Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
kisa mmeongezwa elfu 20?
watumwa wa umma mna matatizo
Samia yupo mpaka 2030 kuwa mpole tuNinaomba tujadili jambo hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kisa mmeongezwa elfu 20?
watumwa wa umma mna matatizo
Samia yupo mpaka 2030 kuwa mpole tuNinaomba tujadili jambo hili.
Hupumui wewe....wengine wanalamba asali.Hatupumui kila kitu kinazidi kupaa bei.
Kwa kuwa familia yako hakuna Watumishi ndio unaongea pointless,samia mi5 tena,kaz ziendelee,hutak hama nchi.Hakuna mtu mpumbavu kama mtumishi..kisa kuongezewa elfu ishirini ndiyo iwe nongwa kwa mama samia...
Mpelekee mama yako BUTIMBA kule, kenge wewe.20000 yake namrudishia Samia siitaki, nisaidieni namba yake ya Mpesa au account namba ya bank
Ww cha kufanya kusanya genge lako unaloliamin halishndw kitu muandamane mpaka ikulu mkamtoe vngnevyo kaa kmya tu huna msaada.Peleka UPUMBAVU wako huko tulishasahau ufisadi na upuuzi wa tozo! Kwa kifupi HAFAI
Nadhani sio kutafuta mbadala wa Samia bali mbadala wa chamaNinaomba tujadili jambo hili.
Anakuja huyohuyo usiyempenda na hutafany lolote mna mdomo mwing kuliko vitendo,ukijitia kburi utaumia peke yako.Naunga mkono hoja kwa 99.9%.
Wakijidanganya tu wamlete huyu, watashuhudia ambacho hawajawahi wala hawakutegemea kushuhudia.
Wapinzani wenyewe ni CDM ? CCM hata ikiweka Jiwe katika uchagizi litapitaNinaomba tujadili jambo hili.
Usitafute kilema cha makusud 2025 kaa na familia yako utulie hutaweza kupambana na jesh lenye hamu ya kuvunja miguu ya watu vburi,watanzania weng n wanafiki utabak peke yako kweny maumivu.Unaongelea utamaduni wa vipindi viwili wakat Nchi inaelekea SHIMONI,
Mabadiliko yafanyike kabla ya 2025 kuinusulu Nchi kufilisika.
I second you kwenye hiliWatu tushasahau mambo ya kutekana na kauli za hovyo,
Samia Ni Rais Hadi achoke yeye, hutaki Hama Nchi
Walitaka waongezewe laki 5 kila mmojaHakuna mtu mpumbavu kama mtumishi..kisa kuongezewa elfu ishirini ndiyo iwe nongwa kwa mama samia...
Usijidanganye tena futa hayo mawazo, will never happen.Atapigwa chini tu, nchi imekuwa chungu sababu ya kukumbatia mafisadi
Huna uzalendo wowote bali tamaa tu znakusumbua,mtu kama ww upewe nchi utawapa had shemej zako uwazir, unafikir nch inaendeshwa kama familia?Hata ww n fisad tu asiye na cheo.Una uhakika gani wa hiyo ccm kuwepo ifikapo 2025! Inaweza ikajifia tu kifo cha mende halafu Wazalendo tukachukua nchi yetu kupitia chama cha Kizalendo (Tanzania Nationalist Party - TNP) nitakacho kisajili mwakani panapo majaliwa.
Acha na kaz kabsa ukalime20000 yake namrudishia Samia siitaki, nisaidieni namba yake ya Mpesa au account namba ya bank
Waulize baba yao aliwaongeza sh ngap miaka mi5Watu wanamnanga Samia siku hizi 2 kisa tu 23%, Fanyeni kazi za ziada acheni kulia na serikali kama watoto