Ushauri wa Bure kwa Dkt. Hussein Mwinyi: Mfute Kazi Haraka Othman Masoud Kabla Hajaendelea Kueneza Sumu

Ccm is poison i hate and one day I will https://jamii.app/JFUserGuide all of them
 
Kwani hapo Bara hakuna Wakenya,Waganda,Wanaigeria nk,wanaoishi hapo,walioowa hapo?wanaofanya biashara kubwa kubwa hapo?

Hayo ni mawazo mgando,
Dogo wewe huelewi bado mtoto..kua uyaone mwanawane..hujui maana ya kujenga chuki na uhasama kama huu watu wanaotaka kujenga.. kakojoe ulale jomba
 
Mbona Maalum Seif hakuwaga hiv
 
..Ccm wamejifunza walipomfukuza Maalim Seif na wenzake.

..Othman Masoud akifukuzwa wananchi watamfanya shujaa wao.

 
Wakati mwingine huwa najiuliza hivi mkiwa mnahubiri demokrasia huwa mnakuwa mmelewa au? kwasababu najua nyie ni madikteta, na wewe ni mfano mmojawapo wa madikteta tulionao, unapenda vya kukufurahisha machoni pako pekee.
Mayalla jibu hili kwanza. Ila nimecheka sana
 
Pascal, jibu hoja za mkuu hapo
 
Nakubaliana kabisa.

Anti Muungano agents wang'olewe at any cost.

Huyo Othman akayaongee anayo ongea akiwa nje ya serikali.

Jitu linakula heka ya Muunano halafu linaunanga, ni ushamba usiovumilika.

Hahitaji kula hela ya muungano bali ya Zanzibar pekee. Isitoshe hana popote anapojivunia huu muungano wa shuruti.
 

Afuate ilani ya ccm kwani ccm wako madarakani kihalali au kwa shuruti?
 
Kwa haya yanayoendelea naweza kuamini kwamba muungano wetu huu ulikuwa wa kulazimishana. Hii ni kutokana na uhalisia unaojionesha kwa wazanzibari wengi kwamba wako kwenye ndoa ambayo hawajui hata terms zake/

Au wanajisahaulisha ?

Anyway, we need more feedback

Period
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…