Ushauri wangu kwa vijana wa kidato cha 6 na wengine wote ambao bado hawajafikia elimu ya Chuo Kikuu

Kinachotuponza tunapenda sifa. Yaani ile kusifiwa una degree.... Tukatangaze uzuri na utozi chuo.

Ila bado ni muhimu so unaweza kusoma degree ila usiwe na mategemeo nayo sana. Ni kujipanga kuwa na ujuzi mwingine kabla au baada ya kusoma.
 
Acha kudanganya watu
 


KAKA NIPE MKONO.

UMEMALIZA BINGWA !!

NIME ANDIKA KWA CAPITAL LETTERS KUKUBALIANA NA ULICHOSEMA KWA MIKONO NA MIGUU YOTE.

YANI UKO SAHIHI MNOO KUPITILIZA

VIJANA BLUEPRINT HII HAPA, WAKUONA NA KUSIKIA WASOME HAPA NA WAELEWE [emoji817][emoji817]

Kwa My Scenario na Kwa Mazingira Yangu Na Ningeweza Rudisha Nyuma Muda NISI-ngesoma Accounts To Masters Level Instead Ningesoma Law, Then Law School, Then Masters Ningepiga Tax Laws au Postgraduate in Taxation, Then Baadae Nipige Tena Postgraduate in Mass Communication.

Hii combo kwa mazingira yangu ningebutua mbali sanaa sanaaa.

Kwa Hyo Combo Hapa Nilipo Sasa Hivi Kwa Upepo Wangu Ningekua Mbali Mbali Mnooo, Sanaaa.

Yani chuo kikuu soma kwa malengo hasa ukishajua mazingira ya kitaa yalivyo na kuelewa upepo wako umekaaje.
 
Niache kwenda kula boom niende VETA, hapana aisee... Naenda Kula 10000 për Day kwanza Halfu hyo VETA nitaenda baadayee
 
Huna kingine cha kufanya zaidi ya kupotosha vijana wa watu? We ni mchawi siyo bure maana malengo ya uchawi ni kuharibu, kutesa na kuua. Marekani na Ulaya yote bado watoto wao wanasoma, nchi changa kabisa km Tanzania unasema elimu ya chuo kikuu haina maana? Acha kujifanya mjuaji wakati hakuna unalojua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…