Uchaguzi 2020 Ushauri: Ole Sabaya nakuomba Mbowe akikimbilia Moshi Mjini mfuate huko huko

Uchaguzi 2020 Ushauri: Ole Sabaya nakuomba Mbowe akikimbilia Moshi Mjini mfuate huko huko

Hayo mapambio na matarumbeta mnayo piga hayaana ala za muziki zinazo weza kuchezeka, kwasababu kama kweli sabaya Anaweza kupambana na mbowe mbona miaka yote minne amekuwa akizuia mikatano ya mbowe jimboni ? Haitiwasaidia saana wengine jela znawasubiri Mara baadae ya utawala huu kufika mwisho wake , tusubiri tu hamtaamini
Hayawi hayawi,
Sasa yamekua..... 30 [emoji1009]
 
Kwenye siasa pamoja na uwezo mkubwa wa kujenga hoja pia ubabe, utemi na kuoneshana uanaume ni jambo la muhimu.

Katika jimbo la Hai DC Ole Sabaya amemuonesha mbunge wa jimbo hilo aina fulani ya siasa ambazo Mbowe hajawahi kuziona kabla.

Mbowe baada ya kukaa na kamati kuu ya chama hicho wameshauriana ni aibu kwa Mwenyekiti wa chama kilichokuwa kikuu cha upinzani kuangushwa na mtoto mdogo Ole Sabaya kwenye uchaguzi.

Kamati kuu ya chama hicho imemuomba Mbowe aende kugombea Moshi Mjini ile hata akiangukia pua awe amepigwa na mtu mzima mwenzake kuliko kupigwa na mtoto mdogo Ole Sabaya.

Maombi: Ole Sabaya naomba akikimbilia Moshi mjini, mfuate hukohuko ukamchape fimbo.
Naona sabaya kamfata mbowe hadi jela, mwanaume sio vizuri kuwa msenge tulia kijana
 
Kwenye siasa pamoja na uwezo mkubwa wa kujenga hoja pia ubabe, utemi na kuoneshana uanaume ni jambo la muhimu.

Katika jimbo la Hai DC Ole Sabaya amemuonesha mbunge wa jimbo hilo aina fulani ya siasa ambazo Mbowe hajawahi kuziona kabla.

Mbowe baada ya kukaa na kamati kuu ya chama hicho wameshauriana ni aibu kwa Mwenyekiti wa chama kilichokuwa kikuu cha upinzani kuangushwa na mtoto mdogo Ole Sabaya kwenye uchaguzi.

Kamati kuu ya chama hicho imemuomba Mbowe aende kugombea Moshi Mjini ile hata akiangukia pua awe amepigwa na mtu mzima mwenzake kuliko kupigwa na mtoto mdogo Ole Sabaya.

Maombi: Ole Sabaya naomba akikimbilia Moshi mjini, mfuate hukohuko ukamchape fimbo.
Endeleeni kumshauri sasa! Aendeleze ubabe this time mwambieni atunishiane msuli na nyapara
 
Kwenye siasa pamoja na uwezo mkubwa wa kujenga hoja pia ubabe, utemi na kuoneshana uanaume ni jambo la muhimu.

Katika jimbo la Hai DC Ole Sabaya amemuonesha mbunge wa jimbo hilo aina fulani ya siasa ambazo Mbowe hajawahi kuziona kabla.

Mbowe baada ya kukaa na kamati kuu ya chama hicho wameshauriana ni aibu kwa Mwenyekiti wa chama kilichokuwa kikuu cha upinzani kuangushwa na mtoto mdogo Ole Sabaya kwenye uchaguzi.

Kamati kuu ya chama hicho imemuomba Mbowe aende kugombea Moshi Mjini ile hata akiangukia pua awe amepigwa na mtu mzima mwenzake kuliko kupigwa na mtoto mdogo Ole Sabaya.

Maombi: Ole Sabaya naomba akikimbilia Moshi mjini, mfuate hukohuko ukamchape fimbo.
Sabaya anahitaji sana ushauri wako kwasasa.
 
Back
Top Bottom