Ushauri: Rais ajiuzulu, uchaguzi uitishwe

Ushauri: Rais ajiuzulu, uchaguzi uitishwe

Sababu tafadhali
Anyway tozo zisizo na manufaa, miradi Mingi imekwama, wizara ya Nishati (TANESCO),hawatendei haki wananchi na hakuna wa kuwatetea, Serikali imekuwa ya mipasho, uwajibikaji umeshuka, rushes ndo kila kitu
Serikali inafanya biashara badara ya kutoa huduma, mfano:-
Sabuni mcheni ilikuwa 2000 saivi 4000
Mafuta ya kupika Lita ilikuwa 2500 saivi 6000
Mfuko wa mbolea ulikuwa 50000 saivi 120000
Unga ulikuwa kilo 700 saivi 1800
Petrol ilikuwa 2500 saivi 3437
Mchele kilo ilikuwa 1500 saivi 2500
Bei ya rimu ilikuwa 9500 saivi 24000
Unga wa ngano kilo ilikuwa 1200 saivi 2200
Mafuta ya taa 1200 Hadi 2600
Tambi 1500 Hadi 2500
Soda ilikuwa 500 saivi 600
Bati ilikuwa 285000 kwa Sasa ni 345000
Daftari ilikuwa 500 saivi 800
Whitedent kutoka 1000 hadi 2500
Mahindi debe ilikuwa 10,000 saizi 18,000
Nyama kutoka 6000 Hadi 8000
Mahindi gunia ilikuwa 60000 sasa ni 100,000
Ukinikuna vizuri na mimi nitakukuna
 
Anyway tozo zisizo na manufaa, miradi Mingi imekwama, wizara ya Nishati (TANESCO),hawatendei haki wananchi na hakuna wa kuwatetea, Serikali imekuwa ya mipasho, uwajibikaji umeshuka, rushes ndo kila kitu
Serikali inafanya biashara badara ya kutoa huduma, mfano:-
Sabuni mcheni ilikuwa 2000 saivi 4000
Mafuta ya kupika Lita ilikuwa 2500 saivi 6000
Mfuko wa mbolea ulikuwa 50000 saivi 120000
Unga ulikuwa kilo 700 saivi 1800
Petrol ilikuwa 2500 saivi 3437
Mchele kilo ilikuwa 1500 saivi 2500
Bei ya rimu ilikuwa 9500 saivi 24000
Unga wa ngano kilo ilikuwa 1200 saivi 2200
Mafuta ya taa 1200 Hadi 2600
Tambi 1500 Hadi 2500
Soda ilikuwa 500 saivi 600
Bati ilikuwa 285000 kwa Sasa ni 345000
Daftari ilikuwa 500 saivi 800
Whitedent kutoka 1000 hadi 2500
Mahindi debe ilikuwa 10,000 saizi 18,000
Nyama kutoka 6000 Hadi 8000
Mahindi gunia ilikuwa 60000 sasa ni 100,000
Ukinikuna vizuri na mimi nitakukuna
Uchaguzi ni 2025, mtake msitake.
Au vipi hameni nchi mkafanye huo uchaguzi wenu before 2025.
 
Niwatakie usiku mwema.
Halafu huo uchaguzi ndio ufanyeje sasa? Mkurugenzi wa Tume ni yule yule Wilson Mahera na mwenyekiti wake Dr Jaji Mwijage.

Vumilieni onjeni ubaya kwa ubaya.

Tuliwambia katiba Mpya na tume huru mkadhani mtamfaidisha Mbowe na Tundu Lissu sasa ni zamu yenu ku feel the pinchi.

For Your information Rais Samia na kundi lake bado wapo sana hadi 2030.
 
Anyway tozo zisizo na manufaa, miradi Mingi imekwama, wizara ya Nishati (TANESCO),hawatendei haki wananchi na hakuna wa kuwatetea, Serikali imekuwa ya mipasho, uwajibikaji umeshuka, rushes ndo kila kitu
Serikali inafanya biashara badara ya kutoa huduma, mfano:-
Sabuni mcheni ilikuwa 2000 saivi 4000
Mafuta ya kupika Lita ilikuwa 2500 saivi 6000
Mfuko wa mbolea ulikuwa 50000 saivi 120000
Unga ulikuwa kilo 700 saivi 1800
Petrol ilikuwa 2500 saivi 3437
Mchele kilo ilikuwa 1500 saivi 2500
Bei ya rimu ilikuwa 9500 saivi 24000
Unga wa ngano kilo ilikuwa 1200 saivi 2200
Mafuta ya taa 1200 Hadi 2600
Tambi 1500 Hadi 2500
Soda ilikuwa 500 saivi 600
Bati ilikuwa 285000 kwa Sasa ni 345000
Daftari ilikuwa 500 saivi 800
Whitedent kutoka 1000 hadi 2500
Mahindi debe ilikuwa 10,000 saizi 18,000
Nyama kutoka 6000 Hadi 8000
Mahindi gunia ilikuwa 60000 sasa ni 100,000
Ukinikuna vizuri na mimi nitakukuna

Rim paper ni 26,000 siyo 24,000.

Kati ya bidhaa iliyopanda bei kwa kasi ni Hii Rim paper ilikuwa 9500 adi 10,000
 
Anyway tozo zisizo na manufaa, miradi Mingi imekwama, wizara ya Nishati (TANESCO),hawatendei haki wananchi na hakuna wa kuwatetea, Serikali imekuwa ya mipasho, uwajibikaji umeshuka, rushes ndo kila kitu
Serikali inafanya biashara badara ya kutoa huduma, mfano:-
Sabuni mcheni ilikuwa 2000 saivi 4000
Mafuta ya kupika Lita ilikuwa 2500 saivi 6000
Mfuko wa mbolea ulikuwa 50000 saivi 120000
Unga ulikuwa kilo 700 saivi 1800
Petrol ilikuwa 2500 saivi 3437
Mchele kilo ilikuwa 1500 saivi 2500
Bei ya rimu ilikuwa 9500 saivi 24000
Unga wa ngano kilo ilikuwa 1200 saivi 2200
Mafuta ya taa 1200 Hadi 2600
Tambi 1500 Hadi 2500
Soda ilikuwa 500 saivi 600
Bati ilikuwa 285000 kwa Sasa ni 345000
Daftari ilikuwa 500 saivi 800
Whitedent kutoka 1000 hadi 2500
Mahindi debe ilikuwa 10,000 saizi 18,000
Nyama kutoka 6000 Hadi 8000
Mahindi gunia ilikuwa 60000 sasa ni 100,000
Ukinikuna vizuri na mimi nitakukuna
Watakwambia ni sababu ya dikteta Putin kuvamia Ukraine
 
Ni 23.3% tu, au kuna kingine?

Na mwakani mtaongezewa bhana, kausheni.

Muacheni mama apige kazi.
Kazi gani amepiga?

Yeye ni kuzurula tu halafu anajitetea kua anatafta hela, hela gani?

Kama ni mikopo mbona Magufuli alikua anakopa huku akiwa humu humu ndani?

Huyu mama hakuna kitu.
 
Kazi gani amepiga?

Yeye ni kuzurula tu halafu anajitetea kua anatafta hela, hela gani?

Kama ni mikopo mbona Magufuli alikua anakopa huku akiwa humu humu ndani?

Huyu mama hakuna kitu.
Royal tour haukuisikia mkuu?
 
Anyway tozo zisizo na manufaa, miradi Mingi imekwama, wizara ya Nishati (TANESCO),hawatendei haki wananchi na hakuna wa kuwatetea, Serikali imekuwa ya mipasho, uwajibikaji umeshuka, rushes ndo kila kitu
Serikali inafanya biashara badara ya kutoa huduma, mfano:-
Sabuni mcheni ilikuwa 2000 saivi 4000
Mafuta ya kupika Lita ilikuwa 2500 saivi 6000
Mfuko wa mbolea ulikuwa 50000 saivi 120000
Unga ulikuwa kilo 700 saivi 1800
Petrol ilikuwa 2500 saivi 3437
Mchele kilo ilikuwa 1500 saivi 2500
Bei ya rimu ilikuwa 9500 saivi 24000
Unga wa ngano kilo ilikuwa 1200 saivi 2200
Mafuta ya taa 1200 Hadi 2600
Tambi 1500 Hadi 2500
Soda ilikuwa 500 saivi 600
Bati ilikuwa 285000 kwa Sasa ni 345000
Daftari ilikuwa 500 saivi 800
Whitedent kutoka 1000 hadi 2500
Mahindi debe ilikuwa 10,000 saizi 18,000
Nyama kutoka 6000 Hadi 8000
Mahindi gunia ilikuwa 60000 sasa ni 100,000
Ukinikuna vizuri na mimi nitakukuna
Maisha yanasonga mbele hayarudi nyuma..

Pili ukiona watu wananunua jua Wana mahela.
 

Attachments

  • Screenshot_20220723-203808.png
    Screenshot_20220723-203808.png
    118.2 KB · Views: 5
Kazi ipi anayopiga, tuoneshe mfano wa kazi anayopiga
Mi nitasaidia tu kujibu, kama anavyoeleza mwenyewe, na kutukanya tusihoji safari zake za kwenda huko anakokwenda.

Anakwenda majuu kututafutia maendeleo kwa vile sisi wenyewe hatuwezi kuleta maendeleo kwa manufaa yetu wenyewe.

Bila shaka utakuwa umeelewa mkuu 'chamilo nicolous.'
 
Back
Top Bottom