Ushauri, niwahusishe watoto wangu wa nje ya ndoa kwenye urithi?

Ushauri, niwahusishe watoto wangu wa nje ya ndoa kwenye urithi?

Kwa sababu mwanaume ndiye anahudumia familia. Ndiye anaesomesha watoto. Na kuprovide ila wavulana na wanawake wanalingana. Kama mumeo ni mvulana hili ni kosa kubwa sana. Ila kama ni mwanaume sio kosa ni bahati mbaya.
Sio kweli uhongo.
Kuzaa nje ni uhamuzi awe mke au mume. Sio bahati mbaya.
Kuchepuka ni maamuzi ya mke au mume mwenyewe na ni kosa kwa wote.
 
Ni kweli na pia inabidi ajiongeze sisi wanaume tunajielewa. Nikiona siwezi kutulia nachukua Golikipa maana najua hata nikimletea watoto hawezi kusumbua. Sasa unakuta mwanamke analalamika wakati hana kitu cha maana. Unakuta hata biashara aliyonayo kafunguliwa na mumewe. Halafu anataka kumuacha mume wake kisa mtoto wa nje. Jamani kuweni serious kama mwanamke unaweza ukajitegemea sawa. Na kujitegemea hiyo wengi wenu mnaishia kudanga hata kama mna elimu. Maana hata yule aliyeimba wanawake na maendeleo mmesikia kesi yake. Mwisho wa siku inabidi mkubali ukweli.
Kwa hio mke akiwa ana kazi yake aliyotafuta yeye mwenyewe na biashara zake alizoanzisha yeye mwenyewe.
Akizaa nje ni fresh kama mume???
 
Kwa hio mke akiwa ana kazi yake aliyotafuta yeye mwenyewe na biashara zake alizoanzisha yeye mwenyewe.
Akizaa nje ni fresh kama mume???
Ni sawa kama mume wake ni mvulana. Yaani kama mume wake hasimamiii vizuri majukumu kama mume. Kama mume wako ankupangia zamu ya kulipa ada au kodi. Anakupangia matumizi ya hela zako . Huyo mumeo ni mvulana alikuletea mtoto wa nje ni kosa. Ila kama hela yako unaitumia kwenye mambo ya kifamilia ukijisikia bila kupangiwa na mumeo. Na mumeo ana simamia almost 90 percent ya kila kitu. Basi jua mumeo alikuletea mtoto wa nje alikuwa ashakuandaa. Maana kumuacha utaishia kudanga maana ushazoea kuwa almost kila kitu anacover mumeo.
 
Sio kweli uhongo.
Kuzaa nje ni uhamuzi awe mke au mume. Sio bahati mbaya.
Kuchepuka ni maamuzi ya mke au mume mwenyewe na ni kosa kwa wote.
Haujanielewa tunaokojoa tumesimama tupo tofauti kuna wanaume na wavulana. Na kwenye maisha tuna main objective na sub objective. Hawa wavulana main objective ni kula wanawake wengi iwezekanavyo na kula Bata. Lakini wanaume wa kweli inakuwa kuprovide. Hakuna mwanaume asiyependa ngono. Lakini kuna wengine hii inakuwa ni starehe ya mara moja moja. Na kuna hawa wavulana ambao kila wiki anataka abadilishe mwanamke. Sasa kama umeolewa na mvulana shida ndo inakuja hapa.
 
Ni sawa kama mume wake ni mvulana. Yaani kama mume wake hasimamiii vizuri majukumu kama mume. Kama mume wako ankupangia zamu ya kulipa ada au kodi. Anakupangia matumizi ya hela zako . Huyo mumeo ni mvulana alikuletea mtoto wa nje ni kosa. Ila kama hela yako unaitumia kwenye mambo ya kifamilia ukijisikia bila kupangiwa na mumeo. Na mumeo ana simamia almost 90 percent ya kila kitu. Basi jua mumeo alikuletea mtoto wa nje alikuwa ashakuandaa. Maana kumuacha utaishia kudanga maana ushazoea kuwa almost kila kitu anacover mumeo.
Mvulana ni nani kwanza ?
Unajua maana yake??

Kutoka nje ya ndoa ni kosa hata kama mume ni tajiri na mke ni msikini , mume akitoka nje ya ndoa ni kosa na anahitaji kuomba msamaha kwa mke wake.

Ukienda basi hata kwenye mifano ya Bible mume akitoka nje ya ndoa.
Na kuwa na mtoto Mtoto huyo hata kuishi kwa Baba hakustaili na hata urithi kwa Baba yake.
Mfano mtoto ishumal mtoto wa Hajiri na Baba wa imani.
 
Kachemka, wakati akiwa mzima alitakiwa awajengee msingi hao watoto wake wa nje ili akifa warithi chao huko huku bila kuwaletea nongwa wale wa ndoa wala bila ya huyo mama kujua.

Hao watoto hawapati kitu hata akiandika Mirathi leo kuwamegea ngoma inaenda mahakamani hiyo na hawatapata hata mia mbovu huko kwa pilato.

Hii tunaiita "Tragedy of miscalculations" kitaalamu.
 
Duu kuna kaka mmoja yeye ana mkewe walikuwa na watoto 3 wakike tupu. Sasa akaamua kwenda kuzaa nje kutafuta mtoto wa kiume alifanikiwa na kwenda kumtambulisha kwa ndugu kama wote mkewe aligombananae ila wakamwambia tuh huyu ni mtoto wake hata ukachukia haisaidii akakukubali.

Ndugu wa mwanaume wakamwambia kaka yao huyo ni mtoto wako mchukue ukae nae azoeane na wenzie. Yule kaka akamchukua akawa anaishi nae mkewe akanyamaza. Mawifi wakawa wanamsema tuu dada yule kuwa hamtaki mtoto wa mume wake.

Sasa mkewe nae akaamua kuzaa nje, yeye na mkewe ni weupe kwa hio watoto wote ni weupe mpaka wa mume wa nje.

Ila mkewe akachepuka na mwanaume mweusi, mtoto kazaliwa mweusi , mume eee.

Mkewe wake akamwambia huyu mtoto sio wako anaBaba yake.

Kwenye cheti cha kuzaliwa mama akaandika Baba yake halisi na sio mume wake. Yule kaka alilalamika sana kwao.

ILA baba yale alimwambia kuwa Hata wewe ulifanya hivyo hivyo kuwa mpole tuu najua unaumia kuwa mpole tu.

Dada zake walimtukuna sana yule dada. Ndoa ya kikristo. Wakawashauri tuu tulieni mlee watoto hao. Sasa hivi wote ni wakubwa kipindi cha likizo wa nje wote wanaenda kwa wazazi wao kuwasalimia likizo ikiisha wanarudi. Familia inawatoto 5 sasa.
Mwanamke analipiza kwa kuzaa nje ya ndoa, halafu jamaa akaishia kulalamika tu basi?????

Ningekuwa mimi, huyo mwanamke angeenda kuishi n'a huyo aliyezaa naye !

Kuna vitu wanawake wanajisahau sana na kujifanya kushindana, tangu dunia iumbwe sijawahi kuona ndoa ya mitala inayohusisha mwanamke mmoja na wanaume 4, haipo! Lakini ndoa ya mwanaume mmoja wanawake 3,4 n.k ni kawaida kabisa!

Sasa ujasiri wa mwanamke kwenda kuzaa nje anautoa wapi????
 
Ni sawa kama mume wake ni mvulana. Yaani kama mume wake hasimamiii vizuri majukumu kama mume. Kama mume wako ankupangia zamu ya kulipa ada au kodi. Anakupangia matumizi ya hela zako . Huyo mumeo ni mvulana alikuletea mtoto wa nje ni kosa. Ila kama hela yako unaitumia kwenye mambo ya kifamilia ukijisikia bila kupangiwa na mumeo. Na mumeo ana simamia almost 90 percent ya kila kitu. Basi jua mumeo alikuletea mtoto wa nje alikuwa ashakuandaa. Maana kumuacha utaishia kudanga maana ushazoea kuwa almost kila kitu anacover mumeo.
Ndg usiamini sana in providing, hawana shukrani hao,utakuja uwaa au kujiiuwaa kama wenzio walio tangulia mbele ya haki kisa mapenzi! Waweza provide kwa asilimia mia na bado ukapigwa na kitu kizito kichwani na Wajanja wa Mujini!!
 
Daaa ni ishu ngumu sana.

Kuna mama mmoja hivi mume wake alizaa nje wa ndoa, akanyamaza kwa miaka kama 4 hivi. Ila baadae akaamua kwenda kwa mkewe na kumuangukia na kumwambia kuwa mke wangu nisamehe sana, nilichepuka na kupata mtoto huyu hapa. Ila kwa sasa mahusiano na mama yameisha tayari napenda kama utaona vyema mtoto huyu akae hapa apate malezi kama hawa wengine.

Yule mama baada ya kumwambia vile ndoa iliisha palepale.

Yeye mama alisema kuwa , kuja kuniambia hivyo ni kwamba huniheshimu na umedhiilisha kuwa moyo wako hana mapenzi ya kweli na mimi. Na hii imeonyesha kuwa hatuaaminiani.

Ndoa iliisha pale.

Sasa yule mama anakaa mbweni anamaisha fresh anaendasha V8.
Kwahiyo jamaa yeye maisha yake hana V8
 
Hao ni watoto wake , awape asilimia zao, ujinga ni ujinga mkubwa mwanaume unazaa njee halafu eti unaogopa kuwatambulisha watoto wako na kuushi nao eti unamuogopa mkeo, tengeneza bond yako na watoto wako wote watapendana sio wakutane uzeeni, mimi baba yangu alikuwa na ndoa moja ya kikristo ila alizaa na wanawake wengine watano na watoto wote aliwachukua wakiiwa wadogo so tulifahamiana utotoni.

Tulikua pamoja na hadi leo sioni tofauti kati yetu wote ni watoto wa mtu mmoja, na good things mzee alimpatia kila mtoto urithi wake , hata alipofariki hatukugombana wala kugawana chochote, mali ambazo hazikugawanywa zipo chini ya mama yangu mzazi na mimi ndiye msimamizi wa mali hizo za familia.

Kwa sababu mama aliwalea jamaa haawa wote wanamheshimu sana na hata baada ya mzee kufariki jamaa wanafika home kila december na famila zao na mazawadi kibao, teach your son and daugheters to love each others regardless ones born out of wedlock, thats makes famili
Baba yako alikua mtu wa msimamo,sio mtu anaogopa kumwambia mkeo kua na watoto wengine...mimi mke wng anajua watoto wng watatu ambao sio wke
 
Duu kuna kaka mmoja yeye ana mkewe walikuwa na watoto 3 wakike tupu. Sasa akaamua kwenda kuzaa nje kutafuta mtoto wa kiume alifanikiwa na kwenda kumtambulisha kwa ndugu kama wote mkewe aligombananae ila wakamwambia tuh huyu ni mtoto wake hata ukachukia haisaidii akakukubali.

Ndugu wa mwanaume wakamwambia kaka yao huyo ni mtoto wako mchukue ukae nae azoeane na wenzie. Yule kaka akamchukua akawa anaishi nae mkewe akanyamaza. Mawifi wakawa wanamsema tuu dada yule kuwa hamtaki mtoto wa mume wake.

Sasa mkewe nae akaamua kuzaa nje, yeye na mkewe ni weupe kwa hio watoto wote ni weupe mpaka wa mume wa nje.

Ila mkewe akachepuka na mwanaume mweusi, mtoto kazaliwa mweusi , mume eee.

Mkewe wake akamwambia huyu mtoto sio wako anaBaba yake.

Kwenye cheti cha kuzaliwa mama akaandika Baba yake halisi na sio mume wake. Yule kaka alilalamika sana kwao.

ILA baba yale alimwambia kuwa Hata wewe ulifanya hivyo hivyo kuwa mpole tuu najua unaumia kuwa mpole tu.

Dada zake walimtukuna sana yule dada. Ndoa ya kikristo. Wakawashauri tuu tulieni mlee watoto hao. Sasa hivi wote ni wakubwa kipindi cha likizo wa nje wote wanaenda kwa wazazi wao kuwasalimia likizo ikiisha wanarudi. Familia inawatoto 5 sasa.
Huyo ni mwanaume bwege....mimi napiga chini fasta
 
Mi ni mhanga wa hilo.

Nilimchukua kijana wa nje wa mme wangu. Alipokuwa mkubwa alihakikisha ndoa imesambaratika.

Mme alipokufa ilikuwa shida, nilifukuzwa msibani yaani yule kijana alihakikisha naondoka pale, sikulala.

Ndugu wa mme wakawa upande wa mtoto wa nje.

Ninachoshukuru nilikuwa nimemwambia mme wangu asiandike wosia, alisikia, cheti cha ndoa kilinisaidia kupambana mahakamani.

Nyumba ikauzwa, na pia alikuwa na watoto wengine wengi nje.

Kila mmoja akapata kiasi.

Mtoto wa nje ni tatizo.

Nilihangaika.
Sis pole sana dunia uwanja wa fujo,huyo kijanga kwasasa maisha yake yakoje,anafamilia?
 
Ndg usiamini sana in providing, hawana shukrani hao,utakuja uwaa au kujiiuwaa kama wenzio walio tangulia mbele ya haki kisa mapenzi! Waweza provide kwa asilimia mia na bado ukapigwa na kitu kizito kichwani na Wajanja wa Mujini!!
Ukipigwa na kitu unafukuza inavuta mwingine wapo kibao wanatafuta ndoa. Sio siri hauwezi kukosa mke. Na hata ukimletea watoto wa nje akikataa unafukuza. Hauwezi kukosa ukikaa na unafikiri sana utajipa stress utashindwa kutafuta hela.
 
Back
Top Bottom