Mwanamalundi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,125
- 1,435
:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua nini Ndibalema, analinda ujasiriamali wake, unamfahamu vizuri.Kwa mfano huyu hapa pichani.
Anaacha waumini wake, anaenda kuvizia viti maalumu.
Si agombee basi. anashindwa hata na binti mdogo, Halima Mdee!!
![]()
Unajua nini Ndibalema, analinda ujasiriamali wake, unamfahamu vizuri.
No way! This is getting out of hand bana! vifutwe tu.Kwa kweli mkuu hivi viti maalumu havina tija kwa watanzania, hizi ni gharama za kupuuzi embu angalia hapa chini mishahara pamoja na marupurupu yao;
12,000,000 x 95 kwa mwezi = 1,140,000,000 kwa mwaka 1,140,000,000 x 12=13,680,000,000 kwa miaka mitano 13,680,000,000 x 5=68,400,000,000/= ukichanganya na kiinua mgogngo itakuwa 40,000,000 x 95 =3,800,000,000+68,400,000,000= 72,200,000,000/=
Kwa hiyo taifa linapoteza bilioni 72 kwa wabunge wa viti maalumu
My take: serikali inatakiwa ituambie ni kazi gani hawa watu wanafanya ambayo inaweza kuzalisha zaidi ya Bilioni 72 kwa miaka mitano ili waweze kupata mishara yao na taifa lipate faida pia.
Kwa kweli mkuu hivi viti maalumu havina tija kwa watanzania, hizi ni gharama za kupuuzi embu angalia hapa chini mishahara pamoja na marupurupu yao;
12,000,000 x 95 kwa mwezi = 1,140,000,000 kwa mwaka 1,140,000,000 x 12=13,680,000,000 kwa miaka mitano 13,680,000,000 x 5=68,400,000,000/= ukichanganya na kiinua mgogngo itakuwa 40,000,000 x 95 =3,800,000,000+68,400,000,000= 72,200,000,000/=
Kwa hiyo taifa linapoteza bilioni 72 kwa wabunge wa viti maalumu
My take: serikali inatakiwa ituambie ni kazi gani hawa watu wanafanya ambayo inaweza kuzalisha zaidi ya Bilioni 72 kwa miaka mitano ili waweze kupata mishara yao na taifa lipate faida pia.
KWANZA UMEJIUNGA LAST MONTH ILA ULITAKIWA UWE NA POST HATA 20 NA MENGINEYO,LAKINI WEWE NI WA MSIMU HUJUI UNACHOANDIKA WAVAMIA TU POST.. HIVYO KAA MBALI NA SISI USITUAMBUKIZE UPUMBAVU... JAPO SINA MDA MREFU KWENYE JF LAKINI UMEANDIKA UJINGA..
CAH MUIMU KUFANYA KAZI NA SIO KUANGALIA KWAMBA NI UKABILA, UDINI,UFAMILIA , WEWE NI WA WAPI??
NAZANI HUMKUMBUKI NYERERE MANA ALIPINGA SANA AYO MANENO YAKO YA SHOMBO NA YA UPUMBAVU
shkh Yahya
Junior Member
Join Date:
Fri Oct 2010
Posts:
4
Thanks:
0
Thanked 0 Times in 0 Posts