Ushauri wa Bure: Ukijikwaa ukaanguka, usiangalie tu pale ulipoangukia, bali angalia pale ulipojikwaa


1. Kamati Kuu ya Cdm haikuteua wabunge wa viti maalum. Hilo halina mjadala.

2. Kamati Kuu ndiyo mamlaka pekee na ya mwisho ktk kuteua wabunge wa viti maalum kwa upande wa chama chao.

3. Huenda Halima Mdee na wenzake wamegushi barua ya utambulisho na kuiwasilisha NEC ambayo ili-forward majina yao bungeni.

4. Cdm imeiandikia NEC kuwataka wawape ushahidi wa nyaraka za utambulisho za kina Halima kuwa wabunge. Tume /NEC haijawapa ushirikiano.

5. Upo uwezekano wakina Halima waliteuliwa kihuni tu kwa utashi, bila hata barua ya kugushi, na wakaapishwa kuwa wabunge.

6. Cdm wametimiza wajibu wao kwa kuwaadhibu Halima na wenzake. Suala hilo sasa limekwisha kwa upande wa Cdm.

7. Hakuna shaka kwamba Halima na wenzake wamekwenda bungeni bila kuteuliwa na chama chao. Vyombo vya DOLA vichunguze na kuwabaini waliohusika na kashfa hii.

8. Waandishi wa habari za kiuchunguzi wafanye kazi yao kwa kufukua uozo uliowezesha Halima na wenzake kuwa wabunge.
 
Kwa hiyo kazi yako ni kuwatetea wanaofukuzwa Chadema tu? Yule Mzee kule Zanzibar tena mwanaccm mwenzako aliyevunjwa mguu na uvccm kisha akafukuzwa CCM bila kusikilizwa hujamuona? Paschal hii janja janja yako na chupli nyingi waongopee wengine.
 
Mayalla ni Njaa. Ni vyema uchapishe gazeti. Karma ilishaondoka na jiwe.

Eti Mdee! Yeye mwenyewe alishajimaliza. Labda nikuulize "Chadema ndio walimtoa yule dada kule gerezani"?
Mkuu JAYJAY, yale mashitaka yalifutwa kwa nolle na DPP, mapema tuu, ila remover order ndio ikachelewa kutoka, by the time inatoka giza lilishaingia.
CC.
P
 
Mbona hutaki kuongelea issue ya mwanaCCM mwenzako yule babu wa kule Ugunja?
Huyo ndiye Pascal Mayalla na hizo ndizo thread zake za karibuni dazani moja!
Hii inaitwa obsession...ni ugonjwa na Ugonjwa wenyewe unaweza kuletwa ama na mapenzi au chuki.
Hebu amueni wenyewe, je tiba ni nini?
  1. Nailaumu CHADEMA kuwa hawajui wanataka nini

  2. Ikithibitika CHADEMA ilihusika na uvunjifu wa amani, then inapaswa kufutwa kwa mujibu wa katiba!

  3. Je, wabunge 19 wa CHADEMA walijiteua? Je, CC ya CHADEMA ni Kangaroo Court? Je, Baraza Kuu litabariki ukangaroo ule?

  4. Ni Ubatili Mtupu Mpaka Basi!. CC ya CHADEMA ilipata wapi mamlaka?. Baraza Kuu halina mamlaka hiyo!. Je, inawezekana CHADEMA ni chama majanga ila?

  5. Miaka 30 ya Chadema, Swot Analysis, PEST Analysis, Imarisheni Strengths, Shughilikieni Weakness, Start A Fresh!.

  6. Voices From Within: Unaweza usiamini! Aliyetoa A Go ahead kwa Mdee na Wenzake ni Kigogo wa Chadema!. Alikuwepo Ukumbini na Vikaoni! Je, ni nani?

  7. Spika Dkt. Tulia yuko sahihi sana, CHADEMA wajifunze kufanya vitu kwa usahihi na wafanye kiusahihi

  8. Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!

  9. Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu

  10. Je, wajua kuwa hatma ya CHADEMA ipo mikononi kwa Lwakatare?. Baada ya CHADEMA kumwaga ugali, Lwaka akiamua kumwaga mboga, CHADEMA Kwishney

  11. Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa. CHADEMA is almost dead, due to deadly mistakes! This is your only survival -- do or die. Msirudie kosa

  12. CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

 
Hana mvuto tena
 
Wanabodi,
Baadhi ya mabandiko yangu sio mabandiko ya average mind ni mabandiko ya deep thinkers, moja ya mabandiko hayo ni Bandiko hili Ushauri wa Bure: Ukijikwaa ukaanguka, usiangalie tu pale ulipoangukia, bali angalia pale ulipojikwaa

Maadam Mahakama Kuu imetupilia mbali kesi ya kina Mdee, hiki nilicho andika kwenye bandiko hili, sasa ndio kinakwenda kutokea!. It will be very devastating and disturbing!.

Wale ambao sio average mind, wana uwezo to connect the dots, baada ya Chadema kumtimua Zitto kwa dhulma, there are bad things that happed to Chadema na wahusika wa kadhia ya Zitto, but no one connected the dots and linked the consequences, hivyo sasa baada ya Chadema kuwatimua hawa Wabunge 19, naombeni sasa watch closely what will happen to Chadema and the main players and connect the dots.

God forbids!.
P.
 
Paskali nimekuomba sana sana kama umechoka na kuzeeka acha ku comment maana tangu uitwe bungeni umekua falaa kabisa
 
Mkuu,
Kwa mtu yeyote anayefanya critical analysis ya vile unavyoandika, ata-confirm wewe kwa sehemu kubwa ni intelligence officer na moja ya kazi yako ukiachilia nyingine ni ku-influence public opinion. Unayoyaandika kupitia kivuli cha KARMA and VOICES FROM WITHIN yana uwezekano mkubwa wa kutokea sababu una-convey deep state mind.
 
Maamuzi ya mahakama leo, karma in action.
Please note Pascal Mayalla
 
Mkuu John7371, kwanza, nimefarijika sana kujua na wewe ni miongoni mwa watu wenye uwezo wa kufanya critical thinking and critical analysis. Watu wenye uwezo huo ni wachache hata humu jf, kwasababu, ili mtu awe na uwezo huo wa critical thinking na critical analysis ni lazima mtu huyo awe, bright and brilliant with good brain and intelligent mind.

Mimi nina bahati tuu kuzaliwa kwenye familia ambayo both parents, Baba na Mama ni watu wa 'Idara' hivyo nimezaliwa with security conscious hivyo kuonekana kama ofisa kipenyo na kwa vile wazazi ni huko, watu wanaamini mwana wa nyoka ni nyoka.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, kwetu tumezaliwa 8, we can't all be nyokas wengine ni mijusi.

Hizi the voices from within ni kweli kabisa nazisikia sauti na sio tips from deep state!. Karma nimeisoma nilipoishi New Delhi, India hivyo kuna vitu vinavyosabisha bad karma naviona vikifanywa, kazi yangu it's just to warn kuhusu karma, halafu bakora za karma zikishuka najua hizi ni bakora za karma. Mfano baada ya ushindi wa JPM, ile 2015, nilipandisha uzi huu, Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake! mtu wa deep state hawezi kupandisha bandiko kama hilo.

Na hata sasa watu wasio na jicho la roho wanaanza kumchagiza Samia kugombea 2025, mimi nimeunga mkono ya 2025 twende na Nagombea mwanamke, ila nikasema sio lazima awe Samia!, Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake! halafu nikasikia sauti hii Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, Sauti Imeshauri Mama Amkabidhi Kwanza Dr. Mwinyi, Urais wa JMT, Ndipo Aje Mwanamke!, mtu wa deep state, hawezi kuandika kitu kama hii!.
Hivyo rest assured mimi sii sehemu ya deep state, ila niko vizuri kwenye intels na hao deep state, kuna vitu tunaviweka humu, vinawasaidia kama hii kitu Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya? ... mwisho wa siku, jamaa walikula kichwa!, sasa ni mlango wazi!.
P
 
Shame shame shame shame shame
 
Pasko kuwa muungwana, chutama tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…