Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Inawezekana ndoa si muhimu.Yaani nawashangaa wanawake wanaoolewa siku hizi, kwanini uolewe? Kwanini unakubali kwa akili zako timamu kumpa mtu mwingine Uhuru wa kukuumiza kihisia na kukosa furaha maisha yako yote? Yaani kwanini?? Huwa naelewa nikiona wale ambao maisha kidogo yamekua magumu naona labda anataka wa kumlisha na kumhudumia, Ila mtu una kazi una weza kujihudumia kila kitu kwanini unajiingiza kwenye jehanamu inayoitwa ndoa?? Ndoa ni tamu Sana kwa mwanaume Ila kwa wanawake hahah dah ni huzuni Ila oleweni wenyewe mnasema ndoa ni heshima, sijawahi kuelewa logic ya ndoa kabisa zaidi ya kujitafutia maumivu ya kihisia, stress, pressure in your 30s, na kufa mapema kwa magonjwa ya kuletewa.
Lakini ulivyoandika unaacha swali lingine.
Kwani usipoolewa ndiyo huwezi kuumizwa?