stigajemwa
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 449
- 430
Sasa hapa ni ufafanuzi gani huu? Kwahiyo vyama vya siasa husika ndio huchagua jina miongoni mwa majina yaliyopo NEC na kuiomba nec ipitishe .Kama ni hivyo nec haihusiki juu ya lawama zozote juu ya wanaoteuliwa ubunge na pia chama husika nacho hakistahili lawama sababu wamechagua kulingana na orodha iliyopo nec