run CMD
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 3,185
- 3,909
Hii ndio pointUlitumwa kusomea vishazi huru na tegemezi? Vuna ulichopanda
Acha waliosoma
Inorganic chemistry
Ma integrations
Electrostatic, genetics wale maisha
We si uliona sifa zile hadithi za mkoloni
Inafaa walimu wa sayansi waanze hata 1.2M
Hawa wengine 700k inatosha kabisa...
Ule mzigo wa advance ni wa maana tofauti kabisa na hizo combination za H za kucheza ngoma na kuandika ulichojifunza kutokana na ngoma