Ushauri wa bure kwa mchezaji Feisal Salum baada ya mchezo wa marudio kati ya Taifa Stars na Uganda The Cranes

Ushauri wa bure kwa mchezaji Feisal Salum baada ya mchezo wa marudio kati ya Taifa Stars na Uganda The Cranes

"Huenda mda huu kwa hili alilofanya ana fedha za kutosha tu licha ya kwamba hachezi"

Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini hiki ulichoakiandika hapa.
Kama amefanya bila maslahi yanayozidi maslahi ya ambacho angekipata akitulia hapo Yanga atakuwa mjinga. Kinyume na hapo yupo sawa, na kwasababu aliweza kuweka fedha Yanga ambayo mchezaji anayetegemea mshahara wa 4m siyo rahisi kuwa nayo, uwezekano ni kuwa kuna fedha amepewa.
 
Kama amefanya bila maslahi yanayozidi maslahi ya ambacho angekipata akitulia hapo Yanga atakuwa mjinga. Kinyume na hapo yupo sawa, na kwasababu aliweza kuweka fedha Yanga ambayo mchezaji anayetegemea mshahara wa 4m siyo rahisi kuwa nayo, uwezekano ni kuwa kuna fadha amepewa.
Utakua mpira wa aina gani kama kila mchezaji ata amka aweke pesa kwenye account ya club yake awe huru? Fatma Karume mwenyewe alikiri kua mteja wake amekosea kuvunja mkataba akataka apewe adhabu (fine) then aondoke
 
Utakua mpira wa aina gani kama kila mchezaji ata amka aweke pesa kwenye account ya club yake awe huru? Fatma Karume mwenyewe alikiri kua mteja wake amekosea kuvunja mkataba akataka apewe adhabu (fine) then aondoke

Kama alikosea amerudi na kaendelea kuomba aambiwe taratibu za kuondoka Yanga na ndo anachosubiri kutoka kwa kamati unless abadili msimamo.

Mpira ni furaha kwetu mashabiki na maslahi kwa wachezaji. Tukielewana hapo utamuelewa Fei.

Amekupa burudani miaka m3 hujawahi kuishinikiza Club iongeze maslahi yake kwakuwa ni jambo binafsi, leo kainuka anapigania jambo lake binafsi, muelewe tu.
 
Utakua mpira wa aina gani kama kila mchezaji ata amka aweke pesa kwenye account ya club yake awe huru? Fatma Karume mwenyewe alikiri kua mteja wake amekosea kuvunja mkataba akataka apewe adhabu (fine) then aondoke
Utaratibu alioutumia Fei Toto ukihalalishwa, vilabu vingi vitayumba. Maana wapenda kitonga watakuwa wako busy kuangalia mchezaji mzuri/mchezaji ambaye yupo kwenye peak; wanampa hela! Anaenda kuweka kwenye akaunti ya klabu, then anahama timu.

Hakutakuwepo tena na utaratibu wa kununua wachezaji wakati wa usajili.
 
Kama alikosea amerudi na kaendelea kuomba aambiwe taratibu za kuondoka Yanga na ndo anachosubiri kutoka kwa kamati unless abadili msimamo.

Mpira ni furaha kwetu mashabiki na maslahi kwa wachezaji. Tukielewana hapo utamuelewa Fei.

Amekupa burudani miaka m3 hujawahi kuishinikiza Club iongeze maslahi yake kwakuwa ni jambo binafsi, leo kainuka anapigania jambo lake binafsi, muelewe tu.
Afuate sasa utaratibu unaokubalika. Huo utaratibu alioutumia yeye, ni wa kihuni. Na ndiyo maana mawakili wake wote wanaangukia pua.
 
Utaratibu alioutumia Fei Toto ukihalalishwa, vilabu vingi vitayumba. Maana wapenda kitonga watakuwa wako busy kuangalia mchezaji mzuri/mchezaji ambaye yupo kwenye peak; wanampa hela! Anaenda kuweka kwenye akaunti ya klabu, then anahama timu.

Hakutakuwepo tena na utaratibu wa kununua wachezaji wakati wa usajili.
Hili sio suala linalomkuta kila mchezaji. Ni wale wachezaji wazuri wenye mikataba dhaifu na ndo maana kuna kamati za usuluhishi nchini na nje ya nchi.

Hayawezi kwepeka haya mambo, yatatokea na yataendelea kutokea sababu kuna wachezaji watatokea wananyonywa na club au club kuonewa na club nyingine.
 
Afuate sasa utaratibu unaokubalika. Huo utaratibu alioutumia yeye, ni wa kihuni. Na ndiyo maana mawakili wake wote wanaangukia pua.
Kwani status ya Fei ipoje? Sio kwamba anasubiri mwongozo aambiwe ili aondoke Yanga anatakiwa kufanyaje?
 
Marudiano, how?
Siku chache zijazo Taifa Stars watarudiana kwa Mkapa na Uganda. Baada ya hapo, wachezaji watarejea kwenye vilabu vyao.

Baada ya hiyo mechi Fei Toto atarejea Yanga, au ataenda tena mafichoni? Na wakati ameitwa timu ya Taifa akiwa kama mchezaji halali wa Yanga? Kwa nini asirudi kwenye timu yake, ili maisha yaendelee? That is my concern.
 
Kwani status ya Fei ipoje? Sio kwamba anasubiri mwongozo aambiwe ili aondoke Yanga anatakiwa kufanyaje?
Anasubiri mwongozo wa kusubiri kuondoka kwenda wapi! Na wakati kwenye shauri lake, ametakiwa kurejea Yanga!
 
Hapa mwishoni hajapeleka barua nyingine baada ya kufeli?
Huoni hiyo barua ni ya kujipotezea tu muda! Kama ana mkataba halali na Yanga mpaka 2024!

Anachotakiwa ni kujificha kwa mama yake kule Zanzibar huku akiendelea kulipwa mshahara wa bure kila mwezi, au anatakiwa kurudi kwa mwajiri wake na kuutumikia mkataba wake mpaka hapo utakapofikia tamati mwakani?
 
Huoni hiyo barua ni ya kujipotezea tu muda! Kama ana mkataba halali na Yanga mpaka 2024!

Anachotakiwa ni kujificha kwa mama yake kule Zanzibar huku akiendelea kulipwa mshahara wa bure kila mwezi, au anatakiwa kurudi kwa mwajiri wake na kuutumikia mkataba wake mpaka hapo utakapofikia tamati mwakani?
Sitahitimisha matokeo ya barua ambayo hayajatolewa majibu. Tusubiri.

Kwa issue ya pili.
Yanga inaendelea kufanya vzr bila Fei hivyo haimhitaji sana uwanjani, Fei nae ahuitaji mshahara wa Yanga na anataka kuachana nao, hapa kuna win-win. Fei anakuwa huru, Yanga wanaachana na mshahara wa bure kwa mchezaji asiye wataka.

Fei alijaribu njia ya kwanza kutengeneza hii win-win kwa kutumia vipengele vya mkataba wake akaweka fedha ila zikarudishwa na kaambiwa hajafata taratibu na kesi ikaenda kwenye kamati na akashindwa, sasa ameomba mwongozo ili hizo taratibu ziwe wazi azifuate aondoke, Kwani hizo taratibu ni siri? Au taratibu ni Fei kucheza Yanga mpaka 2024?
 
Kama alikosea amerudi na kaendelea kuomba aambiwe taratibu za kuondoka Yanga na ndo anachosubiri kutoka kwa kamati unless abadili msimamo.

Mpira ni furaha kwetu mashabiki na maslahi kwa wachezaji. Tukielewana hapo utamuelewa Fei.

Amekupa burudani miaka m3 hujawahi kuishinikiza Club iongeze maslahi yake kwakuwa ni jambo binafsi, leo kainuka anapigania jambo lake binafsi, muelewe tu.
Ndugu mbumbumbu tumia akili japo huna Fei ali sign mkataba wa miaka 4 katika mda huo performance yake ime rise msimu ulio isha na huu huko nyuma alikua analipwa hio 4M huku akiwa na kiwango cha kawaida kwanini Yanga wali mvumilia hawakupunguza mshahara? kitu cha pili ungekua na akili ungejiuliza kwanini dogo kila leo anabadili mawakili , means washajua hapo hakuna kushinda na mwisho anasubiri nini kwenda CAS ambao hawana mbambamba kifupi ni kwamba mmemuambukiza umbumbumbu wenu
 
Ndugu mbumbumbu tumia akili japo huna Fei ali sign mkataba wa miaka 4 katika mda huo performance yake ime rise msimu ulio isha na huu huko nyuma alikua analipwa hio 4M huku akiwa na kiwango cha kawaida kwanini Yanga wali mvumilia hawakupunguza mshahara? kitu cha pili ungekua na akili ungejiuliza kwanini dogo kila leo anabadili mawakili , means washajua hapo hakuna kushinda na mwisho anasubiri nini kwenda CAS ambao hawana mbambamba kifupi ni kwamba mmemuambukiza umbumbumbu wenu
Ndugu muumini kondoo wa viongozi wa Yanga, achana na ibada jaribu kumuelewa Fei kuwa amechoka kukuburudisha kwa maslahi yasiyomridhisha.
 
Siku chache zijazo Taifa Stars watarudiana kwa Mkapa na Uganda. Baada ya hapo, wachezaji watarejea kwenye vilabu vyao.

Baada ya hiyo mechi Fei Toto atarejea Yanga, au ataenda tena mafichoni? Na wakati ameitwa timu ya Taifa akiwa kama mchezaji halali wa Yanga? Kwa nini asirudi kwenye timu yake, ili maisha yaendelee? That is my concern.
Nikajua ile ya Misri ndii marudiano
 
Binafsi najiuliza wale wanaharakati wa tweeter waliojitolea kusimama naye hadi mwisho mbona hawaonekani wakati huu kuna mmoja hadi aligoogle kesi za mastaa wa ulaya huko akasema blahblah kibao, daaa 😂🤣!
 
Back
Top Bottom