Hao ni watoto wake , awape asilimia zao, ujinga ni ujinga mkubwa mwanaume unazaa njee halafu eti unaogopa kuwatambulisha watoto wako na kuushi nao eti unamuogopa mkeo, tengeneza bond yako na watoto wako wote watapendana sio wakutane uzeeni, mimi baba yangu alikuwa na ndoa moja ya kikristo ila alizaa na wanawake wengine watano na watoto wote aliwachukua wakiiwa wadogo so tulifahamiana utotoni.
Tulikua pamoja na hadi leo sioni tofauti kati yetu wote ni watoto wa mtu mmoja, na good things mzee alimpatia kila mtoto urithi wake , hata alipofariki hatukugombana wala kugawana chochote, mali ambazo hazikugawanywa zipo chini ya mama yangu mzazi na mimi ndiye msimamizi wa mali hizo za familia.
Kwa sababu mama aliwalea jamaa haawa wote wanamheshimu sana na hata baada ya mzee kufariki jamaa wanafika home kila december na famila zao na mazawadi kibao, teach your son and daugheters to love each others regardless ones born out of wedlock, thats makes famili