Ushauri wa bure kwa mchezaji Feisal Salum baada ya mchezo wa marudio kati ya Taifa Stars na Uganda The Cranes

Ushauri wa bure kwa mchezaji Feisal Salum baada ya mchezo wa marudio kati ya Taifa Stars na Uganda The Cranes

Hivi una amini Fatuma Karume hajui sheria? ukiona yule Mama kanyoosha mikono jiongeze

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ishu ya kuwa Fei alikosea sio mjadala tena, alishahukumiwa na Yanga wakamtaka arudi kambini, yeye hajataka na kaanzisha mjadala mpya wa kuomba afanye nn iwapo haitaki Yanga. Ndo majibu yanasubiriwa. Mikataba huwa ina exit clause, kama ipo kwenye mkataba wa Fei ni suala la muda tu Yanga italazimika kuweka demand zake mezani kwa Fei ili kuachana naye. Hawawezi kumlazimisha. Na ikishindikana 2024 itafika.
 
Ishu ya kuwa Fei alikosea sio mjadala tena, alishahukumiwa na Yanga wakamtaka arudi kambini, yeye hajataka na kaanzisha mjadala mpya wa kuomba afanye nn iwapo haitaki Yanga. Ndo majibu yanasubiriwa. Mikataba huwa ina exit clause, kama ipo kwenye mkataba wa Fei ni suala la muda tu Yanga italazimika kuweka demand zake mezani kwa Fei ili kuachana naye. Hawawezi kumlazimisha. Na ikishindikana 2024 itafika.
Ili 2024 ifike anatakiwa arudi kundini asubiri mkataba uishe ila akikaza 2024 kwake itakua 2023

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kuna timu inamtaka. Sidhani kama anataka kurudi mtaani.
Kama kuna timu inamtaka mchezaji mwenye mkataba halali na timu yake anayochezea, utaratibu ukoje? Hiyo timu intakiwa kumshawishi mchezaji nyuma ya pazia, halafu inampa hela ya kwenda kuweka kwenye akaunti ya klabu kwa lengo la kusitisha mkataba!

Au hiyo timu inatakiwa kufanya mazungumzo na timu inayo mmiliki mchezaji, ili kumnunua kwa dau walilo kubaliana?
 
Hua nafikiria pengine kuna jambo yanga walimtenda huyu bwana mdogo ni kama ame wachukia kabisa, lakini pia kama alichofanya ni kosa ni kwa nini tff na yanga hawaja muadhibu?
Jambo gani hilo wamtendee huyo chalii! Akili yake tu ndogo. Amewekewa dau mezani na wajanja wa mjini, akaingia king!

Huku akisahau wajanja hao hao walimpuuza wakati anacheza JKU. Yanga iliyomjenga mpaka kufikia hapo alipo, leo hii anaiona ni takataka!


Leo hii mshahara wa milini 4 kwake unamtosha kula ugali na sukari, kana kwamba wakati yuko JKU alikuwa analipwa mamilioni!
 
Kama kuna timu inamtaka mchezaji mwenye mkataba halali na timu yake anayochezea, utaratibu ukoje? Hiyo timu intakiwa kumshawishi mchezaji nyuma ya pazia, halafu inampa hela ya kwenda kuweka kwenye akaunti ya klabu kwa lengo la kusitisha mkataba!

Au hiyo timu inatakiwa kufanya mazungumzo na timu inayo mmiliki mchezaji, ili kumnunua kwa dau walilo kubaliana?
Kuna ilivyo na inavyopaswa kuwa. ARGUMENT YAKO NI SAHIHI ILA:

Fei ameona fursa. Club yake inampa mshahara wa m4, amebakiza muda mfupi, kuna club inamtaka. Hapo kuna fursa ya kupata fedha iwapo atasainiwa akiwa huru. Ts business nothing personal.

Umeona mancity inachofanya kwa Halaand? Madrid imeonyesha nia tu City wamekimbilia kupandisha mshahara na kumuonyesha mchezaji kuwa tunakuthamini. Viongozi wa Yanga walikuwa na nafasi ya kuboresha maslahi ya Fei angalau yafanane na jina lake. Hii hupunguza njaa zisizo na msingi. A DOG IS LOYAL TO THE ONE WHO FEEDS IT.

Badala yake Yanga walitaka kupiga fedha ndefu kupitia Fei. Mshahara kidogo, Mkataba upo mwisho halafu wamuuze m500 na inawezekana bila Fei kupata chochote. Fei kaona bora achukukue hiyo fursa hata kama itamgharimu kusubiri hadi 2024.

Ni kama tu dalali aliyekutafutia mteja wa nyumba yako halafu yeye atake kuchukua fedha mara mbili ya unachopata wewe sababu amemshawishi mnunuzi. Unaweza jikuta unasema siuzi tena tuache tu.

Mpira ni burudani kwa mashabiki na maslahi kwa wachezaji.
images (15).jpeg
 
Jambo gani hilo wamtendee huyo chalii! Akili yake tu ndogo. Amewekewa dau mezani na wajanja wa mjini, akaingia king!

Huku akisahau wajanja hao hao walimpuuza wakati anacheza JKU. Yanga iliyomjenga mpaka kufikia hapo alipo, leo hii anaiona ni takataka!


Leo hii mshahara wa milini 4 kwake unamtosha kula ugali na sukari, kana kwamba wakati yuko JKU alikuwa analipwa mamilioni!
Yote kwa yote yanga msimu huu ukimalizika wamuache aondoke akwende anako taka, waoneshe ukomavu licha ya bwana mdogo kutokuwepo bado wameshinda mechi kadhaa wamuache tuu wachukue fedha
 
Nakukumbusha Fei Toto! Baada ya mechi ya leo, nategemea utajitokeza hadharani, na kutoa tamko la kukubali yaishe.

Natambua fika iwapo utafanya hivyo, wale wapambe waliokuwa wanakuvimbisha kichwa, watakasirika sana. Lakini naamini future yako ni bora zaidi kuliko hao waoambe nuksi.
 
Acha akaendelee kuvua huko, kama anadhani kila siku ataitwa national team bila kucheza.

Hakuna mchezaji huwa anavunja mkataba kienyeji enyeji hivyo hasa wa mpira na tofautisha nakazi zingine bold Mpira
Aliemrubuni na kumlipia pesa ili tu yanga ipoteze mchezo na Azam mjinga sana sasa sheria iendelee na waendelee kumpa hela ya kula.mbafu
 
Nipo nimekaa pale 👉🧔 nasubiria mrejesho kutoka kwa huyu dogo. Baada ya mechi ya jana, atarejea tena mafichoni?

Je, mechi zijazo ataendelea tena kuitwa huku akitambulika anatokea timu ya Yanga?

Je, ni sahihi mchezaji kuitwa timu ya Taifa huku akiwa hana timu anayochezea, na hata baada ya kupewa nafasi ya kucheza; kuonesha kiwango kibovu uwanjani kutokana na kukosa match fitness! Huku wachezaji wenye sifa wakiachwa kwenye kikosi?
 
Nipo nimekaa pale [emoji117][emoji3185] nasubiria mrejesho kutoka kwa huyu dogo. Baada ya mechi ya jana, atarejea tena mafichoni?

Je, mechi zijazo ataendelea tena kuitwa huku akitambulika anatokea timu ya Yanga?

Je, ni sahihi mchezaji kuitwa timu ya Taifa huku akiwa hana timu anayochezea, na hata baada ya kupewa nafasi ya kucheza; kuonesha kiwango kibovu uwanjani kutokana na kukosa match fitness! Huku wachezaji wenye sifa wakiachwa kwenye kikosi?
Sasa hapa mbona hueleweki, shida yako ni Fei kuitwa timu ya taifa akiwa hana timu anayoichezea, au unataka awaombe msamaha? au unataka afanye vyote kwa pamoja? au ndio unampiga majungu kwamba bila utopolo Fei hafai kitu?

Wacha pressure, yule haoneshi dalili yoyote ya kuomba msamaha, anataka kuondoka na alishawaaga, sasa mmeishia kubebwa na TFF..
 
Kuna ilivyo na inavyopaswa kuwa. ARGUMENT YAKO NI SAHIHI ILA:

Fei ameona fursa. Club yake inampa mshahara wa m4, amebakiza muda mfupi, kuna club inamtaka. Hapo kuna fursa ya kupata fedha iwapo atasainiwa akiwa huru. Ts business nothing personal.

Umeona mancity inachofanya kwa Halaand? Madrid imeonyesha nia tu City wamekimbilia kupandisha mshahara na kumuonyesha mchezaji kuwa tunakuthamini. Viongozi wa Yanga walikuwa na nafasi ya kuboresha maslahi ya Fei angalau yafanane na jina lake. Hii hupunguza njaa zisizo na msingi. A DOG IS LOYAL TO THE ONE WHO FEEDS IT.

Badala yake Yanga walitaka kupiga fedha ndefu kupitia Fei. Mshahara kidogo, Mkataba upo mwisho halafu wamuuze m500 na inawezekana bila Fei kupata chochote. Fei kaona bora achukukue hiyo fursa hata kama itamgharimu kusubiri hadi 2024.

Ni kama tu dalali aliyekutafutia mteja wa nyumba yako halafu yeye atake kuchukua fedha mara mbili ya unachopata wewe sababu amemshawishi mnunuzi. Unaweza jikuta unasema siuzi tena tuache tu.

Mpira ni burudani kwa mashabiki na maslahi kwa wachezaji.
View attachment 2566696
Kama kuna timu itamnunua Feisal June 1, 2024 Kwa mil. 500 huku hachacheza mwaka mzima nikatwe mkono wa kushoto nimekaa pale.
 
Kama kuna timu itamnunua Feisal June 1, 2024 Kwa mil. 500 huku hachacheza mwaka mzima nikatwe mkono wa kushoto nimekaa pale.
Akinunuliwa mikono yako itaendelea kuwepo na asiponunuliwa mikono yako haitaongezeka.
 
Sasa hapa mbona hueleweki, shida yako ni Fei kuitwa timu ya taifa akiwa hana timu anayoichezea, au unataka awaombe msamaha? au unataka afanye vyote kwa pamoja? au ndio unampiga majungu kwamba bila utopolo Fei hafai kitu?

Wacha pressure, yule haoneshi dalili yoyote ya kuomba msamaha, anataka kuondoka na alishawaaga, sasa mmeishia kubebwa na TFF..
Mimi ningependa kumuona akkomba msamaha kwa kitendo chake cha utoro. Na kama hatafanya hivyo, basi aendelee kuishi kwa mama yake kama anavyotaka.

Ila kwenye timu ya Taifa, aisiitwe! Kwa sababu mchango wake kwa sasa ni mdogo sana.
 
Suala la kwenda CAS si la lazima ni la kimaamuzi la yeye na wanasheria wake, iwapo wanaamini kuwa hakuna umuhimu wa kwenda hawatokwenda.

Hayo masuala ya mshahara ni masuala ya mkataba. Tatizo ni kuwa hapa nchini Club wakitaka kuachana na mchezaji wanamlipa na wanamuacha, mchezaji hawezi kulazimisha kubaki kambini, labda aseme amelipwa pungufu atafungua madai akiwa nje ya kambi na madai yatakuwa wazi na akishinda analipwa.

Upande wa pili wa shilingi sasa.

Yanga imwambie Fei ili kuondoka bila timu kutaka kukununua fanya moja, mbili, tatu ashindwe mwenyewe. Mpira ni burudani, sio biashara ya utumwa. Mchezaji anataka kuondoka mwenyewe aambiwe afanye nn aondoke. Aambiwe wazi wazi tulipe kiasi kadhaa uondoke.
Wewe una amini Feisal haja ambiwa cha kufanya ili aondoke?
 
Back
Top Bottom