Mtu mwenye njaa miguu ya kaz gan?Usitafute kilema cha makusud 2025 kaa na familia yako utulie hutaweza kupambana na jesh lenye hamu ya kuvunja miguu ya watu vburi,watanzania weng n wanafiki utabak peke yako kweny maumivu.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Thread imekutoa mafichoni, wa motooooo!!;! Unalinda kitumbuaWamezoea mteremko,wanaleta vita vya maslah kweny masuala ya utawala,urais sio kaz rahis watulize mshono tu.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Matahira haoUsijidanganye tena futa hayo mawazo, will never happen.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ndio ujaribu Sasa kuandamana hiyo 2025 hili umwagwe ubongoMtu mwenye njaa miguu ya kaz gan?
Hakipo atachopoteza zaidi ya minyororo alofungwa na MKOLONI mweusi!!!!
Sitakufa Bali NITAISHI Ili niuone WEMA wa Bwana Mungu wangu ktk Nchi ya Walio hai Tanzania.Ndio ujaribu Sasa kuandamana hiyo 2025 hili umwagwe ubongo
Tupo wengi, acha atusemee!hampumui au haupumui!? Jisemee nafsi yako mkuu
HNinaomba tujadili jambo hili.
Hamieni Somalia!Tupo wengi, acha atusemee!
Hakuna haja ya kuwa mbinafsi hata kwenye crisis Kama hii!
[emoji38][emoji38][emoji38]20000 yake namrudishia Samia siitaki, nisaidieni namba yake ya Mpesa au account namba ya bank
Wengine Ni machawa kwa mabosi. Waliogopa mabosi wao kutekwa wsije kufa njaa.Kwani na wewe ulikuwa unaogopa kutekwa?
ππππ kweli mwana mtuwache na Mh Rais Samia Nchi imetulia na watu wana amani ... yule mwingine kakaa miaka 6 hakuwapa chochote na mlifyata mkia πππ Jiandae Kisaikolojia tutakuwa Naye sana hadi 2030.kisa mmeongezwa elfu 20?
watumwa wa umma mna matatizo
Hiyo yako mkuu we vumilia kama ulivulia miaka sita ile keep doing itHatupumui kila kitu kinazidi kupaa bei.
Raisi wa matajiriππππ kweli mwana mtuwache na Mh Rais Samia Nchi imetulia na watu wana amani ... yule mwingine kakaa miaka 6 hakuwapa chochote na mlifyata mkia πππ Jiandae Kisaikolojia tutakuwa Naye sana hadi 2030.
@gladiator4440 ni kweli ule ufisadi wa trillion 1.5 za JPM tumeshasahau.Peleka UPUMBAVU wako huko tulishasahau ufisadi na upuuzi wa tozo! Kwa kifupi HAFAI
Na ndio ukweli.Wengine Ni machawa kwa
mabosi. Waliogopa mabosi wao kutekwa wsije kufa njaa.
uwezo mdogo kwenye nyanja zoteLete sababu kwanini tumbadirishe
Shimo kama lipi?Unaongelea utamaduni wa vipindi viwili wakat Nchi inaelekea SHIMONI,
Mabadiliko yafanyike kabla ya 2025 kuinusulu Nchi kufilisika.
Mnataka muanze kuktupeleka kusikojulikana na kupiga risasi saa 7 chana kama mnawinda pori LA akiba. Sisi huyu anatosha Hadi katiba imkatae acheni mambo ya aajabu. Ingekuwa enzi zile hata wewe kuleta hiki kiuzi ucngejaribu. Kama Mungu ameona anafaa akamteua sisi ni akina nani hadi tukatae. Maana alikataa chaguo la wanadamu akatuteulia Mama.Atukuzwe aliyefanya uteuzi wa Mama.Ninaomba tujadili jambo hili.
Hata Magufuli walisema hivyo hivyo kwamba tutake tusitake, na Samia nae atakuwa rais hadi 2030 tutake tusitake. Nimekuelewa.Samia ni Rais hadi 2030 uwe unataka au hutaki elewa hivyo.