Ushauri wa bure kwa mchezaji Feisal Salum baada ya mchezo wa marudio kati ya Taifa Stars na Uganda The Cranes

Ushauri wa bure kwa mchezaji Feisal Salum baada ya mchezo wa marudio kati ya Taifa Stars na Uganda The Cranes

Alizitumia akaambiwa amekosea afuate taratibu. Sasa ni zipi? Yeye anazozijua ameshaambiwa sizo.
Ndiyo utoto huo.
Si alishawahi kuonekana na wanasheria kwenye vikao vya TFF? Hata hao walishindwa kumshauri?!
 
Ndiyo utoto huo.
Si alishawahi kuonekana na wanasheria kwenye vikao vya TFF? Hats hao walishindwa kumshauri?!
Barua yake ya mwisho ameomba nn? Sio kwamba ameomba apewe muongozo wa kuachana na Yanga baada ya kukosea? Huo muongozo ameshapewa?
 
Na vp kuhusu mchezaji kama Club haimtaki? Anaweza kulazimisha kubaki kambini? Tuachane na Usimba na Uyanga. Tujadili tukiwa huru. Mchezaji ana haki sawasawa na Club pale ambapo Club haimtaki? Anaweza goma kulipwa na akalazimisha kubaki kambini?
Huwa wanakaa mezani na kufikia muafaka. Na kama mchezaji atagoma kuondoka, timu haiwezi kumuondoa kwa ulazima. Na huu ndiyo utaratibu ulivyo.

Sasa huyo Fei alikaa lini na viongozi wake kuwajulisha anataka kuondoka? Na anataka kuondoka kwa sababu zipi? Au aliposaini mkataba wa kuichezea Yanga, alishurutishwa kwa mtutu wa bunduki?

Kwenda kuweka hela kwenye akaunti ya klabu baada ya kushawishiwa nyuma ya pazia na mmiliki wa timu nyingine, ndiyo utaratibu unavyotaka?
 
Huwa wanakaa mezani na kufikia muafaka. Na kama mchezaji atagoma kuondoka, timu haiwezi kumuondoa kwa ulazima. Na huu ndiyo utaratibu ulivyo.
Ushawahi sikia mchezaji kaenda TFF kulazimisha kubaki kambini? Wote wanaendaga kudai fidia za kuvunjwa mkataba. Yupo ambaye hakutaka kutaja fidia alichokuwa anataka ni kubaki kambini?
 
Kwa nini anataka Yanga wampe mwongozo wakati ana mkataba? Kila kitu si kiko wazi kwenye mkataba?
Kama yeye kashindwa kutafsiri si aombe msaada wa wanasheria?
Boss yeye alitumia vipengele akaambiwa huo ni uhuni. Sasa kaomba msaada kwa kamati imwambie ni nn afanye ili aondoke. Yanga wao hawataki mambo ya mchezaji kuondoka akiwa huru wanataka aje kambini timu inayomtaka ilete maombi. Timu inayomtaka haijaenda, mchezaji anataka kuondoka.
 
Boss yeye alitumia vipengele akaambiwa huo ni uhuni. Sasa kaomba msaada kwa kamati imwambie ni nn afanye ili aondoke. Yanga wao hawataki mambo ya mchezaji kuondoka akiwa huru wanataka aje kambini timu inayomtaka ilete maombi. Timu inayomtaka haijaenda, mchezaji anataka kuondoka.
Mkuu kwa uelewa wako Fei anataka kuondoka Yanga aende wapi?
 
Kama kuna timu inamtaka mbona rahisi tu?!

Hiyo timu ndiyo inatakiwa kuwasiliana na mwajiri wake Yanga, ili wayamalize.
Hahaha huenda Dau kubwa sana wamepewa wakakimbia Fei akaona alipwe yeye ajiondokee kuliko kupokea m4 mpaka 2024.
 
Kama kuna timu inamtaka mbona rahisi tu?!

Hiyo timu ndiyo inatakiwa kuwasiliana na mwajiri wake Yanga, ili wayamalize.

Yeye anavyojaribu kumaliza hili suala ni kana kwamba anataka kurudi mtaani!
Unajua hivi ni vita vya maslahi tu. Club inayomtaka haioni sababu ya kulipa fedha walizoambiwa walipe, Fei haoni sababu ya kuwekewa dau kubwa na Yanga inataka fedha nyingi kupitia Fei.
 
Hua nafikiria pengine kuna jambo yanga walimtenda huyu bwana mdogo ni kama ame wachukia kabisa, lakini pia kama alichofanya ni kosa ni kwa nini tff na yanga hawaja muadhibu?
 
Unajua hivi ni vita vya maslahi tu. Club inayomtaka haioni sababu ya kulipa fedha walizoambiwa walipe, Fei haoni sababu ya kuwekewa dau kubwa na Yanga inataka fedha nyingi kupitia Fei.
Sidhani kama Fei kawekewa dau kubwa kuliko ilivyoainishwa kwenye mkataba wake.

Kama anataka kuondoka bila kulipa cho chote arudi kikosini, aheshimu mkataba wake hadi utakapomalizika.

Tofaulti na hiyo ndiyo utoto tunaosema.
 
Sidhani kama Fei kawekewa dau kubwa kuliko ilivyoainishwa kwenye mkataba wake.

Kama anataka kuondoka bila kulipa cho chote arudi kikosini, aheshimu mkataba wake hadi utakapomalizika.

Tofaulti na hiyo ndiyo utoto tunaosema.
Fei hajapewa dau, dau lipo kwa club inayomuhitaji. Fei yeye anataka kuondoka yeye kama yeye masuala ya Club kumtaka yatakuja baadae akiwa huru. Ukumbuke akiondoka huru anakwenda kufanya makubaliano bila Yanga na pesa atapata yeye. Hiyo ni fursa ya kupata pesa kaiona.

Sasa swali ni mkataba wake unasemaje iwapo anataka kuuvunja bila kutakwa na club nyingine? Yeye alipotumia hivyo vipengele akaambiwa sio utaratibu na TFF ikamwambia ww bado ni wa Yanga sasa ndo anasubiri aambiwe huo utaratibu ili ajiondokee. Kama mkataba unasema mchezaji hawezi kuvunja mkataba wake basi Yanga wapo sawa.
 
Ok upo sawa kama Yanga wameweka hilo dau mezani, Na Kama hakuna timu iliyotayari kumchukua na mchezaji hataki kubaki Yanga ni sawa akilipa M400 awe huru?
Hapo hakuna biashara arudi kundini asubiri mkataba wake ufike mwisho vinginevyo anajiumiza mwenyewe, na kitakacho tokea atakuja kufungiwa kucheza mpira time will tell

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Na vp kuhusu mchezaji kama Club haimtaki? Anaweza kulazimisha kubaki kambini? Tuachane na Usimba na Uyanga. Tujadili tukiwa huru. Mchezaji ana haki sawasawa na Club pale ambapo Club haimtaki? Anaweza goma kulipwa na akalazimisha kubaki kambini?
Club kama haimtaki mchezaji inamlipa stahiki zake kwa makubaliano, sio kati kati ya msimu unless kama kuna sababu ya msingi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Alizitumia akaambiwa amekosea afuate taratibu. Sasa ni zipi? Yeye anazozijua ameshaambiwa sizo. Haya maombi yake ya mwisho si kaomba apewe mwongozo wa kuachana na Yanga?
Kama angekua amefata utaratibu asinge kua ana zunguka kwenye corridor za TFF mpka sasa angekua CAS anajua anamakosa ndio maana zinakuja mambo za kuoneana huruma mafano kauli za mama yake na hio tweet ya Fatuma Karume

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Fei hajapewa dau, dau lipo kwa club inayomuhitaji. Fei yeye anataka kuondoka yeye kama yeye masuala ya Club kumtaka yatakuja baadae akiwa huru. Ukumbuke akiondoka huru anakwenda kufanya makubaliano bila Yanga na pesa atapata yeye. Hiyo ni fursa ya kupata pesa kaiona.

Sasa swali ni mkataba wake unasemaje iwapo anataka kuuvunja bila kutakwa na club nyingine? Yeye alipotumia hivyo vipengele akaambiwa sio utaratibu na TFF ikamwambia ww bado ni wa Yanga sasa ndo anasubiri aambiwe huo utaratibu ili ajiondokee. Kama mkataba unasema mchezaji hawezi kuvunja mkataba wake basi Yanga wapo sawa.
Hivi una amini Fatuma Karume hajui sheria? ukiona yule Mama kanyoosha mikono jiongeze

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom