Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
kunywa bia mkuu gari yenyewe base model eti nae driver .... wazungu wanasema fvckin ricerLegacy yenyewe ipo riced sana.
Hawa vijana wanao endesha vi artezza na Subaru wana vurugu flani hivi zisizo na maana.
Ile sauti inayotoka kwenye muffler inawazuzua kweli,unakuta gari mlio mkubwa ipo hapo hapo.
Wakija kumiliki gari zenye engine za maana tutawazika mapema.
Badilikeni matozi wote..
Artezza Subaru ni 15M, kiwanja upana futi tatu, urefu futi saba, kina futi sita ni bureeee!
kula like .....Pole yake sana
Ila jamaa simkubali wala nini,ana sifa sana,hata anavyotangaza kipindi chake sifa nyingi na dharau flani hasa akikutana na msanii chipukizi tena wa mkoani hahaha atapigwa madongo na vimaswali vya kejeli mpaka aone moto
Chuki hii kwa kijana mwenzako sio nzurHivi huyu bwanamdogo anavyorembuaga linda Lipo salama kweli?
Pole yake sana
Ila jamaa simkubali wala nini,ana sifa sana,hata anavyotangaza kipindi chake sifa nyingi na dharau flani hasa akikutana na msanii chipukizi tena wa mkoani hahaha atapigwa madongo na vimaswali vya kejeli mpaka aone moto
Lakin sio mshamba kama magufuliNi msukuma eh....???
Yeye alizidi unajuaa kujitoaa fahamu mbele ya msichana saa nyingine inakushushiaa hadhi kutokana na status yake angetuliaa tu sisi ndo tungeshoboka labdahata mm ngeshoboka tuu... nione wowowo mbele yng afu nnajikubali kwnn nsiwe na shobo
whats that ?Pussy ass nigga must be suffering from ADHD.
kabisaa.. kwa status yake angesubiri tuu kushobokewaYeye alizidi unajuaa kujitoaa fahamu mbele ya msichana saa nyingine inakushushiaa hadhi kutokana na status yake angetuliaa tu sisi ndo tungeshoboka labda
HahaaaaaaLegacy yenyewe ipo riced sana.
Hawa vijana wanao endesha vi artezza na Subaru wana vurugu flani hivi zisizo na maana.
Ile sauti inayotoka kwenye muffler inawazuzua kweli,unakuta gari mlio mkubwa ipo hapo hapo.
Wakija kumiliki gari zenye engine za maana tutawazika mapema.
Badilikeni matozi wote..
Artezza Subaru ni 15M, kiwanja upana futi tatu, urefu futi saba, kina futi sita ni bureeee!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hajataka kuonesha kua kakulia Mwanza au ni mtu wa Mwanza,msije muita wa mkoani
Tatizo raisi wao na wameapa watatawala mileleHawa watu wa Kolomije wana tabu sana wakifika Town.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kamati ya roho mbayaa***** Sasa tunapishana
Kwenye daladala wote
Karbu sana
[emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] dahLegacy yenyewe ipo riced sana.
Hawa vijana wanao endesha vi artezza na Subaru wana vurugu flani hivi zisizo na maana.
Ile sauti inayotoka kwenye muffler inawazuzua kweli,unakuta gari mlio mkubwa ipo hapo hapo.
Wakija kumiliki gari zenye engine za maana tutawazika mapema.
Badilikeni matozi wote..
Artezza Subaru ni 15M, kiwanja upana futi tatu, urefu futi saba, kina futi sita ni bureeee!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3] [emoji3] [emoji3] kamati ya roho mbayaa