Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
Haina shida maana huku pia na piga vita vya korohoPole sana mkuu
Sio mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina shida maana huku pia na piga vita vya korohoPole sana mkuu
Samahan kwa kukukwazaDuuuuh umenijibu kikatili sana
Lima chaliiHello
Wengi huwa wanaomba nafasi mbalimbali katika vyombo vya ulinzi wengine wanakuja kufeli kwenye usahili kwa vitu vidogo vidogo ambavyo vinaweza kurekebishwa kabla ya usahili ila mnavipuuzia
Nafasi zinapotoka kunakuwa na ushindani mkubwa unakuta kila mtu anapambana mtu wake apite au apate nafasi mnakatisha tamaa sana vijana watu wanapata nafasi kwa shida sana kuwalamba miguu mabos huyo unae muona boss kwako na kuzani kazini ndio mwenye mamlaka ana wakubwa zake pia
Kabla ya kwenda kwenye usahili hakikisha Nida yako ipo safi hii kwasasaivi inawaangusha ana vijana nida yako na ya baba yako hazifanani unaweza kwenda Nida sasaivi mapema kujihakikishia nida zako zipo sawa hazina shida yoyote ila vijana mnakaa mpaka siku ya mwisho mnaaza kukimbiza wazeee vichwa huwa vinauma hamjui
Pili majina yako yawe yako sawa kama unaitwa khamis na linaazia na k na h basi hakikisha vyeti vyako vyote vipo sawa vinaendana sana kama mahali pana shida nenda katafute barua kwa mwanasheria inayo kutambulisha au kukuthibitisha kuwa wewe ndio muhusika
Tatu afya nenda tu hospital kajichunguze mwenyewe wapi unashida ili ujijue kuna magonjwa mengine mnajitia aibu sana mfano mtu kijana mdogo anakutwa na bawasili au dalili za tenzi dume kwahiyo nashauri mjichunguze kwaza
NImeshangaa sana juzi kati hapa boss alikuwa na mtoto wa dada yake kidato cha sita kapata nafasi kijana anasema kuwa hana cheti cha form six ila ana transcript tu wenzake ambao wamemaliza mwaka mmoja wana vyeti unajiuliza hawa vijana wanakuwaga wanawaza nini
Ase nafasi zinapatikana kwa shida ukipata tumia vizuri acheni kukimbiza wazee
Ahahah nenda unachukuliwa tuNina miaka 50.
Nipo tayari kupambana mstari wa mbele vitani.
Mtanichukua??
Afande naomba kuuliza dalili ya bawasiri ina shida gani kwa askari?kijana mdogo anakutwa na bawasili
Bawasili ukiwa nayo ngumu kwako kupiga kozi kutokana na mazoezi na kukaa sana kwasababu mgonjwa wa bawasili hawezi kukaa chini mda mrefu sanaAfande naomba kuuliza dalili ya bawasiri ina shida gani kwa askari?
Nafikiri ni kitu kinachotibika na hatua hiyo ya dalili haiwezi kumzuia askari kufanya mafunzo au kazi za askari.
Kwahiyo niende kwenye kambi yeyote na vyeti vyangu nikagaregare hapo getini.Ahahah nenda unachukuliwa tu
Wakujutolea washafika makambini mbona tafuta mbanga uende kama baba kanitumaKwahiyo niende kwenye kambi yeyote na vyeti vyangu nikagaregare hapo getini.
Au utaratibu unakuwaje mkuu.
Bila unaa unaonekana sungusungu tuUnaa mwingi sana Poti Mwachi
Ndio watu wazitoMbanga ni watu ? Nasikia habari muda mrefu
Basi na wewe ndo Mbanga mwemyeweNdio watu wazito
Mimi sina maji kabisaBasi na wewe ndo Mbanga mwemyewe
Embu muelekeze DR HAYA LANDApo adi uwe na Mtu kweli kweli wa kusimamia adi utoboa sio mtu tuu.
Duh,...kila mtu anapambana mtu wake apite au apate nafasi mnakatisha tamaa sana vijana watu wanapata nafasi kwa shida sana kuwalamba miguu mabos huyo unae muona boss kwako na kuzani kazini ndio mwenye mamlaka ana wakubwa zake pia