BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Japo sayansi ilinishinda toka form 2 ila nadhani nchi inapaswa kuwapa kipaumbele walimu wa sayansi. Sayansi ni msingi wa maendeleo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Supply and demand i guess? Bidhaa zinapokuwa nyingi sokoni thamani inashuka na bei inashuka pia ila zile chache na zinazopatikana kwa shida nadhani thamani inaongezeka .Leo tena nimekuja kulalamika,
Hivi mwaka 2019 serikali iliona nini?
Ilijisikiaje au kwakuwa head alikuwa mwalimu wa science akaona awabebe wenzake?
Najua lengo ni kuwatia motisha walimu wa science,
Sawa.
Lakini je ili iweje? Kwa faida ipi?
Shule ni zile zile,
Wanafunzi wale wale,
Tena wakifika form three walimu wa science wanajichagulia watoto wao wa kuwafundisha,
Unakuta shule wanafunzi 300 wanasoma historia
Wanafunzi 60 wanasoma science
Hapo mwalimu mwenye mzigo mkubwa ni yupi? Kama sio huyu mwenye watoto 300!
Badala ya kujifanya kuongeza pesa kwa walimu wa science,
Serikali iajiri walimu wengi wa science na sanaa ili kuweka ikama sawa,
Na kutoa mzigo mkubwa wa vipindi kwa walimu waliopo,
Halafu iongeze mishahara na kuweka mazingira mazuri ikiwemo nyumba za kisasa kwa walimu,
Walimu acheni kujiwekea matabaka ninyi kwa ninyi,
Hakuna mwalimu bora kuliko mwingine
Itikadi za mwendazake ziachwe kama zilivyo
Kama shule ya hapo kwenu ipo maabara ya panya basi elewa na tambua kuwa walimu wa sayansi wanatimiza na majukumu ya wataalamu wa maabara. Kimsingi inapaswa walipwe mara 2 kwani wanatekeleza na majukumu ya mtaalamu wa maabara na siyo kuongezwa hiyo 30K tu.Maabara ya panya?
Nadhani walipimwa na ikathibitika wanayo.Wala siyo kuingia tu maabara Wana content?
Inatakiwa waongeze walau iwe na utofauti wa 200K.Tbh,sayansi na arts ni mbingu na ardhi..Ila kikubwa ni maboresho yafanyike kwa pande zote ili kusaidia kufanya kazi kwa moyo mkunjufu.Tofauti ya mwalimu wa sayansi na sanaa huwa ni pale wanapoajiriwa na tofauti haizidi 50k ila baadae wakipanda cheo mshahara huwa unalingana. Nyongeza hiyo nafikiri ni motisha ya kuwa na vipindi vingi na kuandaa zana za kujiuma na kifundishia