BABA JUNJO
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 241
- 14
Dogo, Batilda aligombea Jimbo na hawezi kuwemo kwenye vit maalum. Labda kama ni lazima sana Prezidaa atamteua kwenye zile nafasi zake 1o. Narudia kama ni lazima sana Batilda awe mbunge. Vinginevyo aje tuchimbe viazi pamoja huku Ludewa