Singo Batan
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 295
- 198
- Thread starter
-
- #121
Muhimu ni kwamba umesoma na [emoji382][emoji382] imeingia!Watu wengine mnajitoa akili na kujionyesha upumbavu wenu mkidhani waTanzania wote ni wajinga.
Unapoteza muda wako wote wa kuandika upuuzi hapo juu ukidhani watakaokusoma ni wajinga?
Kwa hiyo leo unajisikia raha sana kuona umefanya kazi muhimu ya kutetea ujinga?
Hebu soma maswali uliyojiuliza hapo juu; nakushauri ujaribu kuyajibu wewe mwenyewe uone ni kiasi gani ulivyo kilaza baada ya kuyajibu kwa majibu sahihi, kama uwezo huo unao.
Unapoteza muda kumjibu mpumbavu?Huyo Kigogo toka aanze kuanika uchafu wenu kuna siku mmewahi kumjibu? zaidi mnahangaika tu kumtafuta yeye binafsi, jibuni kila anachokielekeza kwenu msihangaike na mtu.
Baada ya kula [emoji382][emoji382] wanatoa povu!Jazba asubuhi yote hii!? Vumilia maisha ndivyo yalivyo
Wewe hakuna ujuacho bora ukanyamaza tuuUmelishwa uwongo. Hizo ni hadithi za kufikirika
Kwa kura ngapi atakazopata mpaka aibiwe?
Watz ni wale wale wataendelea kuchagua viongozi sio kundi la matapeli
Ndg jaribu kuelewa tofauti kati haya maneno; kupewa tenda na kushinda tenda. Ukishaelewa point ya CDM utaielewaHawa jamaa tumewashitukia! Haiingii akilini umpe tenda mtu wa Africa kusini ili hali kuna watanzania wanaweza! Juzi tu walidai sekta binafsi inakufa kisa haipewi tenda na serikali, leo mtanzania kupewa wanalalamika tena! Nadhani chandimu wanatumia matope kuwaza si akili ninazozijua mimi!
atahamia facebookMkuu, umeanzisha Uzi kumshauri nani? Chama kinajua kila kitu, hujui ktk chama hicho kuna nguli was sheria na diplomasia? Basi vumilia kidogo majibu yao, usipokuwa makini utahama jf!
pointness......Ndg jaribu kuelewa tofauti kati haya maneno; kupewa tenda na kushinda tenda. Ukishaelewa point ya CDM utaielewa
[emoji2958][emoji2958][emoji2958]Nguli wa sheria anasema uongo na kufungiwa kampeni?
Huyo ni boya tu,
Hebu leteni mafuriko ya leo tuone ukame wa watu waliokuwa na hamu na mgombea
Nimeingia youtube mida yote sioni kitu nini shida?
Au warusha pivha nao bado wako jela ya NEC?
Tunataka picha hatutaki uinga ujinga, mbona za kanza ya ziwa mlikuwa mnawahisha?
Za huko nyumbani kwake, kwa nini mnachelewa kutoa?
Bado unaendelea na ukilaza? Jitahidi kujirekebisha. Maisha yatakuwia magumu sana kwenda mbele kwa mipasho ya namna hii.Muhimu ni kwamba umesoma na [emoji382][emoji382] imeingia!
Kwa kiwaPicha na video zote anazo Yehodaya muulize atakutumia, pombe za kununuliwa zitakupoteza jiangalie Sana bwana mdogo
Hii ni kitu gani umeweka hapo?
Inakuwaje watu wazima mnajenga nyumba kwenye msingi mbovu halafu nyumba inakaribia kuisha mnaanza kuulizana maswali? Pande zote mbili mnajua kuwa tume sio huru, Tume imetokana na katiba mbovu iliyopitwa na wakati sasa inakuwaje tunakimbilia uchaguzi usio huru?
Kenya nao waalikuwa wabishi kubadili katiba yao lakini walipouana akili iliwarudi na kukubali kufanya mabadiliko ambayo leo hii yamepunguza malalamiko je na sisi mpaka itpkee fujo watu wafe ndio tutaelewa umuhimu wa katiba mpya na Tume huru?
Hivi wameshayatoa majibu yao manguki wetu.Mkuu, umeanzisha Uzi kumshauri nani? Chama kinajua kila kitu, hujui ktk chama hicho kuna nguli was sheria na diplomasia? Basi vumilia kidogo majibu yao, usipokuwa makini utahama jf!
NEC wasijibu hoja hii kihuni, hii tayari ni auditing query; hizi ni pesa za walipa kodi...lazima taratibu zifuatwe na ziwe wazi.
Moja ya mambo mazito kabisa ku justify uchaguzi ulikiwa huru na haki ni pamoja na hii zabuni.
NEC tupeni majibu watanzania, acheni kutoa majibu mepesi...maana karatasi hizi ndiyo sehemu ya uchaguzi wenyewe.
Chadema ofisi zao ziko wapi?Yaani unataka NEC ifanye utopolo halafu tunyamaze? Eti Mnyika aende ofisi za tume.
Kwanini wao hawakwenda wao ofisi za CHADEMA kuwaambia kuwa wamebadilisha mzabuni?
Mwaka huu CHADEMA imewashika pabaya. Huku Robert Amsterdam, huku Lissu. Kule Mnyika huku Kigogo2014. Mtanyooka mwaka huu.
Uvccm tulitegemea mda huu muwe mshafika kilimanjaro kukabiliana na moto, Sasa huo uzalendo pori wenu ni wa kuimba mapambio na kumsifu meko tu, linapokuja suala linalohitaji uzalendo mnajificha kama mnadaiwa kodi na faza house mzaramo [emoji3][emoji3]Chama cha Mbowe, ndembendembe wameanza kuhaha sasa. CHADEMA wana vyanzo gani vya Habari zaidi ya gazeti la mwenyekiti wao na habari za kuokoteza mitandaoni kwa kina kigogo?.
Tume ya uchaguzi ipo kisheria na inafanya kazi zake kwa weledi mkubwa, haiwezi kufuata matakwa ya hisia zenu kuwahadaa na kutaka kuwaaminisha wananchi kuwa inafanya kazi hovyo kama zenu. Watanzania wanajua, chama cha Mbowe ndio kimefikia mwisho wake hiyo Oct 28. Tanzania mpya inakuja, Tanzania ya uchumi wa juu. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CCM.
Barua ya kumuita rais mtarajiwa kwenda kamati fake ya maadili ilipelekwa wapi?Chadema ofisi zao ziko wapi?