Uchaguzi 2020 Ushauri wa bure kwa John Mnyika kuhusu mzabuni wa NEC

Uchaguzi 2020 Ushauri wa bure kwa John Mnyika kuhusu mzabuni wa NEC

Watu wengine mnajitoa akili na kujionyesha upumbavu wenu mkidhani waTanzania wote ni wajinga.

Unapoteza muda wako wote wa kuandika upuuzi hapo juu ukidhani watakaokusoma ni wajinga?

Kwa hiyo leo unajisikia raha sana kuona umefanya kazi muhimu ya kutetea ujinga?

Hebu soma maswali uliyojiuliza hapo juu; nakushauri ujaribu kuyajibu wewe mwenyewe uone ni kiasi gani ulivyo kilaza baada ya kuyajibu kwa majibu sahihi, kama uwezo huo unao.
Muhimu ni kwamba umesoma na [emoji382][emoji382] imeingia!
 
Huyo Kigogo toka aanze kuanika uchafu wenu kuna siku mmewahi kumjibu? zaidi mnahangaika tu kumtafuta yeye binafsi, jibuni kila anachokielekeza kwenu msihangaike na mtu.
Unapoteza muda kumjibu mpumbavu?
Hakuna kazi za kufanya?
 
Hawa jamaa tumewashitukia! Haiingii akilini umpe tenda mtu wa Africa kusini ili hali kuna watanzania wanaweza! Juzi tu walidai sekta binafsi inakufa kisa haipewi tenda na serikali, leo mtanzania kupewa wanalalamika tena! Nadhani chandimu wanatumia matope kuwaza si akili ninazozijua mimi!
Ndg jaribu kuelewa tofauti kati haya maneno; kupewa tenda na kushinda tenda. Ukishaelewa point ya CDM utaielewa
 
Ndugu niliposoma na kukuta unasema " karatasi z akupigia kura zina maajabu gani" nimeishi hapo na kuhitimisha kuwa wewe mwandishi ni POPOMPO.
nakushahuri kamsikilize tena vizuri Mnyika alichokiongelea na kesi ya kenya na mgombea kuhusiana na kampuni ilio shinda zabuni ya karatasi na maamuzi ya mahakama.
 
Mkuu, umeanzisha Uzi kumshauri nani? Chama kinajua kila kitu, hujui ktk chama hicho kuna nguli was sheria na diplomasia? Basi vumilia kidogo majibu yao, usipokuwa makini utahama jf!
atahamia facebook
 
The issue raised has a very significant material effect on these elections and is very prudent to get a good feedback from authorities. When we look at this question in the last elections in Kenya, it was very instrumental in ensuring that Raila Odinga lost the elections, keep it up John Mnyika and continues relentlessly apply pressure to this government to show that these elections from onset have been uncredible to say the least.
 
Nguli wa sheria anasema uongo na kufungiwa kampeni?
Huyo ni boya tu,

Hebu leteni mafuriko ya leo tuone ukame wa watu waliokuwa na hamu na mgombea
Nimeingia youtube mida yote sioni kitu nini shida?

Au warusha pivha nao bado wako jela ya NEC?

Tunataka picha hatutaki uinga ujinga, mbona za kanza ya ziwa mlikuwa mnawahisha?

Za huko nyumbani kwake, kwa nini mnachelewa kutoa?
[emoji2958][emoji2958][emoji2958]

Ikungi Singida.
Screenshot_20201011-113200.jpg
 
Hivi mkuu, yule bwana aliyesema lissu ana uraia wa nchi mbili wakati akijua kuwa sheria za Tanzania haziruhusu unamchukuliaje?...mbona hakujikita katika sera za chama chake?......
 
Huu ujinga ndiyo hatuutaki. Zabuni ilitangazwa na mshiindi kapatikana. Je,utaratibu wa kutangaza zabuni uliwezekana ila wa mshindi ni hadi uwafuate? Ujima wa nini na kila mtu (hata wa Namnyumbu) aende kuuliza? Usilete habari ya ujenzi wa uwanja wa chato na mayanga co!
 
NEC wasijibu hoja hii kihuni, hii tayari ni auditing query; hizi ni pesa za walipa kodi...lazima taratibu zifuatwe na ziwe wazi.

Moja ya mambo mazito kabisa ku justify uchaguzi ulikiwa huru na haki ni pamoja na hii zabuni.

NEC tupeni majibu watanzania, acheni kutoa majibu mepesi...maana karatasi hizi ndiyo sehemu ya uchaguzi wenyewe.
 
Inakuwaje watu wazima mnajenga nyumba kwenye msingi mbovu halafu nyumba inakaribia kuisha mnaanza kuulizana maswali? Pande zote mbili mnajua kuwa tume sio huru, Tume imetokana na katiba mbovu iliyopitwa na wakati sasa inakuwaje tunakimbilia uchaguzi usio huru?

Kenya nao waalikuwa wabishi kubadili katiba yao lakini walipouana akili iliwarudi na kukubali kufanya mabadiliko ambayo leo hii yamepunguza malalamiko je na sisi mpaka itpkee fujo watu wafe ndio tutaelewa umuhimu wa katiba mpya na Tume huru?

..ukiwalaumu Wapinzani utakuwa unakosea.

..wametumia njia zote halali kutetea na kuhimiza kuundwa kwa tume huru lakini imeshindikana.

..Serikali ndio waliotakiwa wapeleke muswada wa sheria bungeni ili kuunda tume huru lakini hawakufanya hivyo.
 
Mkuu, umeanzisha Uzi kumshauri nani? Chama kinajua kila kitu, hujui ktk chama hicho kuna nguli was sheria na diplomasia? Basi vumilia kidogo majibu yao, usipokuwa makini utahama jf!
Hivi wameshayatoa majibu yao manguki wetu.
 
NEC wasijibu hoja hii kihuni, hii tayari ni auditing query; hizi ni pesa za walipa kodi...lazima taratibu zifuatwe na ziwe wazi.

Moja ya mambo mazito kabisa ku justify uchaguzi ulikiwa huru na haki ni pamoja na hii zabuni.

NEC tupeni majibu watanzania, acheni kutoa majibu mepesi...maana karatasi hizi ndiyo sehemu ya uchaguzi wenyewe.

Yaani unataka NEC ifanye utopolo halafu tunyamaze? Eti Mnyika aende ofisi za tume.

Kwanini wao hawakwenda wao ofisi za CHADEMA kuwaambia kuwa wamebadilisha mzabuni?

Mwaka huu CHADEMA imewashika pabaya. Huku Robert Amsterdam, huku Lissu. Kule Mnyika huku Kigogo2014. Mtanyooka mwaka huu.
Chadema ofisi zao ziko wapi?
 
Chama cha Mbowe, ndembendembe wameanza kuhaha sasa. CHADEMA wana vyanzo gani vya Habari zaidi ya gazeti la mwenyekiti wao na habari za kuokoteza mitandaoni kwa kina kigogo?.
Tume ya uchaguzi ipo kisheria na inafanya kazi zake kwa weledi mkubwa, haiwezi kufuata matakwa ya hisia zenu kuwahadaa na kutaka kuwaaminisha wananchi kuwa inafanya kazi hovyo kama zenu. Watanzania wanajua, chama cha Mbowe ndio kimefikia mwisho wake hiyo Oct 28. Tanzania mpya inakuja, Tanzania ya uchumi wa juu. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CCM.
Uvccm tulitegemea mda huu muwe mshafika kilimanjaro kukabiliana na moto, Sasa huo uzalendo pori wenu ni wa kuimba mapambio na kumsifu meko tu, linapokuja suala linalohitaji uzalendo mnajificha kama mnadaiwa kodi na faza house mzaramo [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom