Inaonekana wewe ni ngwini cc cocasticAkili ndogo hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana wewe ni ngwini cc cocasticAkili ndogo hizi
Wapi nimesema mimi ni mwalimuVipi mkuu ulishindwaje na wewe kusoma sayansi?
Basi kama siyo mwalimu kausha. Au unamsemea mumeo aliyeshindwa kukupa matumizi kisa anakuambia yeye mwalimu wa masomo ya Sanaa? Mkomalie akupe utofauti ni mdogo mno dada yangu.Wapi nimesema mimi ni mwalimu
Ndiyo maana nakwambia huna akili kwa sababu una uelewa mdogo sana sana kuhusu elimu sasa mtu kama wewe ni wa kukudharau tuu maana unawaza chini ya kiwango sanaKama na wewe unasupport upuuzi huo nawe nakuhakikishia huna akili! Mtoto anatakiwa asome Sayansi. Ndiyo maana kuanzia form one kila mmoja anasoma masomo yote. Kushindwa kusoma masomo ya sayansi ni upungufu.
Wajinga wengi huwa na fikra kama zako na watu wa aina yako huwa ni wa kuwadharau tuAkili Yako kubwa ukaishia kusoma masomo ya Sanaa na Bado unataka ulinganifu. Mtu asolve Calculus, asolve D.E, asolve Logic, Amueleweshe mwanafunzi Mambo ya Physics, electronics, asolve Mechanics halafu awe sawa na mtu anayebwabwaja habari za Aristotle na ndugu yake Socrates kwenye GS.
FactLeo tena nimekuja kulalamika,
Hivi mwaka 2019 serikali iliona nini?
Ilijisikiaje au kwakuwa head alikuwa mwalimu wa science akaona awabebe wenzake?
Najua lengo ni kuwatia motisha walimu wa science,
Sawa.
Lakini je ili iweje? Kwa faida ipi?
Shule ni zile zile,
Wanafunzi wale wale,
Tena wakifika form three walimu wa science wanajichagulia watoto wao wa kuwafundisha,
Unakuta shule wanafunzi 300 wanasoma historia
Wanafunzi 60 wanasoma science
Hapo mwalimu mwenye mzigo mkubwa ni yupi? Kama sio huyu mwenye watoto 300!
Badala ya kujifanya kuongeza pesa kwa walimu wa science,
Serikali iajiri walimu wengi wa science na sanaa ili kuweka ikama sawa,
Na kutoa mzigo mkubwa wa vipindi kwa walimu waliopo,
Halafu iongeze mishahara na kuweka mazingira mazuri ikiwemo nyumba za kisasa kwa walimu,
Walimu acheni kujiwekea matabaka ninyi kwa ninyi,
Hakuna mwalimu bora kuliko mwingine
Itikadi za mwendazake ziachwe kama zilivyo
Wewe andamana.Wajinga wengi huwa na fikra kama zako na watu wa aina yako huwa ni wa kuwadharau tu
ID inafanya wote tukupuuzeLeo tena nimekuja kulalamika,
Hivi mwaka 2019 serikali iliona nini?
Ilijisikiaje au kwakuwa head alikuwa mwalimu wa science akaona awabebe wenzake?
Najua lengo ni kuwatia motisha walimu wa science,
Sawa.
Lakini je ili iweje? Kwa faida ipi?
Shule ni zile zile,
Wanafunzi wale wale,
Tena wakifika form three walimu wa science wanajichagulia watoto wao wa kuwafundisha,
Unakuta shule wanafunzi 300 wanasoma historia
Wanafunzi 60 wanasoma science
Hapo mwalimu mwenye mzigo mkubwa ni yupi? Kama sio huyu mwenye watoto 300!
Badala ya kujifanya kuongeza pesa kwa walimu wa science,
Serikali iajiri walimu wengi wa science na sanaa ili kuweka ikama sawa,
Na kutoa mzigo mkubwa wa vipindi kwa walimu waliopo,
Halafu iongeze mishahara na kuweka mazingira mazuri ikiwemo nyumba za kisasa kwa walimu,
Walimu acheni kujiwekea matabaka ninyi kwa ninyi,
Hakuna mwalimu bora kuliko mwingine
Itikadi za mwendazake ziachwe kama zilivyo
Sasa hoja yako iwe ni serikali iongeze walimu na siyo kulingana malipo.Walimu wamejaa mtaani Serikali inashindwa nini kuwaajiri? Kuondoa huo uhaba?
Wala siyo kuingia tu maabara Wana content?Sasa hoja yako iwe ni serikali iongeze walimu na siyo kulingana malipo.
Hao walimu wa artist nao huwa wanaingia maabara?
Ungekuwa serious na science si ungekuwa dk Janabi sasa,Ulitumwa kusomea vishazi huru na tegemezi? Vuna ulichopanda
Acha waliosoma
Inorganic chemistry
Ma integrations
Electrostatic, genetics wale maisha
We si uliona sifa zile hadithi za mkoloni
Maabara ya panya?Sasa hoja yako iwe ni serikali iongeze walimu na siyo kulingana malipo.
Hao walimu wa artist nao huwa wanaingia maabara?
Nguvu ya kufundisha masomo ya sayansi haiwezi kuwa sawa na kufundisha masomo ya sanaa.Leo tena nimekuja kulalamika,
Hivi mwaka 2019 serikali iliona nini?
Ilijisikiaje au kwakuwa head alikuwa mwalimu wa science akaona awabebe wenzake?
Najua lengo ni kuwatia motisha walimu wa science,
Sawa.
Lakini je ili iweje? Kwa faida ipi?
Shule ni zile zile,
Wanafunzi wale wale,
Tena wakifika form three walimu wa science wanajichagulia watoto wao wa kuwafundisha,
Unakuta shule wanafunzi 300 wanasoma historia
Wanafunzi 60 wanasoma science
Hapo mwalimu mwenye mzigo mkubwa ni yupi? Kama sio huyu mwenye watoto 300!
Badala ya kujifanya kuongeza pesa kwa walimu wa science,
Serikali iajiri walimu wengi wa science na sanaa ili kuweka ikama sawa,
Na kutoa mzigo mkubwa wa vipindi kwa walimu waliopo,
Halafu iongeze mishahara na kuweka mazingira mazuri ikiwemo nyumba za kisasa kwa walimu,
Walimu acheni kujiwekea matabaka ninyi kwa ninyi,
Hakuna mwalimu bora kuliko mwingine
Itikadi za mwendazake ziachwe kama zilivyo
Bado practical hapoWanafunzi 700.
Walimu 30.
Arts 26.
Science 4.
Muda wa kipindi dakika 40-80.
Vipindi kwa juma moja;
Arts 12
Science 24.
Kwahiyo watoto wanapata A ya English wote,Nguvu ya kufundisha masomo ya sayansi haiwezi kuwa sawa na kufundisha masomo ya sanaa.
Unataka kulinganisha nguvuya kufundisha phys iwe sawa na kufundisha English au history ?
Kingine kama hujui wanafunzi wa sayansi wanalipa ada kubwa kuliko wenzao wa arts
Sasa hizi ni sayansi au historia ya sayansi! wamegundua nini kwenye jamii zaidi ya kukariri hizo theory vichwani mwao, wako overrated hawana cha ziadaUlitumwa kusomea vishazi huru na tegemezi? Vuna ulichopanda
Acha waliosoma
Inorganic chemistry
Ma integrations
Electrostatic, genetics wale maisha
We si uliona sifa zile hadithi za mkoloni