Ushauri wangu kwa kijana ambaye anataka kuajiriwa Jeshini au kuwa Afande

Dunia inaondoka kwa kasi Sana .
Those days unaambiwa kesho jiandae unaenda depo ,Basi usiku mzima ni kuwaza na kuwazua itakuwaje ,Mara upite huku kuangalia mazoezi ya huku ,kijasho chembamba kinakushuka Sana .

Huko nako unafika huulizwi chochote ni kuparangana na mbinde zote za huko finally uko chomboni na vimaswali vya kijinga wewe ni mtoto wa mzee kibuyu 😠

Tuvyeti wanatuangalia Kama toilet paper ila hawakuachi Wala nini .

Rest easy parents ,keep resting Mbuge

Pombe sio nzuri ndugu zangu ,jipende jilinde maisha ni popote
 
Nina miaka 50.

Nipo tayari kupambana mstari wa mbele vitani.

Mtanichukua??
 
Lima chalii
 
Afande naomba kuuliza dalili ya bawasiri ina shida gani kwa askari?
Nafikiri ni kitu kinachotibika na hatua hiyo ya dalili haiwezi kumzuia askari kufanya mafunzo au kazi za askari.
Bawasili ukiwa nayo ngumu kwako kupiga kozi kutokana na mazoezi na kukaa sana kwasababu mgonjwa wa bawasili hawezi kukaa chini mda mrefu sana
 
Kwahiyo niende kwenye kambi yeyote na vyeti vyangu nikagaregare hapo getini.

Au utaratibu unakuwaje mkuu.
Wakujutolea washafika makambini mbona tafuta mbanga uende kama baba kanituma
 
...kila mtu anapambana mtu wake apite au apate nafasi mnakatisha tamaa sana vijana watu wanapata nafasi kwa shida sana kuwalamba miguu mabos huyo unae muona boss kwako na kuzani kazini ndio mwenye mamlaka ana wakubwa zake pia
Duh,
Nchi umeharibika mnoo.
Asiyekuwa na wa kumpambania huko ndani asahau kutoboa hata kama ana vigezo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…