Ushauri wa bure kwa mchezaji Feisal Salum baada ya mchezo wa marudio kati ya Taifa Stars na Uganda The Cranes

Ushauri wa bure kwa mchezaji Feisal Salum baada ya mchezo wa marudio kati ya Taifa Stars na Uganda The Cranes

Ndugu muumini kondoo wa viongozi wa Yanga, achana na ibada jaribu kumuelewa Fei kuwa amechoka kukuburudisha kwa maslahi yasiyomridhisha.
Kinacho mfanya mpka sasa asiende CAS ni nini? Je Yanga waliwahi kumpunguzia mshahara kipindi ameshuka kiwango?
 
namshauri aitishe mkutano na vyombo vya habari. Halafu ajitokeze hadharani kuomba radhi kwa klabu yake ya Yanga, wanachama, mashabiki, na wadau wote wa mpira wa miguu kwa sintofahamu iliyojotokeza, ili maisha yaendelee.
Ashasema hawezi kula matapishi, anaangalia mbele - cha msingi Yanga wakubali kuvunja mkataba wake kwa vipengele halali vilivyomo kwenye mkataba wake.

Mambo ya kukomoana yashapitwa na wakati, yaani kifupi Yanga wanafanya mambo ya ki-long sana kama mchezaji hataki si umwache muangalie exit room inasemeje kwenye mkataba.

Wewe unamlipa mil 3 kwa mwezi so kwa mwaka Mil 36 na ana mkataba na wewe wa miaka 2 lets say - afu wewe unataka akulipe mil 400 kuvunja mkataba - hiyo akili kweli ?
 
Kinacho mfanya mpka sasa asiende CAS ni nini? Je Yanga waliwahi kumpunguzia mshahara kipindi ameshuka kiwango?
Suala la kwenda CAS si la lazima ni la kimaamuzi la yeye na wanasheria wake, iwapo wanaamini kuwa hakuna umuhimu wa kwenda hawatokwenda.

Hayo masuala ya mshahara ni masuala ya mkataba. Tatizo ni kuwa hapa nchini Club wakitaka kuachana na mchezaji wanamlipa na wanamuacha, mchezaji hawezi kulazimisha kubaki kambini, labda aseme amelipwa pungufu atafungua madai akiwa nje ya kambi na madai yatakuwa wazi na akishinda analipwa.

Upande wa pili wa shilingi sasa.

Yanga imwambie Fei ili kuondoka bila timu kutaka kukununua fanya moja, mbili, tatu ashindwe mwenyewe. Mpira ni burudani, sio biashara ya utumwa. Mchezaji anataka kuondoka mwenyewe aambiwe afanye nn aondoke. Aambiwe wazi wazi tulipe kiasi kadhaa uondoke.
 
Sasa huo mshahara ataongezewa huku akiwa mafichoni Kiembe samaki? Arudi kwanza kambini.
Mbona alivyokuwa kambini akidai hiyo nyongeza haikutolewa? Kama mtu timamu, alichoona bora kwake ni kuweka shinikizo akiwa nje ya kambi. Au mnadhani mna mchezaji kichaa asiyeweza kufikiri kwa usahihi?
 
Mbona alivyokuwa kambini akidai hiyo nyongeza haikutolewa? Kama mtu timamu, alichoona bora kwake ni kuweka shinikizo akiwa nje ya kambi. Au mnadhani mna mchezaji kichaa asiyeweza kufikiri kwa usahihi?
Halafu Yanga ingekuwa ndo haimtaki ingemlipa na kuachana nae na hakuna ambaye angekuja kusema Yanga ifate utaratibu Fei akae kambini.
 
Ashasema hawezi kula matapishi, anaangalia mbele - cha msingi Yanga wakubali kuvunja mkataba wake kwa vipengele halali vilivyomo kwenye mkataba wake.

Mambo ya kukomoana yashapitwa na wakati, yaani kifupi Yanga wanafanya mambo ya ki-long sana kama mchezaji hataki si umwache muangalie exit room inasemeje kwenye mkataba.

Wewe unamlipa mil 3 kwa mwezi so kwa mwaka Mil 36 na ana mkataba na wewe wa miaka 2 lets say - afu wewe unataka akulipe mil 400 kuvunja mkataba - hiyo akili kweli ?
Ndo walichosema? Wanataka m400?
 
Ndugu mbumbumbu tumia akili japo huna Fei ali sign mkataba wa miaka 4 katika mda huo performance yake ime rise msimu ulio isha na huu huko nyuma alikua analipwa hio 4M huku akiwa na kiwango cha kawaida kwanini Yanga wali mvumilia hawakupunguza mshahara? kitu cha pili ungekua na akili ungejiuliza kwanini dogo kila leo anabadili mawakili , means washajua hapo hakuna kushinda na mwisho anasubiri nini kwenda CAS ambao hawana mbambamba kifupi ni kwamba mmemuambukiza umbumbumbu wenu
Ni kipindi kipi hicho ambacho Feisal kiwango chake kilishuka? Yanga bwana hamchoshi kusikiliza vioja vyenu 🤣😂🤣
 
Me Mwana yanga lakini binafsi navomuona kijana ni muungwana sana sema najaribu kufikiria yaweza kua yanga walimvuruga sana kijana pengne maelewano Yao hayakua kama talivo sasa had kuleta mtafaruku yeye akazie nyaya hapohapo.

Kwani ajira ni moja tu, timu ni moja tu.
Ikatokea ameomba msamaha napenyewe mtazungumza kua na mpumbavu huyu kijana.

Bora akaze hapohapo.
Yanga hatuna mtu kama wewe
 
Ashasema hawezi kula matapishi, anaangalia mbele - cha msingi Yanga wakubali kuvunja mkataba wake kwa vipengele halali vilivyomo kwenye mkataba wake.

Mambo ya kukomoana yashapitwa na wakati, yaani kifupi Yanga wanafanya mambo ya ki-long sana kama mchezaji hataki si umwache muangalie exit room inasemeje kwenye mkataba.

Wewe unamlipa mil 3 kwa mwezi so kwa mwaka Mil 36 na ana mkataba na wewe wa miaka 2 lets say - afu wewe unataka akulipe mil 400 kuvunja mkataba - hiyo akili kweli ?
Luis Miqone wa Simba alizwa 1 point something Billion alikua akilipwa sh ngapi? mkataba wake ulikua umebaki mda gani? kama hao wanao mtaka hawawezi kufika bei wasubiri amalize mkataba aende bure hakuna shortcut

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Uko sahihi kabisa. Kama viongozi wa Yanga nao walikiwa wanamdhulumu bwana mdogo, watakuwa nao wamepata funzo.

All in all, bado wadau wengi wa michezo tulitamani kuuona mwisho mwema wa huyu kijana.
Mama yake anasema fei aliwahi kupitia magumu hapo yanga hadi Akala "UGALI SUKARI"
 
Suala la kwenda CAS si la lazima ni la kimaamuzi la yeye na wanasheria wake, iwapo wanaamini kuwa hakuna umuhimu wa kwenda hawatokwenda.

Hayo masuala ya mshahara ni masuala ya mkataba. Tatizo ni kuwa hapa nchini Club wakitaka kuachana na mchezaji wanamlipa na wanamuacha, mchezaji hawezi kulazimisha kubaki kambini, labda aseme amelipwa pungufu atafungua madai akiwa nje ya kambi na madai yatakuwa wazi na akishinda analipwa.

Upande wa pili wa shilingi sasa.

Yanga imwambie Fei ili kuondoka bila timu kutaka kukununua fanya moja, mbili, tatu ashindwe mwenyewe. Mpira ni burudani, sio biashara ya utumwa. Mchezaji anataka kuondoka mwenyewe aambiwe afanye nn aondoke. Aambiwe wazi wazi tulipe kiasi kadhaa uondoke.
Kama wewe ni mtu wa kujiongeza wapambe wake washajua dogo hana chake wewe endelea kukaza shingo
1679773307688.jpg


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Dogo ana hela ya kuvunja mkataba wake Yanga na hela inayomfanya agomee mshahara anaolipwa Yanga halafu unasema kaharibikiwa. Watu wanataka maslahi hayo ya viwango na jina kubwa yanatafutwa ili maslahi yapatikane.
Unamjua Moses Cacedo wa Brighton, ishu yake ya kuhamia Arsenal ilikuaje
Unadhani hakua na hela ya kuvunja mkataba?
Kwa nini hakufanya hivyo pamoja na kuwaomba Brighton wamuachie aende Arsenal?
Ila mnashupaza shingo kwa Fei kua yupo sahihi
Wanafiki wakubwa
 
Nawakumbusha Tena Makolo
Pamoja na Manzoki kusema kua timu anayoipenda ni simba Lkn hakuthubutu kurusisha signing fee ya Vipers ili ahamie simba, ni Vipers ndio waliamua wapi wakamuuze
Moses Caicedo aliomba kuondoka Brighton akakataliwa lakini hakurudisha signing fee na kujiondokea, ijapokua mkataba wake Una kipengele cha kuuvunja
Ila huku mnakaza shingo
Mkataba hauvunjwi kama kuni
 
Back
Top Bottom