Ushauri wangu kwa vijana wa kidato cha 6 na wengine wote ambao bado hawajafikia elimu ya Chuo Kikuu

Ningependa kujua hio Engineering science inahusu nini mbona wameiweka kwa kila fani na hio technical drawing mkuu?

kinachohitajika kama graduate anaweza akitoka hapo kufanya fani husika, ndicho kinachohitajika,mengine mbwembwe...lol
Engineering scince ni physics lakini imeongezewa vitu kidogo

Technical drawing ni somo la michoro

Kwa kifupi haya masomo sio mbwembwe yana muandaa mtu awe fundi mzuri sana na ndio maana ukiwa na level 3 ya Veta utaitaji d mbili za masomo yoyote kasoro ya dini mfano civics na english kusomo uinjinia level ya diploma kwa sababu level za Veta 1,2,3 tayali zimebeba masomo ya scince ambayo unge itaji kuwa nayo cheti cha form 4 au form 6..
 
Nimekuelewa mkuu, mimi naona watakaosoma uinjinia ama wanaotaka kuwa fundi ndio watakaofaidika na hio course ya Engineering science, kuiweka kwa kila fani ni uonevu,nimekubaliana na mengine yote,English,Computer,Maths kuwekwa kwa kila fani ila sio hio...😎
 
Niliwahi toa wazo kama lako kwa vijana flani ambao walirudi chuo wakaunda kundi la utanashati na kupenda mademu.. nazani watanikumbuka..
 
Umeongea mambo ya msingi sana bahati mbaya vijana wenyewe wapo busy kwenye porojo za bandari.
 
Huu uzi mods wauwekee pin ili vizazi viusome jamaa kamaoiza kila kitu japokua kuna paka wana roho ngumu humu hawawezi kukuelewa

Labda nifupishe uzi wako kwa maneno haya machache.....

Elimu itolewayo VETA/SIDO kwa nchi za ulimwengu wa kwanza ndizo haswaa elimu za vyuo vikuu NA elimu zitolewazo vyuo vikuu huku kwetu mostly ndio elimu za sekondari msingi na nasari huko laya
 
😂 😂 😂 Mkuu usitutanie bhana
Najua huwezi amini kwasababu hunijui,ila huo ndy ukweli wangu sipo hapa kupotosha au kudanganya wengine.

Niliacha chuo mwaka wa tatu semista ya pili and then life is good.

Bado naamini pesa ndiyo elimu yenyewe kunasiku jamaa mmoja ana masterdegree neurosurgery pale muhus nilimsimulia huu mkasa akasikitika sana lakini sometimes nampiga tafu kwenye mambo ya fweza.

Akisoma hapa atanijua.
 
Mkuu, hii kombi ipo shule gani
I wish ingekuwa enzi zangu ningeipiga hii
 
Hilo somo ni muhimu sana kwa sababu fani asa za umeme bomba magari chelehani uchomereaji ujenzi lina kuwa na umuhimu wake ila uzuri ukifika level 3 lina kuwa halipo
 
Nilichogundua humu ni kuwa baadhi wanasoma kumaliza tu na siyo kusoma kuelewa, maana mada imenyooka sana hii.
 
Daaaaaaaaaah,! Hi inaitwa "KULA CHUMA HICHO".

Mwenye akili mtambuka,hatahoji Mara mbilimbili.
 
Kama wanataka pesa za chapuchapu angewashauri wawe bodaboda maana unajifunza Leo kesho uko road unakula vichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…