Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Batilda Burian alikuwa ni mgombea wa kiti cha Ubunge Arusha mjini kwa tiketi ya CCM.
Kwanini uhoji kuwa hajakuwemo kwenye list ya Wabunge wa kuteuliwa?
Huwezi kuwa candidate kwenye nafasi 2 at a time.
Hivi ni kweli au nimechanganya majina? Rose Kamili... si yule diwani wa zamani wa ccm kule karatu aliyekuwa mke/mchumba wa weapon?
Hivi ni kweli au nimechanganya majina? Rose Kamili... si yule diwani wa zamani wa ccm kule karatu aliyekuwa mke/mchumba wa weapon?
Ni kweli Rose Kamili alikuwa Diwani wa Kata ya Basotu kwa tiketi ya CCM, lakini ndiyo hivyo kahamia chadema kuwa Mbunge, na Christina Lissu ni Ubavu wa mpiganaji Lissu.
Mkuu in addition to that, wameangalia pia ujamaa, undugu na uswahiba. Tuliwalaumu CCM kwa hili lakini CHADEMAnao wanakula matapishi yao, Baba, mtoto, mkwe, mzazi mwenza (former wife), n.k. CHADEMA duuh! yaani kwa vinafasi hivi vichache wamejaza ndugu na jamaa jee wakipewa nchi nzima si kila kiongozi atabeba jamaa na ndugu yake. Mwnanchi zinduka CHADEMA chama cha KIFAMILIA!!!!
Kwanini Musiweke na wa CCM kama wapo nao tukawajua ama waliochaguliwa ni wa CHADEMA tu?
Batilda Burian alikuwa ni mgombea wa kiti cha Ubunge Arusha mjini kwa tiketi ya CCM.
Kwanini uhoji kuwa hajakuwemo kwenye list ya Wabunge wa kuteuliwa?
Huwezi kuwa candidate kwenye nafasi 2 at a time.
Kujadili undugunazesheni ni hoja muhimu wala si kubomoa,ni changamoto kwa Chadema NA DEMOKRASIA pia ,kwa mfano Mkoa wa SIngida umetoa wabunge wawili je ,wamezingatia jiografia na mgawanyiko wa majimbo!kama wanataka kujenga chama wamengechagua na majimbo ya Iramba ambako CCM imweka kambi!
Batilda Burian alikuwa ni mgombea wa kiti cha Ubunge Arusha mjini kwa tiketi ya CCM.
Kwanini uhoji kuwa hajakuwemo kwenye list ya Wabunge wa kuteuliwa?
Huwezi kuwa candidate kwenye nafasi 2 at a time.
Mkuu in addition to that, wameangalia pia ujamaa, undugu na uswahiba. Tuliwalaumu CCM kwa hili lakini CHADEMAnao wanakula matapishi yao, Baba, mtoto, mkwe, mzazi mwenza (former wife), n.k. CHADEMA duuh! yaani kwa vinafasi hivi vichache wamejaza ndugu na jamaa jee wakipewa nchi nzima si kila kiongozi atabeba jamaa na ndugu yake. Mwnanchi zinduka CHADEMA chama cha KIFAMILIA!!!!