USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

Ndiyo maana hawakumbuki kuwa wanafunzi wanakaa chini na wananchi wanapata shida
 
Ni ukweli mtupu... Viti + Vitambi+ posho=.....Uzembe + usingizi
 
Ni ukweli mtupu... Viti + Vitambi+ posho=.....Uzembe + usingizi
Komba alijitetea kwa kusema alizama kwenye maombi kuliombea bunge teh teh teh....
 
Kila mmoja Ana kimada wake tatizo letu ni unafiki wanakula kodi yetu viti maalum wanamwakilisha nani wizi mtupu big up wabunge wanawake wenye majimbo viti maalum ni vimada watuambie wanamwkilisha nani ! Ni kupiga makofi tuu basi jamani Huo ndiyo ufisadi. Tutazidi kuwa masikini milele
 
Reactions: FJM
hivi huyu komb kwao hana kitanda,jamaa jing kweli,hiv wanayachaguaje mazembe kama haya,au kimenengule wawawa ndo iliwavutia.
 
hivi huyu komb kwao hana kitanda,jamaa jing kweli,hiv wanayachaguaje mazembe kama haya,au kimenengule wawawa ndo iliwavutia.

Wenye matatizo makubwa ni sisi wapiga kura,kwanini tuchague mtu tu,eti kwasababu anajulikana Dar,uwezo wa kutumikia wananchi hatutaki kujua..lazima tuvune mabua kwa kuwalea ngedere..
 

Matumizi ya hivi vitu viwili yananiboa mno,hivi ni kweli tunakosa wachanganya rangi wazuri au ndio bora liende na kwenye bendera sehemu isiyotakiwa unaikuta inapohitajika haipo..
 
Wabunge viti maalum ni chanzo cha mogogoro ndani ya vyama vya siasa .
Ukiangalia namna wanavyopatikani utaona upendeleo wa ukabila, ukoo, undigu, na pengine wanawake wanadhalilishwa kwa kulazimika kufanya ngono na wenye mamlaka ya kuteua viti maalum

hii inapelekea wanawake hawa wawe watumwa na kuwa nyumba ndogo za wenye mamlaka
 
ni bora wapigwe chini kule bungeni kwenda kushindana kuvaa vimini na kupinga hoja za msingi kama kinondoni kuna wabunge wa viti maalum watano hata kazi yao cjui ni nn?
 
tuamgalieni nchi zilizo endelea eg. USA, UK, China mabunge yao hayana wabunge wengi kiasi kama hiki hata hao wanaochanguliwa kwa maoni yangu wapunguzwe maana ndani ya wilaya unakuta kunawabunge zaidi ya mmoja wanafanya nini? angalia nchi kama China ni nchi kubwa lakini idadi ya wabunge sio kama yetu nchi yenye zaidi ya watu 1.4billion na sisi tz 4.2 mill hatuna uwiano hatakidogo . huko chini kuna madiwani na wenyeviti wanatosha kuwakilisha 50billion sio mchezo zinaweza fanya kitu cha maana kabisa
 
Hawana cha maana wanachofanya zaidi ya kujaza ukumbi wa bunge tu.
Mara nyingi wametumiwa kama viburudisho vya waheshimiwa tu
Inakera sna kuona jambo hili likiendelea kuhusudiwa na hasa CCM
 
hii pesa unaweza kutumika kuleza maendeleo hapa nchi, hasa kwa kuwawezesha hakina mama kiuchumi kuliko hizi siasa za uongo na kweli
 
Wafutwe c kupunguzwa hawana faida upupu mtupu
Dr Kashishila lazima ajue kuwa wanawake wanadai usawa na kama ndivyo hivyo wapigane majimboni kupata kuchaguliwa kama kina Kilango na Mdee. Hakuna kuwaachia kwani kwa kufanya hivyo nikuwaona wanawake ni dhaifu.
 
Kwa nchi zetu za africa wanawake bado wanadharaulika,mi naona ni jambo jema tu wanawake kupewa hivi viti maalum,ili na wao watoe mchango kwenye jamii, ila sasa malengo yanatumika vibaya sijui mchumba wa fulani, mama mkwe, marafiki.

Mkuu kwa kuwekwa katika viti maalumu hii inaongeza dharau kwa wanawake, kwa nini wasisimame majimboni wakapambana! Mbona akina Makinda, Mdee na wengine wamesimama kupitia majimbo na wameshinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…