Ushauri wangu kwa ACT Wazalendo na Maalim Seif

Maalim hawezi kukubali huu ubumbavu wao, kaamua kujibu kistaarabu tu lkn najua kimya chake kuna kitu kikubwa anapanga na ccm watajuta kuharibu uchaguzi.
 
Toka kaapishwa hajawahi kanyaga Pemba na baadhi ya sehemu Unguja kama Kaskazini Magharibi
Muda bado hata mwezi haujaisha jamani? Baraza lenyewe limetangazwa juzi sasa atakuwa katembelea nchi yote? Daa punguza hasira kidogo mkuu!
 
Msiwafundishe cha kufanya sasa!

Sio kwamba tunawafundisha bali tunawakanya wasithubutu, labda kama ndio wameamua kustaafu siasa. Kauandamana watu wangepoteza maisha, je wao wasipoenda huko serekalini watu watapoteza maisha?
 
Mtawaonea tuu, binadamu hali misimamo, kugoma hakumfanyi ashibe, muombee kitu kimoja tuu, njaa yao isiingie kichwani, kwa sababu ikiingia basi tumbo ndio litakalo fikiri na kutoa majibu.

Uko sahihi sana, lakini kitendo cha kujiunga na serekali ya wamwaga damu, ndio ajue amepoteza mazima kwenye siasa za ushawishi.
 
Hata Magufuli toka ameapishwa hajawahi kukanyaga hayo maeneo, na haiwezekani rais aapishwe halafu ghafla awe amekanyaga maeneo yote,
Nyumbu hovyo kabisa.
Si ndiyo hapo hata mwezi bado, serikali yenyewe hajamaliza kuiunda ndiyo awe ametembelea nchi nzima? Hii mihemko jamani watu wanatafuta sababu duu!
 
Maalimu ukikubali upuuzi huu,damu za wanzanzibar waliouawa wallah zitawalilia sana,acheni Wakae kwenye madaraka walioyatafuta kwa kuuwa watu
 


Tatizo linalowakumba Viongozi wa upinzani ni Ukata unaotokana na wao wenyewe kushindwa kutumia Rasilimali watu kuendesha vyama vyao na kuwaenzi viongozi wao wakuu .
Chama Kama ACT Wazalendo kina Wanachama wengi Zaidi ya Laki saba , bara na vizwani.
Viongozi wangekua wamevijenga vyama vyao kuanzia Chini mpaka Juu wangeweza kuanzisha mchakato wa kuvijenga vyama vyao na kuwaenzi vingozi wao kwa kuwachangia fedha kwa ajili ya Mafao yao wanapostaafu.
Wanachama Laki 7 wakichanga kila moja 2000 ni takribani bil.1.4 . Kama wanatokea watu waaminifu kabisa ,fedha kama hizo angekabidhiwa Maalim Seif kama Kiinua mgongo chake ndani ya Chama na upinzani alitumika kupigania Demokrasia. Hiyo ingejenga moyo zaidi kwa viongozi wa Upinzania kuepuka mikataba ya kupoozwa na vyeo baada ya kuumizwa na CCM ambao wao wanatumia nguvu ya Chama na Serikali kufanya wanalotaka na fimbo yao kuu ni madaraka.


Lakini pia wapinzani wasiishie hapo kwa viongozi bali waende mbali zaidi kwa wanachama wao waliopoteza ndugu kwenye harakati halali za kupigania Demokrasia.
Mfano: Familia ya Ben saanane na Alfonsi Mawazo na wengine wengi waliangamizwa kwa sababu ya kusema kile wanachokiamini kuwa ni kweli kama haki ya kisiasa na kutoa maoni.
Hawa kwa Upande wa Chadema yenye wanachama Takribani Mil. 6 wapishindwa kuchanga rambirambi kwa hamasa kubwa nchi nzima kwa ajili ya kuwahudumia familia hizo kwa muda mrefu ili zisiteseke.Mfano kila Familia ingeweza kupewa mil.100 kwa ajili ya kusomesha watoto wao au wazazi wao au wajane waliobaki.
Nilishangaa Mgombea mmoja wa upinzani akiambiwa kuwa Mgonjwa ambaye ni mpenzi wa chama chake alikua anadaiwa Pesa za matibabu elfu 35 badala ya kuzichangisha pale pale na kumpatia hata laki tano ,yeye alompa Bendera ya Chama . Kosa kubwa kwenye siasa za Afrika zinazogharimu maisha ya watu wengi hasa wapinzani.

ACT waepuke sana mitego ya CCM lakini pia waangalie Kesho njema ya Maalum Seif baada ya kustaafu kwenye siasa na uongozi.
 
Kwanza kujibizana na Lord dening kuhusu ICC ni kupoteza muda.

Jamaa ni mweupe kabisa kuhusu hiyo mahakama.

Mimi kila siku huwa nampa mfano wa hapo Kenya tu kwamba Kenyata na Odinga walisababisha watu zaidi ya 1500 kupoteza maisha lakini kesi yao kule icc haikumaliza hata mwaka na Kenyaga na Odinga ndio wale pale ikulh wanakula mema ya nchi.
 
Hata wakati wa ukoloni, kulikuwa na waafrika wanasema wazungu wasisumbuliwe maana wamewapa waafrika wenzetu vyeo. Ni hivi, huyo maalim Seif akikubali kuingia kwa hiyo serikali ya wamwaga damu na wezi wa kura ajue ndio mwisho wetu wananchi kuwaamini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa wewe unawaamini hao jamaa kwa lipi?

Mfano uliweka imani yako kwa Lisu mpaka ukafikia hatua ya kusema mbele ya Lisu hata tume huru haina haja kwa lipi?

Seif keshajichokea kiumri hana la kupoteza, atakubali hiyo nafasi ili ajimalizie uzee wake vizuri.

Kajitahidi sana wakati wake, kapigana sana, lakini nyie wafuasi wake mnaishia kumsapoti mitandaoni.

Na Lisu alientegemea kumpa backup ndio huyo kala kona.

Bora ajikalie kimya ale maisha.
 
Hilo ni hitaji la katiba ,ACT nashauri wakubali chama chao kinahitaji kukua.
 
Na Bagbo yuko wapi?
 
Nimeona kuna dalili kuwa atakubali. Lakini nitashangazwa sana akifanya hivyo.
On a serious note....
Maalim hana muda mwingine tena wa kugombea kiti cha urais Zenji....
umri na nguvu vimeshamtupa mkono....
it's better aseto now...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…