisha watoto sumu, ila yeye anakataa kabisa. Ila ile tukio kipindi linatokea watoto walikuwa ni wakubwa kiasi na walikuwa wanaona mama yao alivyoteseka.

Binti yake mmoja ambaye ni wa kwazwa aliolewa hakumshirikisha hata ndugu upande wa Baba yao.
Basi walikuwa sio wa huyo baba,inawezekana ni WA mchepuko wa mama yao, asili huwa haipotei kama ni damu yake
 
Basi walikuwa sio wa huyo baba,inawezekana ni WA mchepuko wa mama yao, asili huwa haipotei kama ni damu yake
Ni wa Baba kabisa.
Mbona kuna moja mama mmoja nafanya kazi nae ofisini. Alinisilimulia kuwa
Kuna watoto wa 3 walibadili jina la Baba yao la kati na la mwisho kwa sababu ya mambo hayo hayo ya urithi, na sasa ni wa kubwa hawana uhusiano na upande wa baba. Tema mama yao alinyang'anywa kila kitu mpaka vyombo vya ndani.
Nyie wanaume wa kiafrica mnapenda watoto wa kiume sana.
 
Mimi nimewahi kushuhudia tukio moja hivi ni mda kidogo.

Mume alifariki bila kuacha mirathi.
Kwenye msiba yeye na mkewe walikuwa na watoto wa kike wawili na wakiume 1 hawafanani na baba yao kivile.
Ila kwenye msiba wakaja watoto wawili wakiume mapacha wamefanana na Baba yao vile vile mpaka kutembea na walikuwa na umri sawa na mtoto wake wa kwanza aliyezaa kwenye ndoa.

Ilikuwa kesi ngumu sana ila mwishowe siunajua ndugu wa mwanaume wakagawa mali sawa.
Yule mama alichukua watoto wake akaondoka nao.

Ila sasa hivi wale watoto wamekuwa wakubwa na maisha yao na mama yao yupo. Ila watoto hawajali kama kuna ndugu kwa upande wa Baba wamewasusa kabisa. Na hata mahusiano na wale watoto wa nje hawana kabisa.
Ndugu wa mwanaume wanalalamika kuwa mama kawalisha watoto sumu, ila yeye anakataa kabisa. Ila ile tukio kipindi linatokea watoto walikuwa ni wakubwa kiasi na walikuwa wanaona mama yao alivyoteseka.

Binti yake mmoja ambaye ni wa kwazwa aliolewa hakumshirikisha hata ndugu upande wa Baba yao.
Hapo man yake tutafute hela mishe zooote zitapangika
 
Hao ni watoto wake , awape asilimia zao, ujinga ni ujinga mkubwa mwanaume unazaa njee halafu eti unaogopa kuwatambulisha watoto wako na kuushi nao eti unamuogopa mkeo, tengeneza bond yako na watoto wako wote watapendana sio wakutane uzeeni, mimi baba yangu alikuwa na ndoa moja ya kikristo ila alizaa na wanawake wengine watano na watoto wote aliwachukua wakiiwa wadogo so tulifahamiana utotoni.

Tulikua pamoja na hadi leo sioni tofauti kati yetu wote ni watoto wa mtu mmoja, na good things mzee alimpatia kila mtoto urithi wake , hata alipofariki hatukugombana wala kugawana chochote, mali ambazo hazikugawanywa zipo chini ya mama yangu mzazi na mimi ndiye msimamizi wa mali hizo za familia.

Kwa sababu mama aliwalea jamaa haawa wote wanamheshimu sana na hata baada ya mzee kufariki jamaa wanafika home kila december na famila zao na mazawadi kibao, teach your son and daugheters to love each others regardless ones born out of wedlock, thats makes famili
True lies . Kuna mengine umeficha
 
Daaa ni ishu ngumu sana.

Kuna mama mmoja hivi mume wake alizaa nje wa ndoa, akanyamaza kwa miaka kama 4 hivi. Ila baadae akaamua kwenda kwa mkewe na kumuangukia na kumwambia kuwa mke wangu nisamehe sana, nilichepuka na kupata mtoto huyu hapa. Ila kwa sasa mahusiano na mama yameisha tayari napenda kama utaona vyema mtoto huyu akae hapa apate malezi kama hawa wengine.

Yule mama baada ya kumwambia vile ndoa iliisha palepale.

Yeye mama alisema kuwa , kuja kuniambia hivyo ni kwamba huniheshimu na umedhiilisha kuwa moyo wako hana mapenzi ya kweli na mimi. Na hii imeonyesha kuwa hatuaaminiani.

Ndoa iliisha pale.

Sasa yule mama anakaa mbweni anamaisha fresh anaendasha V8.
Lete pia habari za mume anaendeleaje huko, alinyang'anywa mali zote au vipi?
 
Aache upumbavu hao watoto ni wake awape urithi,mwanamke ni rafiki tu na watoto ni ndugu zake
 
Hao ni watoto wake , awape asilimia zao, ujinga ni ujinga mkubwa mwanaume unazaa njee halafu eti unaogopa kuwatambulisha watoto wako na kuushi nao eti unamuogopa mkeo, tengeneza bond yako na watoto wako wote watapendana sio wakutane uzeeni, mimi baba yangu alikuwa na ndoa moja ya kikristo ila alizaa na wanawake wengine watano na watoto wote aliwachukua wakiiwa wadogo so tulifahamiana utotoni.

Tulikua pamoja na hadi leo sioni tofauti kati yetu wote ni watoto wa mtu mmoja, na good things mzee alimpatia kila mtoto urithi wake , hata alipofariki hatukugombana wala kugawana chochote, mali ambazo hazikugawanywa zipo chini ya mama yangu mzazi na mimi ndiye msimamizi wa mali hizo za familia.

Kwa sababu mama aliwalea jamaa haawa wote wanamheshimu sana na hata baada ya mzee kufariki jamaa wanafika home kila december na famila zao na mazawadi kibao, teach your son and daugheters to love each others regardless ones born out of wedlock, thats makes famili
Tatizo linakuja unapozaa na Wanawake wabinafsi kuanzia Mke wa Ndoa hadi hao Wanawake wa nje, unakuta kila Mwanamke hataki Watoto wake wachanganyike,kila Mwanamke anakumbatia Watoto wake na kuona wake ndiyo Watoto bora zaidi!!
 
Kwa hio wewe ulivyofanya ilikuwa sawa eti??
Kama mmeowana hapa sawa mnaweza shindana,lakini Kama umeolewa huwezi shindana na Mume wako full stop, ukiona tabia za Mume wako huziwezi bora udai talaka yako usepe zako ukaanze Maisha yako upya!!
 
Mi ni mhanga wa hilo.

Nilimchukua kijana wa nje wa mme wangu. Alipokuwa mkubwa alihakikisha ndoa imesambaratika.

Mme alipokufa ilikuwa shida, nilifukuzwa msibani yaani yule kijana alihakikisha naondoka pale, sikulala.

Ndugu wa mme wakawa upande wa mtoto wa nje.

Ninachoshukuru nilikuwa nimemwambia mme wangu asiandike wosia, alisikia, cheti cha ndoa kilinisaidia kupambana mahakamani.

Nyumba ikauzwa, na pia alikuwa na watoto wengine wengi nje.

Kila mmoja akapata kiasi.

Mtoto wa nje ni tatizo.

Nilihangaika.
Pole Mamndenyi ndiyo ukubwa huwa huo!!
 
Your friend is.....au basi.
Nyie wanaume nyie ni.....au basi tu.
Sasa kama mkewe ni mke bora na hakua na kasoro yeyote huko nje mnaenda kufanyaje nyie wapuuzi[emoji1787][emoji1787].
Angekua hataki mkewe aumie si angetulia nae?

Anyways.Yeye ni baba wa hao watoto wa mchepuko na hao watoto wana haki sawa sawa na hao wa ndoa.Awapatie watoto haki yao ya urithi asilete upuuz.
Imeaandikwa kila Mtoto atarithi kwa Baba yake na si kwa Mama yake!!
 
Mtoto wa nje anastahili urithi.Na kwa kuwa hatujui ya Mungu mengi,kwa hali aliyonayo ni vizuri akawa wazi tu aite wazee na watu wengine aeleze ukweli mbele ya mkewe,amtambulishe mtoto basi yaishe! Na kubwa kabisa aanze kuandika wosia kisheria,ili Mungu akimchukua watoto wapate urithi sawa.
Hayo ni mawazo yangu tu!
 
Mtoto wa nje anastahili urithi.Na kwa kuwa hatujui ya Mungu mengi,kwa hali aliyonayo ni vizuri akawa wazi tu aite wazee na watu wengine aeleze ukweli mbele ya mkewe,amtambulishe mtoto basi yaishe! Na kubwa kabisa aanze kuandika wosia kisheria,ili Mungu akimchukua watoto wapate urithi sawa.
Hayo ni mawazo yangu tu!
Sasa mali kashea na mkewe kaka umesoma fresh
 
Back
Top Bottom