Ushauri: Waziri Mwigulu Nchemba ni liability kwa Uchumi wetu!

Hapa tunaongelea mada ya kitaifa,

Kuhusu ukabila, nenda huko kijijini kwenu mkajadiliane ukabila mkitambika huko.
Sawa mkuu! Kutambika ndo asili zetu waafrika... We kama hutaki endelea kuwa msaliti, kuwafata wazungu washenzi😂
 
Ingeongeza kubwa Mwigulu ni fisi aliye kabidhiwa kusimamia Bucha, ni mwizi wa kutisha
 
Hii inchi ina mawaziri kibao wa uchumi na wanauwezo wa kuifanya nchi ikapaa kwa mshtuko wa hali ya juu! Sio mawaziri tu wa uchumi yaani kila sekta wapo! Tatizo ni nchi yetu kuwa waziri lazima uwe mwanasiasa na uwe na chama! MUNGU hawezi kuibariki aridhi iwe na kila aina ya utajiri alafu asiweke watu sahihi juu hiyo aridhi!
Tatizo ni mfumo na namma ya kuwatumia rasilimali watu hawa Haupo!
 
Biashara zinakufa daily, ajira zinapotea,

Badala ya kuwaza kuboresha mazingira mazuri ya kutengeneza na kudumisha ajira, Yeye anawaza Kodi tu!!

Mfanyabiashara aliyefilisika amefunga biashara, apate wapi hizo Kodi anazoziongelea🤔
 
Kwani Mwigullu hana uchagga? 😂
 
Kabisa kabisa! Awekwe mchaga pale! No! Kabila hili halifai kabisa, nchi itafilisika milele
 
"Mwigulu ndio mboni ya mama,na hicho cheo ndio kilele chake mwigulu hakuna kingine zaidi ya hapo alipo na hawezi tolewa pale amesimikwa"sauti ya Mgunga pori huko mboka manyema ilisikika!!
Kwamba ameshamea mizizi iliyofika Hadi kwenye vijito vya maji sio!!

Ngoja tutumie chensaw!!
 
Kwamba ameshamea mizizi iliyofika Hadi kwenye vijito vya maji sio!!

Ngoja tutumie chensaw!!
Hadi wana wa mungu watakaposambaratisha utawala wa chini ndio tutapata mwenye haki atakaetuvusha baada ya 2025,kwa kinywa Cha yule mzee ni kwamba huyohaondoki hadi awamu hii ipite ije ile nyingine ya mjoli!
 
Kabisa kabisa! Awekwe mchaga pale! No! Kabila hili halifai kabisa, nchi itafilisika milele
Na wana ubavu hata wa kubadili mfumo mzima! Wizara nzima ikawa na wafanyakazi wa kichaga... Wapo kama kunguni wale 😂

Na wakiingia sehemu wao ndo wanakuwa kama wenye kampuni, wasemaji wakuu! Na mwisho wa siku wanataka kumiliki kabisa au wainunue iwe yao.
 
Mambo ya kujuana, mwachie Yeye na mkewe.

Sisi tunaangalia uzoefu wa Ndugu Kimei na michango bungeni, maono nk nk.
CRDB aliwajaza wanaoujuana
Akishika wizara ya Fedha tutegemee lugha ya wizara kuwa kichaa lugha ya wachaga kama walivyojaa CRDB
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…