Uchaguzi 2020 Ushauri wa bure kwa John Mnyika kuhusu mzabuni wa NEC

Hoja yako ni ya kipuuzi.

Ununuzi wa karatasi za kupigia kura siyo sawa na ununuzi wa vifaa vya chama. Unalinganisha visivyolinganishika. Sijui kwa nini watetezi wa Tume, CCM au Serikali, mara nyingi, huonekana au ni watu wenye uelewa mdogo au watu wanaojifanya ni wajinga.

Ununuzi wa karatasi za kupigia kura, unatakiwa kuonesha uwazi kwa wadau wote ili kujenga imani. Na ndivyo inavyofanyika Duniani kote, na ndivyo ilivyokuwa ikifanyika miaka yote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ndo unaamka sa hizi watu washaona picha za Dodoma na ikungi ni balaa tupu,mpaka yehodaya akasema hakuna kijiji chenye watu wengi namna hiyo.

Au ndo unatoka kazini kwa wahindi sa hizi.
Hali ilivyo, hata kama anatoka kazini kwa waChina au waAfrica au kwa mtu wa asili yoyote ile, mradi ana kazi...kwani wako wengi sana leo hii hawana kazi kwa muda mrefu sana...
 
Hakuna chama cha hovyo kabisa kama CHADEMA. Wameona maji yamewakaba kooni sasa wanaleta visingizio. Tulieni dawa ikolee, mnarukaruka nini..
Nakubaliana na wewe kabisa. Wakati huu wa lala salama ungetegemea Chama kinachotaka kuchukua dola kingejikita katika kueleza kitawafanyia nini Watanzania pindi wakipewa ridhaa. Lakini kwa sababu hawana sera ndiyo wanashika mabua; watazama tuu majini maana wamesishatoboa mtumbwi wao kwa kusema uongo uliotukuka. Eti maendeleo ya watu hayawezi kuletwa na maendeleo ya vitu!!!! SGR, Umeme, barabara, flyovers, hospitali, n.k. haziwezi kuleta maendeleo ya watu!! SHAME ON YOU. HATUDANGANYIKI. Jiulize huyu Mnyika kwa muda wote alikua kimya; sasa anaibuka na sera ya karatasi!! Tujiulize jee walikuwa na mchezo mchafu na hizo karatasi waliotega na sasa umefeli??? Jambo la kumsifu Mnyika ni moja tuu. Alijitoa kutetea jimbo lake baada ya kuona mwaka huu asingeshinda. Hongera kwa hilo.
 
Umetumwa na Jamana au mahera??? Tuanzie hapo Kwanza, Acha upumbavu!
 
Picha na video zote anazo Yehodaya muulize atakutumia, pombe za kununuliwa zitakupoteza jiangalie Sana bwana mdogo
 
Huyo Kigogo toka aanze kuanika uchafu wenu kuna siku mmewahi kumjibu? zaidi mnahangaika tu kumtafuta yeye binafsi, jibuni kila anachokielekeza kwenu msihangaike na mtu.
Hakuna anayehangaika na huyo taahira. Watanzania wanachapa kazi na maendeleo yanaonekana. Hata yule pimbi aliyepata ajali juzi anashukuru kwa miundo mbinu imara na sasa yuko kitandani. Yale yote aliyopanga yamekwenda na maji na ndio kwanza kunapambazuka.
 
Makini sana kiongozi, hawa CHADEMA kiufupi wamepwaya sana. Ni hopeless kabisa, samahani kwa hii lughasina namna. Wanadandia hoja hovyo.

Kifo cha nyani miti yote huteleza
Hii ndiyo picha ya watu wenye damu ya kijani na waliokunywa maji ya kijani.
 
Ethiopia kuna kilakitu ila kila leo raia wanakimbia nchi yao hujiulizi shida ipo wapi, hiyo cm na bundle viwe zinakusaidia kusoma baadhi ya vitu mtandaoni na sio kuisifia tu ccm, na hayo mavitu yanajengwa huku kodi vikiwa kubwa balaa saizi kusafirisha tu mazao kutoka mkoa mmoja hadi mwingine ni shughuli haswa
 
Makaratasi ya uchaguzi sio sawa a na yale yanayochapishwa na makampuni yaliopewa tenda ya kuchapisha vitabu au kalenda za makampuni
 
Hawa jamaa tumewashitukia! Haiingii akilini umpe tenda mtu wa Africa kusini ili hali kuna watanzania wanaweza! Juzi tu walidai sekta binafsi inakufa kisa haipewi tenda na serikali, leo mtanzania kupewa wanalalamika tena! Nadhani chandimu wanatumia matope kuwaza si akili ninazozijua mimi!
 
Wewe ni mshauri wa CHADEMA?
Umepanick brother. Pole.
 
Eti utamchagua TL? Ubarikiwe.
 
Unasema karatasi zinamaajabu gani?
Jua yakuwa kunaweza kuwa na chemical zinawekwa kwenye kisanduku cha lisu ukimuwekea tick inafutika after 2 hours ,hiyo technology unajua?
Umelishwa uwongo. Hizo ni hadithi za kufikirika
Kwa kura ngapi atakazopata mpaka aibiwe?
Watz ni wale wale wataendelea kuchagua viongozi sio kundi la matapeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…