Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
aiii sisi tinan'taka huyu huyu, che we vipi?
wepo chani.
wepo chani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM hawapangiwi hivyo..
Mkuu inaonekana una kisirani Sana.Au huko na Mimba changia kwa staha.Mama ake kaingiaje hapo?au wewe huna Mama?Kama unamaanisha mama yk mzazi Ni sawa asigombee maana Ni kikongwe, hila kwa Samia yupo Hadi 2030 inshallah
hapana, amesema mama yake hatogombeaMkuu inaonekana una kisirani Sana.Au huko na Mimba changia kwa staha.Mama ake kaingiaje hapo?au wewe huna Mama?
Gazeti la Uhuru ambalo ni mali ya ccm liliandika jambo hilo muda mrefu tu .Kama unamaanisha mama yk mzazi Ni sawa asigombee maana Ni kikongwe, hila kwa Samia yupo Hadi 2030 inshallah
Ok, Mungu amlaze pahala pema inshallahGazeti la Uhuru ambalo ni mali ya ccm liliandika jambo hilo muda mrefu tu .
Kingine ni hiki , ni kweli mama yangu alikuwa Kikongwe 75yrs , lakini Hayupo kabisa alishafariki miaka 11 iliyopita , Apumzike kwa amani
Peleka UPUMBAVU wako huko tulishasahau ufisadi na upuuzi wa tozo! Kwa kifupi HAFAIMpumbavu wewe!
Watu tushasahau mambo ya kutekana na kauli za hovyo,
Samia Ni Rais Hadi achoke yeye, hutaki Hama Nchi
Utamaduni wa CCM rais apate vipindi viwili.Ninaomba tujadili jambo hili.
Unaongelea utamaduni wa vipindi viwili wakat Nchi inaelekea SHIMONI,Utamaduni wa CCM rais apate vipindi viwili.
Baraka Shamte kakumbushwa hili kwa gharama kubwa ya kipigo na kudhalilika.
Atapigwa chini tu, nchi imekuwa chungu sababu ya kukumbatia mafisadiMpumbavu wewe!
Watu tushasahau mambo ya kutekana na kauli za hovyo,
Samia Ni Rais Hadi achoke yeye, hutaki Hama Nchi
Una uhakika gani wa hiyo ccm kuwepo ifikapo 2025! Inaweza ikajifia tu kifo cha mende halafu Wazalendo tukachukua nchi yetu kupitia chama cha Kizalendo (Tanzania Nationalist Party - TNP) nitakacho kisajili mwakani panapo majaliwa.Ninaomba tujadili jambo hili.
Miaka sita ya bwana yule mlikaangwa na mkaufyata,hakuna aliye jaribu kuleta fyokofyoko kama mnavojaribu kufanya sasa, na kama mgejaribu mgepata kipigo cha mbwa koko.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani amekaa mwaka mmoja, ni kama amekaa miaka kumi, hatupumui Kila kukicha afadhali ya Jana.
UZI TAYARINinaomba tujadili jambo hili.
Samia ni Rais hadi 2030 uwe unataka au hutaki elewa hivyo.Ninaomba tujadili jambo hili.
Kuna ufisadi kushinda ule wa awamu ya Tano? au ujasikia report ya CAGAtapigwa chini tu, nchi imekuwa chungu sababu ya kukumbatia mafisadi
Usitukane watumishi, wewe ndio umeuweka ujuha na upumbavu wako hadharani peupe, kwa kutusi watumishi. Sio ajabu unaishi kwa shemeji yako ambae anagonga dada yako pia ni mtumishi.Hakuna mtu mpumbavu kama mtumishi..kisa kuongezewa elfu ishirini ndiyo iwe nongwa kwa mama samia...
Wakina Sirro maji shingoni … 😃Ninaomba tujadili jambo hili.