Ushauri: Rais ajiuzulu, uchaguzi uitishwe

Bila katiba mpya tume huru bora aendelee Mama kundi la JPM wamepiga sana nakubebesha magumia ya misumari sitaki hata kukumbuka maisha yale
 
CC: Samia Suluhu Hassan
 
Je, akijiuzulu si ndio hao hao akina ma-jaa ya liwa watachukua nafasi?
 
Toka akiwa kikwete kisha Magufuli sasa Samia mnalalamikia uchumi tu.

Maisha hayajawahi kua Marahisi hata Rais atakaekuja atalalamikiwa tu

Fanya kazi hakuna cha bure [emoji1787]
Ishu sio maisha rahis ishu ni gharama za maisha zimekuwa juu anaeumia ni mtanzania wa hali ya chini gharam za vyakula zimekuw kubwa kutokana na bei za pembejeo wakat mwengn reasoning before u spoke nonsense
 
Toka akiwa kikwete kisha Magufuli sasa Samia mnalalamikia uchumi tu.

Maisha hayajawahi kua Marahisi hata Rais atakaekuja atalalamikiwa tu

Fanya kazi hakuna cha bure [emoji1787]
Ishu sio maisha rahis ishu ni gharama za maisha zimekuwa juu anaeumia ni mtanzania wa hali ya chini gharam za vyakula zimekuw kubwa kutokana na bei za pembejeo wakat mwengn reasoning before u spoke nonsense
 
Ni wakati mzuri wa kuondokana na CCM.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Magufuli alikujeruhi sana, kwamba hizo point alizoandika mleta mada ni za uongo?
 

Attachments

  • Screenshot_20220718-145542.png
    151.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220717-160208.png
    66.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220717-160332.png
    89.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220717-155926.png
    86.8 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220723-120952.png
    19.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220723-120857.png
    91 KB · Views: 3
Sasa unafanyaje Ili 2025 iwahi
? Je unategemea kugombea au wewe niwakuchagua?
 
Kisa 23%. Si alijua mlikimbia topic ya kubadili desimali kuwa asilimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…