Ushauri wa bure kwa mchezaji Feisal Salum baada ya mchezo wa marudio kati ya Taifa Stars na Uganda The Cranes

Ushauri wa bure kwa mchezaji Feisal Salum baada ya mchezo wa marudio kati ya Taifa Stars na Uganda The Cranes

Ashasema hawezi kula matapishi, anaangalia mbele - cha msingi Yanga wakubali kuvunja mkataba wake kwa vipengele halali vilivyomo kwenye mkataba wake.

Mambo ya kukomoana yashapitwa na wakati, yaani kifupi Yanga wanafanya mambo ya ki-long sana kama mchezaji hataki si umwache muangalie exit room inasemeje kwenye mkataba.

Wewe unamlipa mil 3 kwa mwezi so kwa mwaka Mil 36 na ana mkataba na wewe wa miaka 2 lets say - afu wewe unataka akulipe mil 400 kuvunja mkataba - hiyo akili kweli ?
Huko Duniani hakupo hivyo
Kasome scenario ya Caicedo wa Brighton alivyotaka kuhamia Arsenal
Kwani wakati anasign aliomba kazi au mapenzi nq timu
 
Kama wewe ni mtu wa kujiongeza wapambe wake washajua dogo hana chake wewe endelea kukaza shingoView attachment 2565662

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Fatma yupo sawa kabisa. Iwekwe wazi, kama kavunja kihalali aondoke, kama kavunja kimakosa alipe faini aondoke. Hata Yanga ingekuwa haimtaki Fei asingeweza kulazimisha kubaki kambini. Angelazimisha alipwe fidia.
 
Unamjua Moses Cacedo wa Brighton, ishu yake ya kuhamia Arsenal ilikuaje
Unadhani hakua na hela ya kuvunja mkataba?
Kwa nini hakufanya hivyo pamoja na kuwaomba Brighton wamuachie aende Arsenal?
Ila mnashupaza shingo kwa Fei kua yupo sahihi
Wanafiki wakubwa
Ushasema Arsenal walikuwa wanamtaka. Fei ndo hataki tena kucheza Yanga apewe hizo taratibu aondoke.

Ukitaka kuamini kuwa ni mapenzi na viongozi wako na Yanga ndo yanasababisha utake Fei ateseke geuza shilingi upande wa pili:

Yanga haimtaki Fei, imemlipa fidia ila Fei analazimisha kuwepo kambini na hasemi alipwe kiasi gani ili aondoke, anasema tu anatakiwa kuwepo kambini. Usingemsapoti Fei, ungeanza kusema ukiachwa achika.
 
Feisal yupo kati kati ya vita ya mafahari wawili wanaoshindana,kila mmoja akitaka kumuonesha mwenzie nani zaidi,Mmoja alianza kumhitaji Fei kati kati ya mkataba wake na klabu yake,kiongozi wa klabu ya Fei akajibu kwa jeuri kuwa pesa ya ukwaju haiwezi kumng'oa Fei Yanga,ndipo mwamba alipoamua kutuniaha msuli wake kwamba tutaona kama pesa ya ukwaju haiwezi kumng"oa Fei Yanga.Yaliyopo nyuma ya pazia ni mwendo wa kukomoana.
 
Ushasema Arsenal walikuwa wanamtaka. Fei nani kasema anamtaka? Mchezaji mwenyewe ndo hataki tena kucheza Yanga apewe hizo taratibu aondoke.

Ukitaka kuamini kuwa ni mapenzi na viongozi wako na Yanga ndo yanasababisha utake Fei ateseke geuza shilingi upande wa pili:

Yanga haimtaki Fei, imemlipa fidia ila Fei analazimisha kuwepo kambini na hasemi alipwe kiasi gani ili aondoke, anasema tu anatakiwa kuwepo kambini. Usingemsapoti Fei, ungeanza kusema ukiachwa achika.
Makolo izi mbinu mnazompa Feisal mlishindwa Nini kumpa Manzoki? [emoji3][emoji3] na yeye si alisema anaipenda Simba![emoji3]
 
Makolo izi mbinu mnazompa Feisal mlishindwa Nini kumpa Manzoki? [emoji3][emoji3] na yeye si alisema anaipenda Simba![emoji3]
Simba kushindwa kumsajili Manzoki ni kutokana na kushindikana kwa biashara, Mo na Simba tulishindwa kufanya biashara ndani ya muda na haikutokana na Manzoki kupigana na timu yake na kuondoka kambini au kusema analishwa ugali na sukari.

Fei hana tofauti na wapigania uhuru. Hasemi anataka kwenda wapi, anasema haitaki Yanga.
 
Washabiki wa yanga watamzomea hawezi rudi
Kama Metacha Mnata anacheza pasipo kuzomewa, naamini hata kwa Fei Toto itakuwa hivyo hivyo. Zaidi tu watamshangilia mpaka yeye mwenyewe atashindwa kuamini kinachotokea.
 
Feisal yupo kati kati ya vita ya mafahari wawili wanaoshindana,kila mmoja akitaka kumuonesha mwenzie nani zaidi,Mmoja alianza kumhitaji Fei kati kati ya mkataba wake na klabu yake,kiongozi wa klabu ya Fei akajibu kwa jeuri kuwa pesa ya ukwaju haiwezi kumng'oa Fei Yanga,ndipo mwamba alipoamua kutuniaha msuli wake kwamba tutaona kama pesa ya ukwaju haiwezi kumng"oa Fei Yanga.Yaliyopo nyuma ya pazia ni mwendo wa kukomoana.
Hahaha

Viongozi wa Yanga walitaka wamtumie Fei haswa. Mshahara mdogo, mkataba una mda mchahe kuisha halafu wapate pesa nyingi za kumuuza. Mchezaji kaona bora hiyo pesa achukue yeye potelea mbali. Akaja na mbinu ya ugali na sukari.
 
Mama yake anasema fei aliwahi kupitia magumu hapo yanga hadi Akala "UGALI SUKARI"
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini huu uzushi wa mama Fei. Na nimefarijika kuona uongozi wa Yanga kutoingia kwenye malumbano ya aina hii na huyo mama.
 
Nawakumbusha Tena Makolo
Pamoja na Manzoki kusema kua timu anayoipenda ni simba Lkn hakuthubutu kurusisha signing fee ya Vipers ili ahamie simba, ni Vipers ndio waliamua wapi wakamuuze
Moses Caicedo aliomba kuondoka Brighton akakataliwa lakini hakurudisha signing fee na kujiondokea, ijapokua mkataba wake Una kipengele cha kuuvunja
Ila huku mnakaza shingo
Mkataba hauvunjwi kama kuni
Hao jamaa hawawezi kamwe kukuelewa. Ni wabishi mpaka basi.

Ingekuwa kila mchezaji akijisikia kuvunja mkataba kwa mfumo alioutumia Fei Toto, basi kusingekuwa na sababu ya timu A kununua mchezaji wa timu B.

Wachezaji wangekuwa wanafanya mikataba ya siri, wanapewa hela za kununua mikataba yao, then wanahama kwa urahisi kiasi hicho.
 
Fatma yupo sawa kabisa. Iwekwe wazi, kama kavunja kihalali aondoke, kama kavunja kimakosa alipe faini aondoke. Hata Yanga ingekuwa haimtaki Fei asingeweza kulazimisha kubaki kambini. Angelazimisha alipwe fidia.
Ki halali timu inayomtaka iende front walipe hio 400M mbona simple, kimakosa hakuna mtu anaweza kuingia kwenye huo mtego ni kufungua mlango kwa wengine

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Ki halali timu inayomtaka iende front walipe hio 400M mbona simple, kimakosa hakuna mtu anaweza kuingia kwenye huo mtego ni kufungua mlango kwa wengine

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ok upo sawa kama Yanga wameweka hilo dau mezani, Na Kama hakuna timu iliyotayari kumchukua na mchezaji hataki kubaki Yanga ni sawa akilipa M400 awe huru?
 
Kukataa tu kurudi Yanga na kukaa mtaani ni utoto!
Kwa nini hataki kufuata taratibu za kuvunja mkataba kama haitaki Yanga?!
Yanga wameshatoa hizo taratibu? Nadhani Yeye anataka kupewa hizo taratibu kupitia mtu wa tatu maana hataki kuwasiliana nao kabisa. Sijui wamemfanya nn yule kijana 😀
 
Hao jamaa hawawezi kamwe kukuelewa. Ni wabishi mpaka basi.

Ingekuwa kila mchezaji akijisikia kuvunja mkataba kwa mfumo alioutumia Fei Toto, basi kusingekuwa na sababu ya timu A kununua mchezaji wa timu B.

Wachezaji wangekuwa wanafanya mikataba ya siri, wanapewa hela za kununua mikataba yao, then wanahama kwa urahisi kiasi hicho.
Na vp kuhusu mchezaji kama Club haimtaki? Anaweza kulazimisha kubaki kambini? Tuachane na Usimba na Uyanga. Tujadili tukiwa huru. Mchezaji ana haki sawasawa na Club pale ambapo Club haimtaki? Anaweza goma kulipwa na akalazimisha kubaki kambini?
 
Yanga wameshatoa hizo taratibu? Nadhani Yeye anataka kupewa hizo taratibu kupitia mtu wa tatu maana hataki kuwasiliana nao kabisa. Sijui wamemfanya nn yule kijana 😀
Kama alisaini mkataba anapaswa kujua hizo taratibu.
Mkataba ni makubaliano ya pande mbili. Labda aseme hana mkataba na Yanga kitu ambacho kitakuwa cha ajabu!
 
Kama alisaini mkataba anapaswa kujua hizo taratibu.
Mkataba ni makubaliano ya pande mbili. Labda aseme hana mkataba na Yanga kitu ambacho kitakuwa cha ajabu!
Alizitumia akaambiwa amekosea afuate taratibu. Sasa ni zipi? Yeye anazozijua ameshaambiwa sizo. Haya maombi yake ya mwisho si kaomba apewe mwongozo wa kuachana na Yanga?
 
Back
Top Bottom