Ushauri: Walimu wote waanze na mishahara sawa, mwalimu wa science kuanza na mshahara mkubwa ni dharau kwa walimu wengine

Supply and demand i guess? Bidhaa zinapokuwa nyingi sokoni thamani inashuka na bei inashuka pia ila zile chache na zinazopatikana kwa shida nadhani thamani inaongezeka .
 
Tofauti ya mwalimu wa sayansi na sanaa huwa ni pale wanapoajiriwa na tofauti haizidi 50k ila baadae wakipanda cheo mshahara huwa unalingana. Nyongeza hiyo nafikiri ni motisha ya kuwa na vipindi vingi na kuandaa zana za kujiuma na kifundishia
Inatakiwa waongeze walau iwe na utofauti wa 200K.Tbh,sayansi na arts ni mbingu na ardhi..Ila kikubwa ni maboresho yafanyike kwa pande zote ili kusaidia kufanya kazi kwa moyo mkunjufu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…