Kuna ubaya sana wa kuweka vigezo vya namna hiyo. It means wale wanaotaka kuwezeshwa hasa waliokosa fursa bado hawatapata, watapata wale waliosoma sana na kufanya kazi sehemu nzuri ambao tayari wameshaweza na hawahitaji kuwezeshwa. Besides hakuna utafiti wowote unaoonyesha kuwa kila ukiwa na elimu kubwa ndio unaweza kuongoza vizuri na kuwa mwakilishi bora wa wananchi (angalia Juma Kapuya, Chenge, ulinganishe labda na Mbowe et al. )
Vifutwe mara moja kwa sababu the whole system is crap. Na pia kwa kuwa mwanamke hahitaji kuwezeshwa huko. Kama wanahamu sana na nia madhubuti ya kumuwezesha mwanamke na wampe elimu bora na hata kufungua chuo kikuu cha wanawake. Hii ya kuwapa fish wanawake mia moja badala ya kuwafundisha how to fish wanawake wote Tanzania ni upuuzi usio mithilika